Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Nottingham Forest vs Arsenal Takwimu Za Mkeka
    Biriani la Ulaya

    Nottingham Forest vs Arsenal Takwimu Za Mkeka

    MhaririBy MhaririJanuary 30, 2024No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Nottingham Forest vs Arsenal
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Hekaheka za ligi kuu ya Uingereza zinaendelea tena kwa klabu ya Nottingham Forest kumkaribisha Arsenal katika uwanja wa Ground City mchezo wa raundi ya 22 ambapo mgeni akiingia katika mchezo huo akiwa na kumbukumbu ya kutolewa katika ramani ya ubingwa msimu uliopita.

    DONDOO:

    Nottingham anaingia katika mchezo huu baada ya kutoka kusuluhu ugenini kwa Bristol City katika mchezo wa raundi ya 4 ya kombe la FA huku Arsenal wao wakiingia katika mchezo huu huku wakiwa wamepumzika vya kutosha wikiendi iliyopita baada ya wao kutolewa na Liverpool katika raundi ya 3 ya michuano hiyo.

    Arsenal wanaingia katika mchezo huu wakitaka kuendeleza kile ambacho walikifanya wiki iliyopita baada ya ushindi wa mabao 5:0 kwa Crystal Palace katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza.

    TAKWIMU:

    • Hii ni mechi ya 105 kati yao kukutana ambapo Arsenal ameshinda michezo 53 na kupoteza michezo 29 na kupata sare michezo 22.
    • Mechi ya hivi karibuni kati yao ni ile ya ufunguzi wa ligi ambapo Arsenal alishinda bao 2:1.
    • Magoli 22 kati ya magoli 29 aliyofungwa Forests katika uwanja wake wa nyumbani wamefungwa kipindi cha 2.
    • Arsenal hawajafunga zaidi ya goli moja katika michezo yake 4 ya mwisho ugenini katika mechi za ligi huku akipoteza michezo 2.
    • Magoli 6 kati ya 9 ya Bukayo Saka msimu huu ameyafunga kipindi cha kwanza.
    • Nottingham wanaingia katika mchezo huu huku wachezaji wao takribani 6 wakiwa katika michuano ya AFCON katika nchi mbalimbali walizoitwa.

    TUNABETIJE?

    1. Arsenal anashinda mchezo (Arsenal Win)
    2. Kipindi cha kwanza timu kufungana Hapana (Both teams to score 1st Half No)
    3. Magoli zaidi ya 3 (Over 2.5 Goals)
    4. Magoli mengi zaidi kupatikana kipindi cha pili (Highest scoring half: Second half)

    SOMA ZAIDI: Morocco vs South Africa, Takwimu Na Mkeka

    Arsenal Nottingham Forest
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.