Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    ZAINABU ( 01)

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Uso Wa Saido Ntibazonkiza Unazungumza Mengi
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Uso Wa Saido Ntibazonkiza Unazungumza Mengi

    MhaririBy MhaririMay 29, 2024Updated:June 11, 20245 Comments2 Mins Read9K Views
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Saido Ntibazonkiza
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Saido akiwa Yanga iliishi maisha yenye furaha muda wote, aliheshimika na kuimbwa Kwa melodi tamu zisizomchosha masikio, melodi zilizoisindikizwa na nickname ya “godfather wa Bujumbura”,  akiwa Simba imekuwa kinyume kabisa, haheshimiki na hakubaliki licha ya kuwa yeye ndiye top score wa misimu miwili yote mfululizo, anaitwa majina ya kila namna kama ishara ya kubeza mchango wake ndani ya timu.

    Baada ya usajili wake kukamilika na kujiunga na timu pale Mwanza CCM kirumba akitokea Geita, alitoa kauli za kuwananga waajiri wake wa zamani Yanga huku akijipambanua kuwa yeye ni shabiki mkubwa wa Simba yeye na familia yake ambayo nayo ikathibitisha Saido ni Simba, Kuna muda alijiingiza kwenye sakata la Feisal Salum akimwaminisha kama anahitaji Mafanikio aondoke Yanga aende Simba.

    Waswahili husema usinene ukamala, Baada ya misimu miwili Saido amechapisha ujumbe katika kurasa zake za mitandao ya kijamii akisema

    “Mtu mkubwa haadhibiwi kwa kuchapwa fimbo bali adhabu ya mtu mzima ni kuwa sehemu isio sahihi kwake na hakika nimejifunza.”

    Aidha ishara anazozitoa Kwa Sasa (Kuwaziba midomo) Kila akifunga nazo ni lugha tosha kabisa kuwa kifuani mwake katunza nini kinamsibu.

    Hili ni funzo kwa Wachezaji wanaochipukia katika kuheshimu kazi yake na waajiri wao wa zamani na wasasa,,,,, Dunia duara na kesho ni fumbo.

    SOMA ZAIDI: Tumsubiri Kramo Au Ni Wakati Wa Kutafuta Mchezaji Mwingine?

    saido ntibazonkiza simba sc
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views
    Ligi Kuu ya NBC

    RATIBA YA LIGI KUU YA NBC MSIMU WA 2025/2026

    August 29, 202513K Views
    Don't Miss
    Hadithi March 23, 2026

    ZAINABU ( 01)

    NAITWA ZAINABU ALIYU! Hii ni Hadithi ya Maisha yangu…..!!  Mimi ni Mtoto wa kwanza kati…

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (08)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2026 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.