Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Kwa Hili Ayoub Kaitia Matatani Simba Kimataifa?
    Africa | CAF

    Kwa Hili Ayoub Kaitia Matatani Simba Kimataifa?

    MhaririBy MhaririFebruary 21, 20241 Comment2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Golikipa Ayoub Lakred
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Katika kila timu moja kati ya nafasi ambayo mara nyingi huwa inazingatiwa sana katika kikosi ni pamoja na nafasi ya mlinda lango au unaweza kusema golikipa kwani yeye ndio anajukumu zito la kuzuia mpira usiingie nyavuni na hapa lazima umtaje golikipa Ayub Lakred.

    Wengi watakua wanajiuliza sasa Ayoub anawaingizaj matatani klabu ya Simba? Nadhani kwa sasa licha ya kurejea kwa Aishi Manula bado kocha wa magolikipa wa klabu ya Simba atakua anawaza nani aanze golini kati ya Manula,Charles Abel au Ally Salim katika mchezo wa ugenini wa dhidi ya Asec Mimosas.

    Hii ni kutokana na kuwa mpaka sasa klabu ya Simba hakuna ambae anaweza kusema kwamba yeye ndio golikipa namba moja kutokana na viwango vyao na ubora wao walionao magolikipa wa timu hii yenye asili yake mitaa ya Msimbazi.

    Katika michezo sita ambayo Simba imecheza baada ya mapumziko mafupi kupisha michuano ya AFCON, tayari makipa watatu kati ya wanne wameonekana katika michezo toafuti, akiwemo Ayoub alidaka mechi tatu dhidi ya JKT Tanzania, Azam FC na Tabora United.

    Kwa upande Aishi Manula amesimama katika mlingoni katika mchezo kati ya Geita Gold FC na Mashujaa FC na Hussein Abel alidaka mechi moja ya Kombe la Shirikisho FA dhidi ya Tembo FC ya Tabora, uwanja wa Azam Complex, Chamazi Dar-es-Salaam.

    Swali ni kwamba nani aanze? Kati ya Abel, Ally Salum pamoja na Manula kwani Ayoub Lakred yeye atakosekana katika mchezo dhidi ya ASEC kutokana na kuitumikia adhabu ya kadi za njano.

    SOMA ZAIDI: Kama Una Tabia Hizi Hupaswi Kuitwa Shabiki Wa Yanga.

    CAF CHAMPIONS LEAGUE SIMBA SC

    1 Comment

    1. Pingback: Vita Ya Mbinu Itakavyoamua Asec Mimosas vs Simba Sc - Kijiweni

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.