Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Ukibeti Hivi Robo Fainali AFCON Una Uhakika Wa Kushinda
    Odds za Moto

    Ukibeti Hivi Robo Fainali AFCON Una Uhakika Wa Kushinda

    MhaririBy MhaririFebruary 1, 20243 Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Wachezaji wa timu ya taifa ya Angola katika michuano ya AFCON
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Baada ya hatua ya makundi na ile ya 16 bora kombe la mataifa barani Afrika kukamilika ni wazi sasa macho na masikio ya wengi ni kutazama namna gani watasuka mikeka na kubeti katika mechi zilizobakia za AFCON kuanzia robo fainali, nusu fainali mpaka hatua ya fainali ambayo ndio itakayotoa bingwa wa michuano hii kwa mwaka huu.

    Kama hufahamu tu mechi zenyewe za AFCON ni kama ifuatavyo:

    • Nigeria vs Angola
    • DRC vs Guinea
    • Mali vs Ivory Coast
    • Cape Verde vs South Africa

    Tukianza kwa kuzitazama mechi zenyewe tunaona namna ambavyo mpira wa Afrika ulivyokua na matokeo yakikatili na namna ambavyo wale wasiotegemewa kufanya maajabu na kuendelea kuishangaza Afrika.

    Unajua unatakiwa kubeti vipi ili uwe na uhakika wa kushinda mikeka yako?

    Watu wamezoea kutumia masoko yaleyale kila siku ambayo ni Ushindi wa moja kwa moja au magoli zaidi ya 1 (Over 1.5). Ila unatakiwa kufahamu kuwa kuna masoko mengi mazuri ambayo unaweza kuyatumia na kushinda mkeka wako katika mechi hizi ambayo ni:

    1. Kubeti Nani Anafuzu (To Qualify)

    Katika mchezo huu lazima mmoja anatakiwa kufuzu na soko hili ni zuri kwani utaepukana na zile changamoto za mechi kwenda dakika 120 hadi penati kwani bado mkeka wako utakua Active kusubiria tun ani atafuzu.

    1. Kubeti Timu Isifungwe Goli (Home Team or Away Team Clean Sheet)

    Kwanza itabidi uangalie nani anarekodi ya kuruhusu sana magoli katika michuano hii toka imeanza kwa timu ambazo zimefika hatua ya robo fainali itakusaidia sana kubashiri na option hii. Hii maamuzi ni yako kwani unaweza kuweka wa nyumbani asiruhusu goli au wa ugenini asiruhusu goli ni suala la kuchagua tu.

    1. Kubetia Kona (Corners)

    Unajua hii ni option ambayo huwa na uwanda mpana sana katika ubashiri kwani kona ina vipengele vingi sana kama kuchagua nani wa kwanza kupiga kona kati ya timu ya nyumbani au ugenini lakini pia nani wa mwisho kupiga kona, pia utaangalia ujumla wa kona kwa kipindi cha kwanza au za kipindi cha pili kwahiyo ni wewe tu kuchagua.

    Kumbuka kubashiri kwa kiasi na kuweka mkeka ambao hata ukipoteza basi unaweza kurejesha kile kiasi ambacho umekipoteza na kumbuka kubashiri ukiwa na miaka 18 kupanda juu.

    SOMA ZAIDI: Ligi za kuziepuka wakati wa betting.

     

    afcon AFCON 2023 Afcon 2023 odds

    3 Comments

    1. Pingback: Nigeria vs Angola Tunasuka Hivi Mkeka - Kijiweni

    2. Pingback: Mkeka Wa Leo Ijumaa Wa Kuianza Wikiendi - Kijiweni

    3. Pingback: Mkeka wa Leo Jumamosi 03/02/2024 Odds 100 - Kijiweni

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.