Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Liverpool vs Chelsea Tunasuka Hivi Mkeka
    Chuo cha Kubeti

    Liverpool vs Chelsea Tunasuka Hivi Mkeka

    MhaririBy MhaririJanuary 31, 2024No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Liverpool vs Chelsea
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Mechi kubwa kabisa hii leo katika Ligi Kuu nchini Uingereza ni pale majogoo wa jiji na vinara wa ligi hiyo Liverpool akiwakaribisha Chelsea katika dimba la Anfield moja kati ya mechi kubwa sana ya ligi kuu nchini Uingereza ya kuumaliza mwezi wa kwanza.

    Wenyeji wametoka kwenye ushindi rahisi wa 5-2 nyumbani dhidi ya Norwich City katika raundi ya nne ya Kombe la FA mwishoni mwa wiki ambapo wachezaji watano walifunga mabao ambao ni Curtis Jones, Darwin Nunez, Diogo Jota, Virgil Van Dijk, na Ryan Gravenberch na kuisaidia Liverpool kufuzu kwa raundi ya tano watakayokutana na Watford au Southampton.

    TAKWIMU

    Liverpool wanaingia katika mchezo huu wakiwa nafasi ya 1 na alama zao 48 katika michezo 21 waliyocheza mpaka sasa wakati Chelsea wao wako nafasi ya 10 wakiwa na alama 31 kwenye michezo 21 waliyocheza mpaka sasa.

    • Wamekutana mechi 195 na mpaka leo anayeongoza ni Liverpool akiwa amemfunga Chelsea mara 84 na Chelsea akiwa ameshinda mara 65.
    • Michezo yao 7 ya mwisho kukutana mfululizo iliisha kwa
    • Kocha mkuu wa Chelsea Mauricio Pochetinho katika michezo 12 ya ukocha akikutana na Klopp ameshinda mchezo mmoja pekee huku akipata sare michezo 5 na kupoteza michezo 6.
    • Chelsea wana rekodi ya kushinda michezo takribni 18 kwa timu ambazo mara nyingi huwa inaongoza ligi.
    • Katika michezo yao 6 kati ya 7 ya ligi kuu inayowakutanisha, Chelsea wamekua ndio wa kwanza kufunga goli dhidi ya Liverpool.
    • Liverpool wako katika kiwango bora zaidi kwa sasa wakiwa na mechi 10 bila kufungwa hata moja.

     

    TUNABETIJE?

    Kutokana na namna takwimu zao zilivyo na jinsi ambavyo matokeo yo yalivyokua katika mechi zao walizokutana, hivi ndivyo tunavyosuka mkeka hapa Kijiweni.

    1. Magoli katika mchezo huu kunauwezekano mkubwa yakawa zaidi ya goli 1 yaani Over 1.5 au yakawa chini ya magoli 3 yaani Under 2.5.
    2. Kona katika mchezo huu tutegemee kon zaidi ya 10 yaani Total Corners Over 9.5
    3. Kuna uwezekano mkubwa wa kutokea kwa zaidi ya kadi 5 katika mchezo huu Total Bookings Over 4.5

     

    SOMA ZAIDI: Mkeka Wa Leo Jumatano Odds 200

    liverpool fc Liverpool vs Chelsea
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.