Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Kufuzu AFCON 2025 Makundi Yatapangwa Kwa Vigezo Hivi
    Africa | CAF

    Kufuzu AFCON 2025 Makundi Yatapangwa Kwa Vigezo Hivi

    MhaririBy MhaririJuly 4, 20242 Comments3 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    kombe la ubingwa wa AFCON
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Leo ndio ile siku ambayo macho na masikio ya wapenda soka barani Afrika wanasubiria kwa hamu droo rasmi ya kufuzu kwa Kombe la Mataifa ya Afrika la TotalEnergies (AFCON2025) nchini Morocco, Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) limetoa rasmi taratibu za droo za mashindano hayo makubwa barani Afrika.

    Droo hii ambayo itafanyika Johannesburg siku ya Alhamisi tarehe 04 Julai ambapo jumla ya mataifa 48 ya Afrika yatashiriki ili kubaini ni nani atakayefuzu kwa toleo la 35 la tukio kubwa zaidi barani Afrika.

    Timu zitakazoshiriki zitawekwa katika vikapu vinne vyenye timu 12 kila kimoja.

    Nchi zilizoorodheshwa juu zaidi kulingana na Viwango vya FIFA vilivyotolewa tarehe 20 Juni 2024 zitachukua nafasi ya Kikapu 1, na utaratibu huo huo utafanywa kwa Vikapu vya 2, 3 na 4 ili kuunda mataifa 48.

    Droo ya kufuzu itakamilika kwa kuunda makundi 12 ya timu 4 (Kundi A hadi L), ambapo timu ya kwanza na mshindi wa pili katika makundi kumi na moja (11) yasiyohusisha wenyeji wa mashindano Morocco, watapata tiketi ya kufuzu kwa mashindano hayo.

    Kwa timu zitakazomaliza za kwanza na za pili katika kundi linalohusisha Morocco, ambao kwa kuwa wenyeji wa mashindano hupata tiketi moja kwa moja, hali zifuatazo zitatumika:

    Ikiwa wenyeji wameorodheshwa wa kwanza, wenyeji watafuzu pamoja na mshindi wa pili wa kundi hilo.

    Ikiwa wenyeji wameorodheshwa wa pili, wenyeji watafuzu pamoja na mshindi wa kwanza wa kundi hilo.

    Ikiwa wenyeji wameorodheshwa wa tatu au wa nne, wenyeji watafuzu pamoja na mshindi wa kwanza wa kundi hilo.

    Taratibu za Droo za Kombe la Mataifa ya Afrika la TotalEnergies CAF Morocco 2025:

    Mpira wa kwanza utachukuliwa kutoka Kikapu 4 na utaenda kwenye nafasi A4.

    Utaratibu huo utafanyika kwa timu zilizobaki za Kikapu 4 ambazo zitaenda kwenye nafasi B4, C4, D4, E4, F4, G4, H4, I4, J4, K4 & L4 kulingana na mpangilio wa droo.

    Utaratibu huo huo kama ulivyoelezwa hapo juu utafanywa kwa Kikapu 3, Kikapu 2 na hatimaye Kikapu 1.

    Mataifa 48 ya Afrika yatashiriki kulingana na Viwango vya FIFA vya hivi karibuni vilivyotolewa tarehe 20 Juni 2024.

    48 African nations to be engaged as per latest FIFA Rankings issued 20 June 2024

    POT 1 POT 2 POT 3 POT 4
    Morocco (Host) Cape Verde Kenya Niger
    Senegal Burkina Faso Mauritania Zimbabwe
    Egypt Guinea Congo Rwanda
    Côte d’Ivoire Gabon Tanzania The Gambia
    Nigeria Equatorial Guinea Guinea Bissau Burundi
    Tunisia Zambia Libya Liberia
    Algeria Benin Comoros Ethiopia
    Cameroon Angola Togo Botswana
    Mali Uganda Sudan Lesotho
    South Africa Namibia Sierra Leone Eswatini
    DR Congo Mozambique Malawi South Sudan
    Ghana Madagascar Central Africa Chad

    SOMA ZAIDI: Al Ahly Na Maajabu Ya Jezi Namba 72 Kabla Ya Mechi

    afcon 2025 AFCON 2025 MOROCCO

    2 Comments

    1. Sir yowas on July 4, 2024 2:02 pm

      Kila laheri taifa langu Tanzania

      Reply
    2. Rau B on January 1, 2025 11:56 am

      Viwanja 10 Bora na maarufu zaidi duniani.

      Soma hapa ⤵
      https://maishakitaaonlinetz.blogspot.com/2024/12/sports-viwanja-kumi-maarufu-zaidi.html

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.