Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » DR Congo vs Guinea AFCON Tunabeti Hivi
    Chuo cha Kubeti

    DR Congo vs Guinea AFCON Tunabeti Hivi

    MhaririBy MhaririFebruary 2, 20241 Comment2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    DR Congo vs Guinea
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Ukiachilia mbali mchezo kati ya Nigeria na Angola mchezo mwingine wa pili wa kombe la mataifa barani Afrika hii leo hatua ya robo fainali ni kati ya DR Congo dhidi ya Guinea mchezo ambao utatoa timu itakayoenda kucheza nusu fainali dhidi ya Mali au Ivory Coast.

    TAKWIMU:

    DR Congo wamefuzu hatua hii kwa kumfunga Misri katika hatua ya 16 bora kwa njia ya penati 8 kwa 7 mechi ambayo mpaka dakika 120 iliisha kwa bao 1:1 mpaka kufika hatua ya matuta wakati Guinea wamefuzu kwa kuwafunga Equatorial Guinea bao 1:0 ambao walipungua na kuwa 10 baada ya kupata kadi nyekundu dakika ya 53.

    Kumbuka kuwa hii ndio mara ya kwanza kwa Guinea kushinda katika hatua ya mtoano na kufuzu hatua inayofuata wakati  DR Congo wao mara ya mwisho kuingia hatua ya robo fainali ni mwaka 2017.

    • Hii ni mara ya 8 wanakutana kati ya DR Congo vs Guinea ambapo mpaka sasa Congo anaongoza kwa kumfunga Guinea mara 4 huku Guinea akishinda mara 2 pekee na sare 2.
    • Mechi 6 za mwisho za Guinea zimekua na magoli chini ya matatu.
    • Katika michuano hii ni goli moja pekee limefungwa katika kipindi cha kwanza katika mechi zinazowakutanisha Guinea ambapo ni mechi 4 katika 3 za makundi na 1 ya 16 bora.
    • Congo wamepata sare katika michezo yao yote msimu huu.

    TUNABETIJE?

    DR Congo bila shaka watataka kuumaliza mchezo huu mapema ili wafuzu nusu fainali lakini msimu huu michuano ya mataifa barani Afrika imekua na matokeo ya kushangaza kabisa n ani wazi utakua mchezo mgumu.

    1. Kutakua na kufungana vipindi vyote – NO (Both Halves GG-NO)
    2. Kutakua na magoli zaidi ya 1 (Over 1.5)
    3. Kutakua na kona zaidi ya 5 (Over 4.5 Total Corners)

    SOMA ZAIDI: Nigeria vs Angola Tunasuka Hivi Mkeka

    afcon AFCON 2023 Afcon 2023 odds dr congo

    1 Comment

    1. temp mail on February 3, 2024 8:09 pm

      Just wanted to let you know how impressive I find your article to be. The clarity of your post is remarkable, leading me to believe that you are an authority on this subject. If it’s okay with you, I’d like to subscribe to your feed in order to be notified of future posts. Your work is truly appreciated. Please continue this gratifying endeavor.

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.