Mambo vipi wana Kijiweni? Nimefurahi sana kuwa na nyie kuanzia sehemu ya kwanza mpaka sehemu ya 15 ya Riwaya ya KOTI JEUSI na najua kuwa wengi wameifurahia na kuipenda pia. Wakati tunasubiria kwa hamu riwaya mpya itakayoanza hivi karibuni leo tuijadili KOTI JEUSI
Jambo gani ambalo umelifurahia kwenye riwaya hii lakini pia somo gani kama mwana KIJIWENI umelipata?
La mwisho la kuongezea unatamani Riwaya inayokuja iwe katika muundo gani na iwe inatoka kwa muda gani? ( yaani muda gani unaona ni mzuri ikitumwa hapa Kijiweni uisome?)
FURSA: Wewe Ni Mwandishi? Unapenda kuendeleza Taaluma yako ya uchambuzi kwenye masuala ya michezo? Mtandao wa uchambuzi wa michezo kijiweni.co.tz unakupa uwanja wa kuendeleza kipaji chako na kufikia maelfu ya wapenzi wa michezo Tanzania na nje ya Tanzania.
Tutumie makala au uchambuzi wa michezo katika barua pepe hii [email protected]
Kama Hukusoma KOTI JEUSI Sehemu ya Kwanza Mpaka Ya Kumi Na Tano Hizi Hapa Chini
KOTI JEUSI (Sehemu Ya Kwanza) KOTI JEUSI – 01
KOTI JEUSI ( Sehemu Ya Pili) KOTI JEUSI – 02
KOTI JEUSI ( Sehemu Ya Tatu) KOTI JEUSI – 03
KOTI JEUSI ( Sehemu Ya Nne) KOTI JEUSI – 04
KOTI JEUSI ( Sehemu Ya Tano) KOTI JEUSI -05
KOTI JEUSI ( Sehemu Ya Sita) KOTI JEUSI -06
KOTI JEUSI (Sehemu Ya Saba) KOTI JEUSI – 07
KOTI JEUSI (Sehemu Ya Nane) KOTI JEUSI -08
KOTI JEUSI (Sehemu Ya Tisa) KOTI JEUSI -09
KOTI JEUSI ( Sehemu Ya Kumi) KOTI JEUSI -10
KOTI JEUSI ( Sehemu Ya Kumi Na Moja) KOTI JEUSI -11
KOTI JEUSI ( Sehemu Ya Kumi Na Mbili) KOTI JEUSI -12
KOTI JEUSI ( Sehemu Ya Kumi Na Tatu) KOTI JEUSI -13
KOTI JEUSI ( Sehemu Ya Kumi Na Nne) KOTI JEUSI -14
KOTI JEUSI (Sehemu Ya Kumi Na Tano) KOTI JEUSI – 15



