Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    ZAINABU ( 01)

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Mali vs Cote d’Ivoire Tunausuka Hivi Mkeka
    Chuo cha Kubeti

    Mali vs Cote d’Ivoire Tunausuka Hivi Mkeka

    MhaririBy MhaririFebruary 3, 20244 Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Mali vs Ivory Coast
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Baada ya mechi 2 za robo fainali hapo jana ambapo Nigeria na DR Congo zilifuzu hatua ya nusu fainali ya kombe la mataifa barani Afrika, hii leo tunawatazama Mali wakimenyana na wenyeji wa mashindano ambao ni timu ya taifa ya Ivory Coast ambapo mshindi wa hapa anakutana na Watoto wa Lubumbashi DR Congo.

    TAKWIMU

    Timu zote 2 mara ya mwisho kukutana ilikua ni AFCON ya mwaka 2019 ambapo Ivory Coast walishinda bao 1:0 na hii leo Mali atakutana na changamoto kubwa ya mashabiki soka vichaa wa Ivory Coast katika dimba la Bouake.

    • Mali wameshinda mara 1 dhidi ya Ivory Coast wakipata sare 2 na kupoteza mara 2 katika mechi 5 za mwisho kukutana baina yao.
    • Katika mechi 11 za mwisho za mashindano yote, Mali hawajafungwa huku wakipata ushindi mara 8.
    • Ukiachilia mbali kuwa na wachezaji wengi wenye vipaji lakini Mali hawajawahi kushinda ubingwa wa AFCON ingawa waliwahi kumaliza nafasi ya 3 na nafasi ya 4.
    • Ivory Coast wamewahi kuwa mabingwa wa AFCON mara 2 ambapo ilikua mwaka 1992 na mwaka 2015 huku mwaka 2006 wakiwa wa 2.
    • Mali wameshinda mara 3 na kusare mara 2 katika mechi zao 5 za mwisho huku Ivory Coast wao wameshinda mara 3 na kupoteza mara 2 katika mechi zao 5 za mwisho.

    TUNABETIJE?

    Kumekua na matukio mengi ya kushangaza katika michuano hii lakini kutokana na kiwango walichokionesha Ivory Coast katika mchezo wa mwisho ni wazi wanataka kurudisha heshima nyumbani kwani wao ndio waandaaji wa michuano hii.

    Utabiri Kutoka Kijiweni uko hivi:

    1. Ivory Coast anashinda mchezo huu
    2. Magoli zaidi ya 2 katika mchezo (Total Goals Over 2)
    3. Ivory Coast kuwa wa kwanza kufunga goli.
    4. Mali kupata goli ( Mali Goals Over 0.5)

    SOMA ZAIDI: Mkeka wa leo Jumamosi Odds 100

    AFCON 2023
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views
    Ligi Kuu ya NBC

    RATIBA YA LIGI KUU YA NBC MSIMU WA 2025/2026

    August 29, 202513K Views
    Don't Miss
    Hadithi March 23, 2026

    ZAINABU ( 01)

    NAITWA ZAINABU ALIYU! Hii ni Hadithi ya Maisha yangu…..!!  Mimi ni Mtoto wa kwanza kati…

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (08)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2026 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.