Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Yanga Yamfukuzisha Kazi Kocha Mkuu Medeama
    Africa | CAF

    Yanga Yamfukuzisha Kazi Kocha Mkuu Medeama

    MhaririBy MhaririDecember 22, 2023No Comments1 Min Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Kocha Evans Adotey aliyekua Medeama.
    Evans amekiongoza kikosi cha medeama katika michezo minne ya hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika na kuvuna alama nne na kushika nafasi ya mwisho kwenye kundi D, linaloongozwa na Al Ahly mechi tatu pointi tano, nafasi ya pili Yanga mechi nne pointi tano na ya tatu ni CR Belouizdad mechi tatu pointi nne.
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    BAADA ya kipigo cha mabao 3-0 kutoka kwa Yanga kwenye mchezo wa hatua ya makundi wa Ligi ya Mabingwa Afrika, uliochezwa Desemba 20, Medeama ya Ghana imemfuta kazi kocha wake mkuu, Evans Adotey kutokana na matokeo hayo mabaya.

    Evans amekiongoza kikosi cha medeama katika michezo minne ya hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika na kuvuna alama nne na kushika nafasi ya mwisho kwenye kundi D, linaloongozwa na Al Ahly mechi tatu pointi tano, nafasi ya pili Yanga mechi nne pointi tano na ya tatu ni CR Belouizdad mechi tatu pointi nne.

    Hata hivyo, baada ya kufutwa kazi kama kocha mkuu, timu hiyo imempa majukumu mengine ya ukurugenzi wa fundi wa klabu hiyo cheo alichokuwa nacho awali katika timu hiyo kabla ya kuwa kocha mkuu.

    Katika Ligi Kuu Ghana kocha huyo amekiongoza kikosi hicho katika mechi 11, nakuvuna pointi 16, akishika nafasi ya 12 katika timu 18 na ameshinda mechi tano, amepoteza tano na sare moja.

    Katika hatua ya makundi Medeama bado ina michezo miwili dhidi ya Al Ahly na CR Belouizdad.

    Endelea kufuatilia taarifa za bara la Afrika kuelekea AFCON kwa kusoma hapa.

    habari za yanga medeama ghana
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.