Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    ZAINABU ( 01)

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Kinachomponza Mgunda Ni ‘Rangi Yake Na Utanzania Wake’
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Kinachomponza Mgunda Ni ‘Rangi Yake Na Utanzania Wake’

    MhaririBy MhaririMay 2, 2024Updated:May 3, 20249 Comments2 Mins Read3K Views
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Kocha Juma Mgunda
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Wengi wamekua wakiamini kuwa ni kama imekuwa kama dharau kwa mzawa kocha Juma Mgunda kila timu inapopoteana (mwendelezo mbovu) na makocha wa kigeni kutimuliwa au kuondoka katika timu ya Simba huwa inamkumbuka Juma Mgunda na kumpa timu tena.

    Nani asiyejua uwezo wa Juma Mgunda katika ligi hii?Hakuna ambaye hata kidogo anaweza kuwa na hofu juu ya uwezo wa wake na wengi wa wapenzi wa soka Tanzania wanaamini kuwa ni muda rasmi wa Simba kumuamini na siyo wakufanya kibarua cha saidia fundi ila anastahili kupewa timu kama kocha mkuu, na kitu kikubwa ni yeye kama kocha kuendelea kudumaza uwezo wake kwa kuendelea kung’ang’ania Simba SC ingawa kwa wakati mwingine unaweza kusema pia ni maokoto.

    Ndiyo, Mgunda siyo kocha wa kwenda kufundisha wanawake au kwenda kufundisha vikundi vya vijana tena vijana wenyewe wanatengenezwa kisiasa tu lakini ukija kwenye uhalisia ni uongo mtupu.

    Mgunda atapewa heshima yake endapo ataondoka simba sc na kwenda kufundisha timu nyingine za ligi kuu kama ambavyo aliifanya klabu ya Coastal mpaka kufika fainali ya kombe la FA, Namungo nk, maana anaweza kuwa kocha mkuu kwenye timu yoyote ukitoa Simba na Yanga ambazo zinaamini katika makocha wa kigeni zaidi.

    Maoni yangu: Binafsi ninaheshimu sana uwezo wa kocha huyu ila kitendo cha kupewa timu kila makocha wanapoondoka siliungi mkono na kumuona Mgunda hana msimamo bali anafurahi sana kuwa saidia fundi.

    SOMA ZAIDI: Fredy Ni Mchezaji Mzuri Akitumiwa Vizuri Ataisaidia SIMBA

    cv ya kocha mpya simba juma mgunda wachezaji wa simba
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views
    Ligi Kuu ya NBC

    RATIBA YA LIGI KUU YA NBC MSIMU WA 2025/2026

    August 29, 202513K Views
    Don't Miss
    Hadithi March 23, 2026

    ZAINABU ( 01)

    NAITWA ZAINABU ALIYU! Hii ni Hadithi ya Maisha yangu…..!!  Mimi ni Mtoto wa kwanza kati…

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (08)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2026 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.