Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Takwimu Na Rekodi Za CBE SA Wapinzani Wa Yanga Ligi Ya Mabingwa Afrika
    Africa | CAF

    Takwimu Na Rekodi Za CBE SA Wapinzani Wa Yanga Ligi Ya Mabingwa Afrika

    MhaririBy MhaririAugust 26, 2024Updated:August 26, 202412 Comments2 Mins Read4K Views
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    CBE SA
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Baada ya kuwatoa Vital’O ya Burundi kwa jumla ya mabao 10:0 klabu ya Yanga itakutana na mabingwa wa msimu uliopita 2023/2024 wa Ligi kuu ya Ethiopia inayofahamika kama Ethiopian Premier League klabu ya CBE SA au Ethiopian Nigd Bank.

    CBE SA ni klabu ambayo inapatikana katika jiji la Addis Ababa ambapo ilianzishwa mwaka 1982 na jina lake kamili ni Commercial Bank of Ethiopia Sports Association yaani ni klabu ambayo inamilikiwa na benki pale nchini Ethiopia.

    Mwaka 2010 klabu hii ilibadilishwa jina ambapo ilikua inaitwa Banks Sport Club na kwenda kuitwa Commercial Bank of Ethiopia Sports Association ambapo msimu wa mwaka 2020/2021 ilikua ikicheza Ligi daraja la kwanza na baada ya kufanya vizuri ikapanda ligi kuu ya Ethiopia.

    Katika upande wa mataji ni mabingwa wa ligi kuu ya Ethiopia msimu wa 2023/2024 na hii ndio mara yao ya kwanza kuchukua ubingwa huu ambapo ikawapa nafasi ya kushiriki Ligi ya Mabingwa Afrika kwa msimu huu , mwaka 2014 walichukua ubingwa wa Addis Ababa City Cup.

    Kwenye michuano ya kimataifa kwa ngazi ya CAF klabu hii haijafanya makubwa sana ya kushtua kwani waliwahi kushiriki upande wa kombe la shirikisho barani Africa yaani CAF CONFEDERATION CUP mara mbili n azote waliishia hatua ya awali ambapo nim waka 2005 pamoja na mwaka 2010 huku katika ligi ya mabingwa Afrika yaani CAF CHAMPIONS LEAGUE hii ni mara yao ya kwanza kushiriki na ndio wameingia raundi ya pili ambayo wanakutana na mabingwa wa ligi kuu ya NBC klabu ya Yanga.

    Kwa upande wa jezi wanazotumia wakiwa nyumbani wanavaa jezi nyekundu ambayo inakua na mistari ya bluu pamoja na bukta nyeusi na soksi ya bluu huku wakiwa ugenini wanavaa jezi ya bluu Bahari yenye mistari ya njano shingoni pamoja na bukta ya njano na soksi nyeusi.

    Kumbuka kuwa ligi kuu ya Ethiopia ambayo inafahamika kama Betking Ethiopian Premier League inashirikisha timu 16 pekee na klabu ambayo inaongoza kwa kuchukua mataji mengi zaidi ni Saint Georgr ambayo imechukua makombe 31.

    SOMA PIA: Yanga Wana Matatizo, Hawajitambui. Je Ni Lini Watajielewa?

     

     

     

    CBE SA Ethioipia CBE SA vs Yanga Sc Ethiopia Nigd Bank

    12 Comments

    1. Mantuma4 on August 26, 2024 10:36 am

      Sasa jezi za nn

      Reply
    2. Mohd on August 26, 2024 10:47 am

      Hakikisha unachoandika kiwe kinaukweli aboubeker nesir ameondoka mwaka juzi kujiunga na sundown sasa amekuwaje mwaka jana mfungaji bora

      Reply
    3. Valence on August 26, 2024 11:46 am

      Hata bila historia yao,, wanakula nyingi hawa

      Reply
    4. Jude bees on August 26, 2024 12:23 pm

      Kwa kweli CBE wapige Dua na sala za mwisho kabla ya kuwakuta makuu

      Reply
      • Ally umbara on August 27, 2024 12:53 pm

        Hahahahaha kabsaaa maan.kwa takwim zao hizoo watapigwa kama ngoma

        Reply
    5. GIDMAS on August 26, 2024 1:15 pm

      Yanga wanakuja kujiokotea tuuuu mwendo wa kuterezaaaaa

      Reply
    6. Salmon elias on August 26, 2024 1:32 pm

      Hao madogo wajiandae meng magor hawana rekod nzuri🤣🤣🤣🤣🤣🤣

      Reply
    7. Pingback: Hii Ndio Sheria Tata Zaidi Kwenye Mpira Wa Miguu

    8. 🖨 Email; TRANSACTION 1,958926 BTC. GET > https://yandex.com/poll/T1TnDbUc4R9aLX7Nzhj1Cy?hs=e4518c6a6c6d34d7a418f488a6030b95& 🖨 on May 25, 2025 6:20 am

      mh8puq

      Reply
    9. 📍 + 1.192807 BTC.NEXT - https://yandex.com/poll/76RuKke5vYn6W1hp2wxzvb?hs=e4518c6a6c6d34d7a418f488a6030b95& 📍 on June 4, 2025 2:27 pm

      40e8v5

      Reply
    10. 🗒 Message: TRANSACTION 1.79872 BTC. Next > https://yandex.com/poll/T1TnDbUc4R9aLX7Nzhj1Cy?hs=e4518c6a6c6d34d7a418f488a6030b95& 🗒 on June 5, 2025 6:26 pm

      0r0apc

      Reply
    11. 📆 Message- Process 1,566072 BTC. Assure >>> https://yandex.com/poll/enter/BXidu5Ewa8hnAFoFznqSi9?hs=e4518c6a6c6d34d7a418f488a6030b95& 📆 on June 11, 2025 5:26 am

      ice7vm

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.