Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Nini Maana ya “GG in Both Halves” Katika Betting?
    Chuo cha Kubeti

    Nini Maana ya “GG in Both Halves” Katika Betting?

    MhaririBy MhaririFebruary 19, 20248 Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    GG in both Halves
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Mambo vipi? Karibu sana kwenye Chuo Cha Kubeti na bila shaka utakua ni miongoni mwa wale ambao wametafuta zaidi kuhusiana na soko hili la “Both Teams to Score in Both Halves” na sisi tuko hapa kwa ajili ya kukufafanulia vizuri zaidi ili wakati wa kubashiri usiteseke kujiuliza jinsi gani utaweka mkeka katika option hii rahisi zaidi.

    Katika betting neno GG husimama badala ya Both teams to score yaani kwa Kiswahili ni timu kufungana hivyo basi unapaswa kufahamu kuwa ukiiona popote pale option hii maana yake nit imu kufungana lakini sasa katika hii ya leo limeongezeka neno Both Halves ambapo lina maanisha kuwa vipindi vyote viwili.

    Ukitaka kubashiri katika soko hili ni muhimu kufahamu kuwa unaweka ubashiri wa kuwa timu zifungane katika vipindi vyote viwili yaani kipindi cha kwanza na kipindi cha pili ili uweze kushinda option hii.

    Mfano: Mechi kati ya Barcelona vs Real Madrid ukiweka ubashiri wa option hii ya GG in Both Halves maana yake ni kuwa katika mechi hii kipindi cha kwanza timu zifungane magoli yoyote yale 1:1, 1:2, 2:1 nk lakini pia na kipindi cha pili nacho kuwe hivyohivyo au zaidi yake cha msingi cha kuzingatia hapa ni timu zifungane.

    Endapo itatokea labda kipindi cha kwanza timu zikifungana na kipindi cha pili zisipofungana basi tambua kuwa mkeka wako umechanika na ikitokea hivyohivyo kwa kipindi cha kwanza basi tambua kuwa pia utakua umechanika.

    SOMA ZAIDI: Nini Maana Ya Match Result and GG Katika Betting?

    betting GG

    8 Comments

    1. Pingback: Timu Za Kuziepuka Ukiwa Unasuka Mikeka - Kijiweni

    2. Pingback: Mkeka Wa Leo Jumatano Wa Motooo - Kijiweni

    3. Pingback: Nini Maana Ya “To Win Both Halves”na “Goal in Both Halves” - Kijiweni

    4. Pingback: Mkeka Wa Leo Jumatatu 22/04/2024 Anza Wiki Kibabe - Kijiweni

    5. Pingback: Mkeka Wa Leo Jumanne 23/04/2024 - Kijiweni

    6. Melick on May 27, 2024 2:18 pm

      Hii kali

      Reply
    7. Kelvin on May 27, 2024 2:31 pm

      Nini maana ya draw no bet (DNB)

      Reply
    8. Muhammed Suleiman on July 31, 2024 6:57 am

      Migggjvgyyf

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.