Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Tottenham vs Man City Tunabeti Vipi?
    Biriani la Ulaya

    Tottenham vs Man City Tunabeti Vipi?

    MhaririBy MhaririJanuary 26, 2024No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Tottenham vs Man City
    Soccer Football - Premier League - Manchester City v Tottenham Hotspur - Etihad Stadium, Manchester, Britain - December 3, 2023 Tottenham Hotspur's Giovani Lo Celso scores their second goal Action Images via Reuters/Lee Smith
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Wakiwa katika uwanja wao wa nyumbani wa Tottenham Hotspur wanawakaribisha mabingwa watetezi wa kombe hili klabu ya Man City moja kati ya mechi kubwa zaidi inayotarajiwa kutazamwa kwani inazikutanisha miongoni mwa timu kubwa kutoka katika ligi kuu ya Uingereza.

    Hii ni mara ya 15 kwa Tott na Man City kukutana katika michuano hii ya FA na cha kushangaza zaidi ni kwamba Man City wamepoteza takribani michezo 5 ya michuano hii wanapokua wanakutana na Tott katika uwanja wao wa nyumbani na sio tu kupoteza bali wamekua wakishindwa kupata hata goli huku katika mechi hizo 5 akipiga mashuti 84 na mashuti 22 pekee yakilenga lango bila kugusa nyavu za Tott.

    Tottenham anaingia katika michuano hii akiwa na rekodi ya kushinda michezo yake 12 kati ya 13 huku akisare mmoja na hii ni tangu alivyopoteza mchezo dhidi ya Crystal kwa bao 1:0 mwaka 2016 katika uwanja wa White Hart Lane na hii ni mara ya kwanza wanakutana na mabingwa watetezi wa michuano hii toka mwaka 1952 walipopoteza kwa mabao 3:0 kutoka kwa bingwa mtetezi ambaye alikua ni Newcastle.

    Nadhani baada ya kusoma highlights hizo ni wakati sasa wa kutazama katika mchezo huu tunabetije? Yaani tunasukaje mkeka haswa katika mechi hii kubwa kabisa?

    Kwanza kabisa tunaweza kuangalia masoko mengine ya ubashiri na sio kutazama kuhusu nani ataibuka kuwa mshindi wa mchezo huu kwani kuna wakati mpira huwa na matokeo ambayo huwezi kuyatarajia.

    Kubashiri kuhusu kadi ni moja kati ya njia nzuri ya kujilinda na kupoteza ubashiri katika mchezo huu kwani hapa unaweza kuamua kuchagua zipatikane kadi ngapi katika mchezo huu na mimi nakushauri ubashiri kupatikana kwa kadi zaidi ya 3 katika mechi yote yaani Total Booking Over 2.5.

    Kwa wale ambao wanaelewa zaidi kuhusu kona wanaweza kubashiri kuwa mchezo husika uwe na kona au kwa kuchagua timu moja pekee iwe na kona ambapo unaweza bashiri Total Corners Man City Over 4.5 yaani Man City wapige kona zaidi ya 5 katika mchezo huu.

    KDB amerejea akiwa na moto kwelikweli lakini kumbuka kuwa Phil Foden ndio mchezaji kutoka Man City ambaye amehusika katika magoli mengi ya timu hiyo kwani amefunga mabao 16 katika mechi 14 alizoanza katika michuano ya FA  hivyo unaweza kubashiri Soko la Player Specials kuwa Phil Foden apige mashuti zaidi ya matatu golini yaani Foden Total Shots Target Over 2.5.

    SOMA ZAIDI: Huu Hapa Mkeka Wa Leo Ijumaa

    Man city man city fa cup tottenham hotspurs
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.