Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Barua Kwa Wachezaji Wa Simba Kuelekea Mchezo Na Jwaneng
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Barua Kwa Wachezaji Wa Simba Kuelekea Mchezo Na Jwaneng

    MhaririBy MhaririFebruary 27, 20241 Comment2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Simba Sc
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Kwenu wachezaji wa simba,

    Najua mnafahamu namna ambavyo mchezo dhidi ya Jwaneng ulivyo na umuhimu mkubwa zaidi kwenu na klabu ya simba kwa ujumla bila kusahau kwa soka la Tanzania ambalo tumeshuhudia tayari ndugu zenu Yanga wakiwa wamefuzu hatua ya robo fainali.

    Kuelekea mchezo wa Jumamosi dhidi ya Jwaneng Galaxy mnapaswa kukumbuka katika yale maumivu yaliyoachwa ndani ya mioyo ya wana Simba kwenye dimba la Benjami Mkapa ambapo klabu ya Simba ilikuwa ikihitaji ushindi wowote ama sare ili iweze kusogea hatua inayofuata ila kwa bahati mbaya Jwaneng walitibua sherehe zile.

    Jina la mchezaji Gape Edwin Mohutsiwa litakumbukwa zaidi pale LUPASO alipozamisha jahazi la Simba kwa kupachika bao la 3 na kuufanya mchezo ule kumalizika kwa jumla ya mabao 3-1 na kulevo Aggregate ya mabao 3-3.

    Mimi naikumbuka kabisa ilikuwa dakika ya 86′ ambapo Mohutsiwa alipopiga mpira wa kichwa uliojaa kambani na kumshinda mlinda mlango Aishi Salum Manula kisha game kumalizika kwa Jwaneng Galaxy kuibuka na ushindi ule.

    Naomba niwaambie kuwa siku ya Jumamosi kwenye dimba la Mkapa mnatakiwa kuonsha namna gani nyie ni Wenye Nchi kama ambavyo mmekua mkijinasabaisha katika mambo yenu na nategemea kuwaona mkiwa tofauti na ari kubwa zaidi ya kuitaka kuimaliza mechi mapema.

    Wako katika ujenzi wa tasnia ya michezo

    Mwanamichezo.

     

    SOMA ZAIDI: Barua Nzito Ya Shabiki Wa Simba Kwenda Kwa Yanga

    simba vs jwaneng galaxy

    1 Comment

    1. Pingback: Karabaka Ni Dhahabu Iliyopo Simba Isiyotumika Vyema - Kijiweni

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.