Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    ZAINABU ( 01)

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Kwanini Mdhamini Mmoja Timu 6 Ligi Moja?
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Kwanini Mdhamini Mmoja Timu 6 Ligi Moja?

    MhaririBy MhaririMarch 11, 20244 Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Kuna upepo hivi sasaa unasambaa kama moto wa mafuta ya petroli kuwa inakuwaje kwenye ligi moja mdhamini aweze kudhamini timu 6 kwenye ligi moja? Kwa maana hiyo kumeendelea kuibuka tena kwamba hizi timu ndogo zinazodhaminiwa na GSM kupitia kampuni ya Haier kuwa  zinaipa Yanga matokeo ya bure kwa sababu tu zinatokana na mdhamini kuwa mmoja.

    Swali la kujiuliza je Simba na Azam na zenyewe zimedhaminiwa na GSM? mbona wanakula kichapo kama kawaida? Au tujiulize swali jepesi dogo kabisa ambalo kila mmoja anaweza kujiuliza Azam anadhamini timu 16 kwenye ligi kuu Tanzania bara je naye anashiriki kuifanya ligi kuwa ya mchekechea? Mbona mpo kimya??

    Wanasema siku zote ukiwa na timu mbovu unatafuta kila aina ya sababu na kuandaa propaganda mbalimbali ili kuwafanya tu watu waache kuzungumzia jinsi ambavyo timu yako haifanyi vizuri au kuwa na matokeo ambayo hayaridhishi.

    Hata ukiangalia kwenye mashindano makubwa ya CAF champions league na kwenyewe YANGA inahonga? Nadhani ni wakati wa kubadilika na kuamini kuwa kuna kipindi timu inaweza kufanya vizuri na kuna wakati pia tunapaswa kuamini kuwa kuna wakati timu itakua katika kipindi kigumu na kushindwa kufanya vizuri hata kama mtakua mmesajili wachezaji ambao mnakua mmeaminishwa au walikotoka walikua wanafanya mengi makubwa.

    Ni lazima ifikie wakati Watanzania tubadilike na tuache upumbavu. Walianza Yanga wachawi, ikaenda wanatembeza bahasha, sasa upepo upo kwa GSM kudhamini timu 6 hawataki na imekuwa mada kuu kwa sasa na hii inaonesha ni jinsi gani mafanikio na mabadiliko ya utendaji ndani ya klabu ya Yanga yanavyowaumiza kichwa.

    SOMA ZAIDI: Alichofanya Mwigulu Kwa Ihefu Ni Kawaida Tu Katika Mpira

    gsm yanga Haier
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views
    Ligi Kuu ya NBC

    RATIBA YA LIGI KUU YA NBC MSIMU WA 2025/2026

    August 29, 202513K Views
    Don't Miss
    Hadithi March 23, 2026

    ZAINABU ( 01)

    NAITWA ZAINABU ALIYU! Hii ni Hadithi ya Maisha yangu…..!!  Mimi ni Mtoto wa kwanza kati…

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (08)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2026 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.