Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Azam FC Mmetengeneza Ugonjwa Utakaosumbua Ligi Kuu
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Azam FC Mmetengeneza Ugonjwa Utakaosumbua Ligi Kuu

    MhaririBy MhaririMarch 5, 20241 Comment2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Mchezaji wa AZAM FC Prince Dube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Ukizungumzia moja kati ya washambuliaji ambao kwa namna moja ama nyingine walikua na msaada mkubwa katika kikosi cha Azam Fc basi huwezi kuacha kutaja jina la mwanamfalme Prince Dube ambaye amekua moja kati ya mpambanaji mkubwa katika kikosi hicho.

    Kama mnakumbukumbu wa wakati ule wa sakata la Feisal Salum kushinikiza kuvunja mkataba na Yanga kwenda Azam FC kinyume na utaratibu wengi walisema kuwa hili ambalo wanalolifanya Azam FC na Yusuf Bakhresa wanatengeneza kansa mbaya kwenye soka la Tanzania, haitaishia kwa Yanga tu kama baadhi ya watu wanavyodhani bali itaendelea kutafuna katika vilabu mbalimbali nchini.

    Matajiri watatumia sakata la Feisal kama shamba darasa ili kurubuni wachezaji wenye mikataba halali na timu zao wakiwa hawana uoga kwamba sakata litaisha tu kwa busara kama ilivyokuwa kwa Feisal.

    Unaweza kudhani labda nimechanganyikiwa au nawachukia matajiri wa Chamazi lakini ukweli ni kwamba nafurahia sana mafanikio yako ambayo wako nayo ila kile ambacho walikianzisha ni wazi kuwa wao walifanikiwa lakini kitawatafuna zaidi pia wao wenyewe na kuwafanya wapate migogoro na wachezaji wao.

    Ni wakati wao sasa kujitathmini na kuona wanajiandaaje katika kupambana na changamoto kama hizi ambazo mara nyingi hutokea ile kauli ya busara itumike kumaliza jambo hili kwani kwa asilimia kubwa kabisa ni wazi sakata la Prince Dube kushinikiza kuvunja mkataba na Azam FC linafanana vilevile kama la Feisal Salum Abdallah. Azam wanahaha muda huu, wamesahau kwamba waliwahi kuwa mshirika mkuu wa hili.

    SOMA ZAIDI: Timu Zinazoongoza Kwa Udhamini Ligi Kuu Ya Nbc

    DUBE AZAM FC PRINCE DUBE

    1 Comment

    1. Pingback: Barua Kwako Mwanamfalme Prince Dube - Kijiweni

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.