Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Simba Ikishindwa Kufuzu Nusu Fainali Uongozi Uwajibike?
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Simba Ikishindwa Kufuzu Nusu Fainali Uongozi Uwajibike?

    MhaririBy MhaririApril 2, 2024Updated:April 2, 20241 Comment2 Mins Read3K Views
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Kiongozi wa Simba
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Kuna wakati maswali mengi yanakuja juu ya hawa wanaofanya usajili kwenye kikosi cha SIMBASC kwani ukweli kwa mtazamo wa nje unaona makosa ya wazi yanafanywa na uongozi wa simba nyakati za kufanya sajili zenye tija kwa klabu na badala yake kuwa na mapambio yasiyo na msingi kwa wachezaji hawa wanaosajiliwa.

    Nadhani nitakua sahihi kusema kuwa bado Simba haifanyi usajili wa kuivusha kwenda hatua ya nusu fainali na kwa namna hii itabaki na kuendelea kuwa ndoto ambayo kila mmoja anaiwazia ya kwenda nusu fainali ya ligi ya mabingwa Afrika.

    Siku zote tuambiane ukweli kuwa siasa na mpira ni vitu viwili tofauti ni matusi makubwa kwa Simba kufeli mtihani mmoja zaidi ya mara Kuzingatia uwajibikaji katika usajili kunaweza kuleta matokeo chanya kwa Simba SC na kwa soka la Tanzania kwa ujumla. Kwanza, itaimarisha imani ya mashabiki na wadau wa soka kwa uongozi wa klabu na kwa ujumla soka la Tanzania. Pili, itasaidia kukuza vipaji vya wachezaji wenye uwezo na kuhakikisha kwamba kikosi cha Simba SC kinakuwa imara na cha ushindani zaidi katika mashindano ya kitaifa na kimataifa. Aidha, uwajibikaji katika usajili unaweza kusaidia kujenga taswira nzuri ya soka la Tanzania kimataifa, hivyo kuwavutia wachezaji na wawekezaji wa kimataifa kushirikiana na klabu zetu.

    Sasa kama kweli kunania ya kwenda nusu fainali inatakiwa uongozi wa Simba wabadilike kwenye kufanya usajili na kuamua kuianza na Simba ambayo watu watakua na Imani nayo ambayo itawafanya mashabiki waipende na kuikubali zaidi timu yao.

    Mashabiki wanatamani kuona mabadiliko na mafanikio katika michuano ya kimataifa na viongozi wanapaswa kuamini kuwa robo fainali sio kitu cha kujivunia kwani kama timu imekwama hapo muda mrefu sana.

    SOMA ZAIDI: Kwanini Yanga vs Mamelodi Na Sio Simba vs Al Ahly?

    simba sc simba vs al ahly

    1 Comment

    1. Pingback: Simba Na Yanga Mmejifunza Nini Ligi Ya Mabingwa? - Kijiweni

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.