Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Uwanja Wa Uhuru Ufanyiwe Marekebisho Maeneo Gani?
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Uwanja Wa Uhuru Ufanyiwe Marekebisho Maeneo Gani?

    MhaririBy MhaririApril 25, 2024Updated:April 26, 202417 Comments1 Min Read3K Views
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Uwanja wa Uhuru
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Serikali ya Tanzania imeingia mkataba na kampuni ya ukandarasi kutoka China kukarabati uwanja wa Uhuru uliopo Dar es salaam kwa gharama ya shilingi bilioni 19.7.

    Ukarabati wa uwanja huo utatumia miezi 12 ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika #AFCON2027

    Mdau Wa KIJIWENI unatamani maeneo gani yafanyiwe marekebisho makubwa zaidi kwa gharama hizo ambazo zimetajwa za kuukarabati uwanja huu?

    CHANGIA MADA HII PIA: Mchezaji Gani Wa Nje Hapa Ligi Kuu Amekuwa Bora Zaidi Kwako?

    Uwanja wa Uhuru Dar Es Salaam

    17 Comments

    1. Menelick on April 25, 2024 2:43 pm

      Ulekebiswe pitch, na majukwaa pia ili idadi ya washabiki tuwe na eneo kubwa la kupoa kuchek gemu

      Reply
      • Rashidy samweli on April 25, 2024 3:57 pm

        Pitch na majukwaa afu mamb ya kapet kizaman hyo wenzetu wameachaga hzo bhna sema nn uwanja wa uhuru sjawah ukubali😁

        Reply
    2. Hyper chem on April 25, 2024 2:55 pm

      Unahitaji maboresho Sana hususani pale kwenye jukwaa la mashabiki,, inabidi kuwapo kwa eneo kubwa kwa mashabiki pia katika eneo la bench la ufundi. Yote na yote ,lazmza kuboresha taa ,, pitch pamoja na viti .

      Reply
    3. Taisoni Chijoja on April 25, 2024 2:55 pm

      Utengenezwe sehemu ya kuchezea yani pitch
      Sehemu ya kukaa Bench la ufundi. Pamoja na majukwa

      Reply
    4. davido on April 25, 2024 2:57 pm

      wauezeke yaani inyeshe, liwake apo kipigwe tu.

      Reply
    5. Obby bway on April 25, 2024 2:58 pm

      Majukwaa ya sie watu wa kijiwen yaongezeke yawe mengi

      Reply
      • Obby bway on April 25, 2024 5:49 pm

        Nasubir mualiko admin

        Reply
    6. Chazzyboy31 on April 25, 2024 3:01 pm

      Wanarekebisha viwanja wachezaji wazawa hawasaidiwi kwenda popote sasa viwanja vya nini😒

      Reply
      • Rashidy samweli on April 25, 2024 4:01 pm

        Kama mchezaji anatoka yanga kwenda azam unafkir ana malengo ya kwenda mbali huyo? Sametime wachezaji wenyew hawatak kujtuma viwanja vitengenezwe hvo hvo

        Reply
    7. Astonminer Andaskoo on April 25, 2024 3:02 pm

      Eneo la pitch na pia eneo la mashabiki wajaribu kufanya ukarabati uwanja uwe level ya New Amaan Complex

      Reply
    8. Jamal nassor on April 25, 2024 3:04 pm

      Uwekwe tas

      Reply
    9. Ally Mwamlongo on April 25, 2024 3:07 pm

      Kiufupi uwanja wa uhuru sio wa kisasa, ulihitaji marekebisho makubwa mno. Kuanzia kwenye pitch, majukwaa, vyooni dressing room na ikiwezekana uwekwe hadi taa

      Reply
    10. Maege himself on April 25, 2024 3:08 pm

      Ngoja nikazie kwenye camera 📸 maan uwanja una camera chache pia zipo mbali

      Reply
    11. Mkoreajj on April 25, 2024 3:15 pm

      Uwekwe vigae kwenye pitch

      Reply
    12. Daniel cupa official on April 25, 2024 3:21 pm

      Waweke VAR na cam za azam humohumo tuone wanavyo fanya kazi yasije yale ya masandawana goli lina ingia VAR inakataa … Inaonekana wanajalidiligi humo ndani kutoa video za uongo…. tunataka tuwaone wanavyo fanya kazi zao

      Reply
    13. Sam on April 25, 2024 4:05 pm

      Kaka tupe updates za derby ya wanawake

      Reply
    14. Pingback: Akiondoka Benchika , Tutegemee Simba Gani Msimu Ujao? - Kijiweni

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.