Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Skudu Ni Waziri Wa Raha Lakini Karaha Kwa Gamondi?
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Skudu Ni Waziri Wa Raha Lakini Karaha Kwa Gamondi?

    MhaririBy MhaririApril 14, 2024Updated:April 14, 20241 Comment2 Mins Read990 Views
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Skudu
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Skudu Makudubela ni miongoni mwa wachezaji ambao wanapata wakati mgumu kupenya kwenye Kikosi cha kwanza cha Miguel Angel Gamondi kwa sababu kocha huyu ukimtazama lakini pia ukiitazama timu inavyocheza ni muumini wa mchezaji ambaye ana faida wakati timu yake ikiwa haina mpira mguuni na ndio maana wananchi wanavyocheza wanakua nit imu ambayo inakua na kasi sna wnapokua kwenye upande wa mpinzani.

    Gamondi ni kocha ambaye anataka mchezaji ushiriki katika kusaka mpira kwa kasi sana pindi tuu ukipotea kwenye himaya yenu, jambo kubwa unalotakiwa kufanya ni kuanza kumnyima mpinzani wako nafasi ya kupitisha mpira ukiwa kwenye himaya yake nah ii ndio faida kubwa waliyonayo Yanga hivi sasa kwakua wanakua haraka sana kuupambania na kuurejesha mpira katika himaya yao pale tu ukipote miguuni mwao.

    Skudu ni mchezaji ambaye jinsi anavyocheza uwanjani hawezi kufanya kazi hiyo kwa sababu yeye ana furahia  zaidi kucheza Soka kwa kuuchezea mpira ukiwa katika himaya yake na ukimpotea basi anakua hana uwezo wa kuutafuta kwani ni mvivu kwenye kukaba.

    Nyota huyu amekosa nafasi ya kucheza Yanga kwa sababu za ki mfumo tuu lakini si kiwango chake kidogo, yule Maxi Nzengeli, Augustine Okrah na nyota wengine wote wanaocheza pembeni pale Yanga Wana faida hata timu yao ikipoteza umiliki wa mpira kwani huwa wanakaba na wana kasi.

    SOMA ZAIDI: Itawachukua Muda Mrefu Sana Yanga Kumpata Golikipa Mwingine

    gamondi yanga tetesi za usajili yanga

    1 Comment

    1. Pingback: Yanga Ya Gamondi Inamchanganyia Mafaili Benchikha ? - Kijiweni

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.