Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Simba Wangeanza Na Huyu Anayeleta Wachezaji
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Simba Wangeanza Na Huyu Anayeleta Wachezaji

    MhaririBy MhaririMarch 10, 20241 Comment2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Skauti wa klabu ya Simba Mels Daalder
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Nikiri kuwa sipingani na jambo hili lakini ni wazi kuwa uongozi wa klabu ya Simba unapaswa kuwa makini zaidi kwani ndio eneo ambalo mara nyingi mashabiki hufurahia wakati wakitambulishwa wachezaji lakini wakiwa uwanjani mambo hubadilika kwao n ani wachache sana ambao huja na kuingia katika kikosi moja kwa moja.

    Ni wazi kuwa katika kikosi cha klabu ya Simba yule Skauti amefanya kazi kubwa tu ya kuleta wachezaji wapya na wazuri na naelewa kuwa skauti kazi yao ni kufikisha kwa benchi la ufundi ambapo ndio wanafanya kazi yao ila mchezaji kuwa productive kwenye kikosi ni jambo lingine,

    Kufanya scouting ni jambo moja na mchezaji kuingia katika kikosi cha kwenye timu ni jambo linguine kwani Simba tatizo lake sio ufungaji tu angalia hata eneo lake la ulinzi, angalia kiungo mkabaji anacheza kama namba 8 na namba 8 sijui atacheza kama nani?, Naweza sema kuwa simlaumu skauti wa Simba kisa timu haifanyi vizuri, hata wakina Baleke walikuwa wanakosa magoli ya wazi.

    Mels Daalder ndiye mkuu wa skauti kwa wekundu wa msimbazi lakini sio anachokifanya ni bora hata mngewachukua wachambuzi wetu kama akina Shafii Dauda tujue hata akileta mchezaji nini aambiwe mapema au mashabiki wajue tu anayekula pesa za skauti Simba ni Mtanzania mwenzetu

    Kina Freddy sikatai ni wachezaji wazuri ila wanahitaji kupewa muda na ukweli dirisha dogo siyo la kufanya usajili wa mchezaji kumsikilizia, unatakiwa ufanye usajili wa aina ya Ntibazokiza ambao waliingia kwenye kikosi moja kwa moja na kuanza kuisaidia team

    Dirisha dogo ni la kusaka mchezaji/wachezaji wachache kwa lengo la kuongeza nguvu maeneo kadhaa tu, unakuwa na Scouting team inakuletea wachezaji wa majaribio

    SOMA ZAIDI: Ni Wakati Wake Sishangai Haya Mapambio Kumhusu

    benchikha simba chama simba

    1 Comment

    1. Pingback: Yanga vs Ihefu Wachezaji Hatari Wa Kutazamwa Hii Leo - Kijiweni

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.