Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Simba Ana Nafasi Ya Kuendeleza Ubabe Dhidi Ya Ahly Kwa Mkapa
    Africa | CAF

    Simba Ana Nafasi Ya Kuendeleza Ubabe Dhidi Ya Ahly Kwa Mkapa

    MhaririBy MhaririMarch 25, 20241 Comment2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Simba Sc vs AL AHLY
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Pamoja na umwamba wake wote timu Al Ahly mbele ya Simba SC haina rekodi ya kutisha ambayo inaweza kumfanya Mnyama Simba awe mnyonge. Takwimu zinazungumza lakini rekodi pia zipo wazi. Ndani ya mechi 6 Simba SC ameshinda 2 na Al Ahly pia ameshinda mechi 2 na michuano ya African Football League ambayo imazifanya timu hizi kwenda sare ya mechi mbili.

    Michezo miwili inayofuata inaenda kuweka rekodi nyingine yakufikisha jumla ya michezo 8 kwahiyo hakuna kinachoweza kuwafanya wanalunyasi kuwa waoga mbele ya Al Ahly.

    REKODI ZA MABAO

    Sadio Kanoute – ⚽⚽

    Karim Nedved – Al Ahly ⚽⚽

    Kahraba – Al Ahly ⚽⚽

    Reda Slim – Al Ahly ⚽

    Kibu Denis –  ⚽

    Wakati hayo yanaendelea ni wazi kuwa mashabiki na wafuasi wa klabu ya Simba wameona mchezaji wao Aubin Kramo ambaye amerejea kwenye mazoezi na timu lakini swali kubwa likawa vipi kuhusu mchezo dhidi ya Al Ahly na ile ya Ligi Kuu?

    Hakuna ambaye hafahamu kuhusu majeraha ambayo aliyapata na kumfanya kuwa nje ya soka kwa muda sasa lakini kwa sasa amepona lakini ni wazi kuwa katika msimu huu hajasajiliwa kwenye dirisha la mashindano maana baada ya kufika dirisha dogo la usajili klabu ya Simba iliona kuwa anahitaji kukaa nje kwa muda mrefu kwa hivyo Jina lake likaondolewa kwa wachezaji waliosajiliwa kwenye ligi ya ndani na hata Kimataifa ila akabaki kama muajiriwa wa Simba kwa hiyo akaendelea kupata stahiki zake kwa maana mishahara na mambo mengine.

    SOMA ZAIDI: Takwimu Zinaibeba Yanga Mbele Ya Mamelodi Sundowns?

     

    simba sc tanzania simba vs al ahly

    1 Comment

    1. Pingback: Kuhusu IHEFU Na Umiliki Wa Siri ,TFF Mnaniwazisha Mno - Kijiweni

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.