Serikali ya Tanzania imeingia mkataba na kampuni ya ukandarasi kutoka China kukarabati uwanja wa Uhuru uliopo Dar es salaam kwa gharama ya shilingi bilioni 19.7.
Ukarabati wa uwanja huo utatumia miezi 12 ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika #AFCON2027
Mdau Wa KIJIWENI unatamani maeneo gani yafanyiwe marekebisho makubwa zaidi kwa gharama hizo ambazo zimetajwa za kuukarabati uwanja huu?
CHANGIA MADA HII PIA: Mchezaji Gani Wa Nje Hapa Ligi Kuu Amekuwa Bora Zaidi Kwako?



