Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Hili La AL HILAL Kucheza Ligi Kuu Ya Tanzania Limenitafakarisha
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Hili La AL HILAL Kucheza Ligi Kuu Ya Tanzania Limenitafakarisha

    MhaririBy MhaririMarch 19, 20241 Comment2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Kikosi Cha Timu Ya AL HILAL
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Ni suala la ujirani mwema tu hakuna namna tuwapokee kama ilivyo desturi yetu kwa wageni. Tukiwapokea na kuwapa nafasi washiriki Ligi yetu hii itaendelea kutoa funzo kwa wengine kwani ujio wa Al Hilal ya Sudan katika Ligi Kuu ya NBC itaenda kuongeza kitu ingawa haitaathiri chochote kwenye kupoteza alama tatu kwa timu pinzani itakayocheza nayo siku hiyo.

    Hakuna asiyeujua ukubwa wa Al Hilal na ubora wao lakini pia hakuna timu isiyotamani kucheza dhidi yao ili kuijitengeneza na kuendelea kujiimarisha zaidi.

    Nafiriki hii itakuwa njema sana kwa zile timu ambazo zitakazoenda kucheza michuano ya kimataifa kwa msimu ujao. Hapa itaenda kuongeza kitu na kuwapa nafasi zaidi wachezaji ambao watakuwa katika timu shiriki.

    Katika maisha ya kawaida hakuna asiyepitia matatizo na ikitokea imekuwa hivyo mpe nafasi kwani kwako haikupunguzii chochote. Tuseme karibuni Al Hilal SC katika Ligi shindani Afrika Mashariki.

    Hilo suala la nani atazidiwa alama na Al Hilal wala kwao siyo kesi na haitaondoa chochote kuhusu hilo. Tanzania ya amani tunawapenda majirani. Kuna wakati niliwahi kuwaza hili jambo nilipoona wakati ule wanatanga tanga, nikataka kushauri hili kufanyika na nimefurahi kujua kumbe pale TFF kuna watu wana uwezo wa kufikiria mambo yenye tija kwa ligi yetu.

    Nakumbuka mwezi January nilishangaa kwa nini hawakujumuishwa katika mashindano yaliyopita ya Kombe la Mapinduzi wakati walikuwepo hapa hapa.

    SOMA ZAIDI: Barua Kwako Pacome Zouzoua Profesa Wa Boli

     

    al hilal kucheza ligi kuu Al Hilal Sudan

    1 Comment

    1. Pingback: Hii Ndio Mbavu Ya Kushoto Ya Azam Fc Yenye Balaa Zaidi - Kijiweni

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.