Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Viwanja Vitakavyotumika AFCON 2023 Ivory Coast
    Africa | CAF

    Viwanja Vitakavyotumika AFCON 2023 Ivory Coast

    MhaririBy MhaririDecember 16, 2023No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Uwanja Utakaotumika AFCON 2023
    • Uwanja wa Alassane Ouattara, Abidjan (wenye uwezo wa kumudu mashabiki 60,000)
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Michuano ya kombe la mataifa barani Afrika kwa mwaka2023 inatarajiwa kuanza kutimua vumbi January 12 nchini Ivory Coast huku mataifa 24 yaliyofuzu yakishiriki katika mashindano hayo.

    Kwa msimu wa mwaka 2023 timu za mataifa zilizofuzu ni Pamoja na Ivory Coat ambaye ni mwenyeji wa michuano hiyo lakini pia na Nigeria, Equatorial Guinea, Guinea-Bissau, Misri, Ghana, Cape Verde, Msumbiji, Senegal, Cameroon, Guinea, The Gambia, Algeria, Burkina Faso, Mauritania, Angola, Tunisia, Mali, Afrika Kusini, Namibia, Morocco, DR Congo, Zambia Pamoja na Tanzania.

    Katika msimu huu viwanja sita vittumika kutoka katika miji mitano tofauti huku viwili vikiwa katika mji mkuu wa Ivory Coast , Abdijan. Na viwanja hivyo ni hivi vifuatavyo:

    Uwanja wa Alassane Outtara , Abdijan 

    Huu ni uwanja wenye uwezo wa kumudu mashabiki elfu sitini (60,000) na ulifunguliwa mwaka 2020 na ndio uwanja mkubwa zaidi nchini Ivory Coast. Zamani ulikua unafahamika kama uwanja wa taifa la Ivory Coast kabla ya kubadilishwa na kupewa jina la Allasane Outarra.

    Uwanja wa Stade National de la Côte d’Ivoire (2020–2023) huu una uwezo wa kumudu mashabiki elfu thelathini na tatu ( 33,000) na unapatikana katika jiji ;a Abdijan.

    Uwanja wa Charles Konan Banny, Yamoussoukro (wenye uwezo wa kumudu mashabiki 20,000)

    Stade de la Paix, Bouake (wenye uwezo wa kumudu mashabiki 40,000)

    Uwanja wa Amadou Gon Coulibaly, Korhogo (wenye uwezo wa kumudu mashabiki 20,000)

    Uwanja wa Laurent Pokou, San Pedro (wenye uwezo wa kumudu mashabiki 20,000)

    Viwanja vyote aidha ni vipya au vimefanyiwa ukarabati kabla ya Afcon, huku serikali ikitumia dola za kimarekani bilioni moja katika miradi ya miundombinu kote nchini.

    Mashindano hayo awali yalipangwa kufanyika Juni-Julai 2023, lakini yalisogezwa ili kuepuka mgongano na msimu wa mvua wa Afrika Magharibi.

    Endelea kusoma zaidi kuhusu michuano ya mataifa bara la Africa (AFCON 2023) kwa kugusa hapa.

     

    afcon
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.