Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Yanga Waliuhitaji Zaidi Ushindi Kuliko Kitu Chochote
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Yanga Waliuhitaji Zaidi Ushindi Kuliko Kitu Chochote

    MhaririBy MhaririFebruary 5, 2024No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Mchezaji wa Yanga
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Ukiutazama mchezo wa Yanga dhidi ya Dodoma Jiji katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara ni wazi kuwa kwa namna ambavyo mchezo ulivyokua na jinsi ambavyo Yanga walikua wanacheza ni wazi kuwa walikua wanauhitaji zaidi ushindi katika mchezo huu ili kuweza kushusha presha kwa mashabiki baada ya sare dhidi ya Kagera Sugar.Goli la kwake Mudathir Yahya Abbas likiwapa Yanga alama 3 katika uwanja ambao amekua kisoka kuanzia akademi ya soka mpaka kucheza timu kubwa ya Azam Fc.

    Licha ya nafasi nyingi ambazo walizitengeneza na kuzikosa lakini hawakukata tamaa na kuonesha kuwa walikua na uhitaji mkubwa sana katika mchezo huu.

    Ukiwatazama namna ambavyo Dodoma walikua wanacheza walikuja na muundo mzuri wa kuzuia na kuwaheshimu wananchi  huku wakicheza kwa kushtukiza.

    Unaweza kusifu uwezo wa makocha wote lakini ni wazi lazima umsifie kocha wa klabu ya Yanga kwani Mabadiliko ambayo ameyafanya yameweza kumlipa na kumfanya aondoke na alama 3 katika dimba la Chamazi.

    Siku zote haijawahi kuwa rahisi mchezo unaowakutanisha Dodoma na Yanga licha ya kuwa wananchi wao wanaongoza kwa takwimu nzuri zaidi mbele ya walima zabibu wa Dodoma.

    Ushindi wa leo unawapa nafasi ya kupumua wachezaji wa Yanga na kushusha presha ya kupambania ubingwa wa ligi kuu kutokana na upinzani mkubwa uliopo kutoka kwa Azam Fc na Simba Sc.

    SOMA ZAIDI: Ligi Kuu Imerejea Marefa Kuweni Na Msimamo

    dodoma jiji fc yanga sc
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.