Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    ZAINABU ( 01)

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Funga Kazi Ligi Kuu Iko Hivi | Vita Ya Nafasi Ya Pili Na Kiatu
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Funga Kazi Ligi Kuu Iko Hivi | Vita Ya Nafasi Ya Pili Na Kiatu

    MhaririBy MhaririMay 27, 2024Updated:May 28, 202488 Comments2 Mins Read4K Views
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Ligi Kuu
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Ligi Kuu Tanzania Bara mzunguko wa pili wa funga kazi unatarajiwa kuwa Mei 28 2024 kwa kila timu kusaka pointi tatu muhimu ndani ya uwanja.

    Ipo wazi bingwa ni Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi hesabu ni kwenye tuzo ya kiatu bora na nani atamaliza nafasi ya pili msimu wa 2023/24.

    Mechi za mwisho ni maamuzi kwa kuwa tofauti ya Simba na Azam ni kwenye mabao ya kufunga ambapo mtaji wa Azam FC ni kwenye safu ya ushambuliaji yenye mabao mengi na ukuta haujaruhusu mabao mengi.

    LICHA ya mashabiki wa Simba kuikatia tamaa timu hiyo kumaliza nafasi ya pili katika msimamo wa Ligi Kuu na kuinasa tiketi ya Ligi ya Mabingwa Afrika mbele ya Azam FC iliyoganda nafasi hiyo kwa muda mrefu, kwa upande wa kaimu kocha mkuu wa timu hiyo, Juma Mgunda hajakata tamaa, huku akiwatuliza mashabiki.

    Simba ipo nafasi ya tatu ikiwa na pointi 66 kama ilizonazo Azam, ila inazidiwa uwiano wa mabao ya kufunga na kufungwa, ikizidiwa manane na Wanalambalamba na kesho Jumanne kila moja itakuwa uwanjani kumalizia msimu kwa kucheza mechi dhidi ya JKT Tanzania na Geita Gold zilizopo pabaya.

    Hii hapa ratiba ya mzunguko wa pili raundi ya 30 upo namna hii:-

    • Simba dhidi ya JKT Tanzania
    • Geita Gold dhidi ya Azam FC
    • Yanga dhidi ya Tanzania Prisons
    • Namungo dhidi ya Tabora United
    • Coastal Union dhidi ya KMC
    • Ihefu dhidi ya Mtibwa Sugar
    • Singida Fountain Gate dhidi ya Kagera Sugar

    Tusisahau pia kuwa kwenye vita ya ufungaji bora wa Ligi Kuu yupo Aziz Ki wa Yanga mwenye mabao 18 pamoja na Feisal Salum wa Azam Fc mwenye magoli 18 pia sasa macho na masikio yote yako kwao huku kwingine ni jinsi ambavyo nafasi ya pili inavyotafutwa kwa udi na uvumba.

    SOMA ZAIDI: Kuhusu Aziz KI Msimamo Wangu Ni Huu Hapa

    aziz ki vs feitoto Aziz Ki Yanga feitoto azam fc ligi kuu bara mfungaji bora NBC Premier League
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views
    Ligi Kuu ya NBC

    RATIBA YA LIGI KUU YA NBC MSIMU WA 2025/2026

    August 29, 202513K Views
    Don't Miss
    Hadithi March 23, 2026

    ZAINABU ( 01)

    NAITWA ZAINABU ALIYU! Hii ni Hadithi ya Maisha yangu…..!!  Mimi ni Mtoto wa kwanza kati…

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (08)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2026 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.