Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Arsenal vs Liverpool : FA Cup Vidokezo Vya Ubashiri Wa Mkeka
    Odds za Moto

    Arsenal vs Liverpool : FA Cup Vidokezo Vya Ubashiri Wa Mkeka

    MhaririBy MhaririJanuary 7, 20241 Comment2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Arsenal vs Liverpool
    Soccer Football - Premier League - Liverpool v Arsenal - Anfield, Liverpool, Britain - December 23, 2023 Liverpool's Darwin Nunez in action with Arsenal's William Saliba REUTERS/Carl Recine
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Wakiwa nyumbani msimu huu klabu ya Arsenal katika mechi 5 za mwisho wamepoteza mchezo mmoja pekee dhidi ya West Ham kwa mabao 2:0 huku wakishinda michezo 4 dhidi ya Brighton kwa bao 2:0, Wolves 2:1, Lens 6:0 na Burnley 3:1 na leo wanawakaribisha Liverpool katika uwanja wa Emirates hatua ya 32 bora michuano ya FA.

    Liverpool wanaingia katika mchezo huu wakiwa na kumbukumbu ya kupata sare dhidi ya Arsenal katika mchezo wa ligi kuu waliocheza katika uwanja wa Anfield kabla ya Krismas huku rekodi ya washika mitutu wa London katika kombe la FA haswa wakiwa nyumbani chini ya Arteta katika michezo 49 wameshinda michezo 36 na kupata sare michezo 10.

    Toka mwaka 2018 mechi inayowakutanisha Arsenal dhidi ya Liverpool imekua ya ushindani mkubwa sana huku majogoo wao wakiwa wababe zaidi mbele ya Arsenal kwani wameshamfunga mechi nyingi kati ya zile wanazokutana na  ni mechi moja pekee ambayo iliisha bila kufungana kwani mechi nyingine zote huisha kwa magoli zaidi ya 1.

    Arsenal wanaingia katika mchezo huu huku wakiwa wamepoteza mechi 2 mfululizo za mwisho za ligi kuu ambazo ni dhidi ya Fulham kwa bao 2:1 na mechi dhidi ya West Ham kwa bao 2:0 na leo kibarua chao ni dhidi ya Liverpool.

    VIDOKEZO VYA UBASHIRI

    Katika mchezo huu Liverpool anaingia katika mchezo huu akiwa na asilimiakubwa ya ushindi lakini pia ni wazi kumuheshimu Arsenal hivyo ni bora umpe yoyote ashinde (Home or Away to win 12)

    Mechi inayowakutanisha wababe hawa huwa na magoli au kufungana kati yao hivyo ni Both Team to Score and Over 1.5

    Msimu huu kumekua na matukio mengi yanayohusisha VAR katika mechi za Arsenal lakini pia za Liverpool unaweza bashiri VAR to be checked kwa wale wenye option hiyo

    Endelea kusoma zaidi vidokezo vya ubashiri kwa kugusa hapa.

    Arsenal arsenal vs liverpool

    1 Comment

    1. Pingback: Man City vs Huddersfield: Ubashiri Na Vidokezo Vya Mkeka - Kijiweni

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.