Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Matokeo Ya Kidato Cha Nne 2025

    AFCON

    Ratiba ya kusisimua ya 16 Bora yakamilika AFCON Morocco 2025

    Hapa MSUVA Pale MPENJA Ofa Kibao Kutoka LEONBET

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » TPLB Yaahirisha Mechi 7
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    TPLB Yaahirisha Mechi 7

    MhaririBy MhaririDecember 22, 20231 Comment2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imeahirisha michezo saba ya Ligi Kuu ya NBC ili kupisha mchezo kati ya timu ya Taifa ya Zanzibar (Zanzibar Heroes) na timu ya Taifa ya Tanzania (Kilimanjaro Stars) utakaofanyika Disemba 27, 2023 pamoja na maandalizi ya Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kuelekea fainali za kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2023) huko Ivory Coast kuanzia Januari 13,2024.

    Michezo hiyo imeainishwa na bodi ya Ligi Kuu katika barua yale hii hapa chini

    Barua ya Bodi Ya Ligi Kuu Tanzania Bara
    Barua ya Bodi Ya Ligi Kuu Tanzania Bara imeahirisha michezo saba ya Ligi Kuu ya NBC ili kupisha mchezo kati ya timu ya Taifa ya Zanzibar (Zanzibar Heroes) na timu ya Taifa ya Tanzania (Kilimanjaro Stars) utakaofanyika Disemba 27, 2023 pamoja na maandalizi ya Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kuelekea fainali za kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2023) huko Ivory Coast kuanzia Januari 13,2024.                                                                                                                                                                                                                        Endelea kusoma taarifa kuhusu ligi kuu Tanzania Bara kwa kusoma hapa.

    1 Comment

    1. Pingback: Serikali Yaufungia Uwanja Wa MKAPA - Kijiweni

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Stori Mpya January 31, 2026

    Matokeo Ya Kidato Cha Nne 2025

    NECTA yatangaza matokeo ya Kidato cha Nne 2025, kiwango cha ufaulu chafikia asilimia 94.98 Baraza…

    AFCON

    Ratiba ya kusisimua ya 16 Bora yakamilika AFCON Morocco 2025

    Hapa MSUVA Pale MPENJA Ofa Kibao Kutoka LEONBET

    In the name of LOVE – 12

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2026 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.