Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Ratiba Kamili Nusu Fainali AFCON
    Africa | CAF

    Ratiba Kamili Nusu Fainali AFCON

    MhaririBy MhaririFebruary 5, 2024No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Ratiba Kamili Nusu Fainali AFCON
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Utakua umeshaimisi tayari na sisi tumekuandalia hapa ratiba kamili ya hatua ya nusu fainali michuano ya kombe la mataifa barani Afrika, nani kutinga hatua ya fainali na kubeba ubingwa wa AFCON kwa mwaka huu ambao timu zilizoingia hatua hii ni wenyeji Ivory Coast, Afrika Kusini, Nigeria na DR Congo. Hii ndio ratiba kamili:

    Nigeria vs South Africa

    Nusu fainali ya kwanza ni mchezo kati ya Nigeria dhidi ya South Afrika utakaopigwa katika uwanja wa Bouaké. Nigeria ametinga hatua hii baada ya kumtoa Angola kwa kumfunga bao 1:0 lililofungwa na Lookman.

    South Africa wameingia hatua hii baada ya kumtoa Cape Verde kwa mikwaju ya penati baada ya mchezo kuisha sare ya bila kufungana dk 120 za mchezo pongezi kubwa zikiwa kwa Mlinda lango wa South Africa alieokoa penati 4.

    Mshindi wa mchezo huu anakutana na bingwa wa wa mchezo kati ya Ivory Coast dhidi ya DR Congo.

    Ivory Coast vs DR Congo

    Wenyeji wa michuano hii walipambana sana katika mchezo huu licha ya kuwa pungufu katika kikosi chao lakini waliweza kulazimisha kwenda dakika 120 na kufunga bao liliowapeleka hatua ya nusu fainali na ushindi wa mabao 2:1 dhidi ya Mali. Mabao yakifungwa na Simon Adingra na Oumar Diakité. DR Congo wametinga hatua hii kwa kuwafunga Guinea mabao 3:1 mabao ya Chancel Mbemba,Yoane Wissa na Arthur Masuaku huku bao la Guinea likifungwa na Mohammed Bayo.

    Mshindi wa mchezo huu atakutana na mshindi wa  mchezo kati ya Nigeria dhidi ya Afrika Kusini.

    Watakaofungwa katika mchezo wa nusu fainali ya kwanza na mchezo wa nusu fainali ya pili watakutana katika mchezo wa kutafuta mshindi wa 3.

    SOMA ZAIDI: Safari Ya Afcon Na Heshima Kubwa Kwa Ligi Za Afrika

     

     

     

     

    afcon AFCON 2023 afcon leo
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.