Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Man City vs Huddersfield: Ubashiri Na Vidokezo Vya Mkeka
    Odds za Moto

    Man City vs Huddersfield: Ubashiri Na Vidokezo Vya Mkeka

    MhaririBy MhaririJanuary 7, 2024No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Man City vs Huddersfield
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Baada ya kuchukua ubingwa wa dunia ngazi ya vilabu klabu ya Man City walirejea na ushindi ligi kuu ya Uingereza dhidi ya Everton na Sheff Utd mabingwa watetezi wa kombe la FA wanarejea kuutetea ubingwa wao kwa kucheza dhidi ya klabu ya Daraja la kwanza Huddersfield Town.

    Katika mchezo wa leo tegemea kocha mkuu wa City akifanya mabadiliko ya kikosi chake nah ii ni kutokana na kile alichonacho cha kutofungwa mechi 6 mfululizo ambapo ameshinda mechi 4 na kusare mechi 2 na mechi ya mwisho ya FA kucheza ameshinda mabao 5:1.

    Ikumbukwe kabla ya mchezo huu katika mechi 10 ambazo City amecheza mechi moja pekee ndiyo ambayo hakuruhusu nyavu zake kutikiswa na mpinzani kwani na hii ni nje ya mechi za klabu bingwa ya dunia alizocheza kwani ameshinda mechi 5 kupata sare 4 na kufungwa mechi 1.

    Hudders wanaingia katika mchezo huu wakitoka kupoteza dhidi ya Leicester kwa kipigo cha bao 4:1 siku ya mwaka mpya iliyopelekea kuendelea kuwa na muendelezo wa matokeo mabovu zaidi msimu huu katika ligi ya Championship kwani katika mechi 8 za mwisho kucheza ameshinda mchezo mmoja pekee akisare michezo mitatu na kupoteza michezo minne.

    VIDOKEZO VYA UBASHIRI

    Muendelezo bora wa matokeo alionao City mpaka sasa ni wazi mchezo huu ataingia kwa lengo kuu moja ambalo ni kushinda mchezo (City Win)

    Hudders msimu huu wamefungwa mabao 44 katika mechi 26 zote walizocheza leo wanaweza kufungwa zaidi ya magoli 3 Kwa wale wa ushindi na magoli wanaweza kumpa Man City ashinde kwa zaidi ya goli 3 ( City win and Over 3 goals)

    Ikumbukwe mechi 5 walizokutana City dhidi ya Hudders kumekua na magoli 16.

     

    Endelea kusoma zaidi kuhusu utabiri na vidokezo vya kuandaa mkeka kwa kusoma hapa.

     

     

    Man city man city fa cup
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.