Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Medeama Kuiwahi Yanga Bongo Mapema Tu
    Africa | CAF

    Medeama Kuiwahi Yanga Bongo Mapema Tu

    MhaririBy MhaririDecember 14, 2023No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Medeama Sports Club Players
    Wachezaji wa klabu ya Medeama katika moja ya mechi walizocheza.
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Kikosi cha Medeama ya Ghana kinatarajiwa kuja nchini Jumapili Desemba 17 kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa raundi ya nne wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Yanga kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam utakaopigwa Jumatano Desemba 20, kuanzia saa 10:00 jioni.

    Katika mchezo huo, mabingwa hao watetezi wa ligi kuu ya Ghana, itamkosa beki wao wa kati, Nurudeen Abdulai (24), kutokana na majeraha ya bega baada ya kuumia kwenye mchezo wa sare ya bao 1-1 dhidi ya Yanga, jijini Kumasi kwenye Uwanja wa Baba Yara.

    Beki huyo amekuwa mhimili mkubwa akiisaidia timu hiyo kufuzu hatua ya makundi kwa mara ya kwanza katika michuano hiyo na kukosekana kwake kunaweza kukaathiri safu yao ya beki, ingawa kocha wa timu hiyo, Evans Adotey licha ya kueleza kusikitishwa kwake na kumpoteza Abdulai kwenye mchezo huo, ana imani na uwezo wa timu yake kupata ushindi na ana wachezaji wazuri kama kipa Felix Kyei na mshambuliaji Jonathan Sowah.

    Timu zote zinakwenda kukutana zikiwa zimepania kuibuka na ushindi, huku Medeama ikitaka kuendeleza kiwango chao cha kuvutia kwenye michuano hiyo hadi sasa na Yanga SC ikihitaji kupata ushindi nyumbani ili kujiweka katika nafasi nzuri kwenye kundi hilo D.

    Endelea kusoma zaidi habari zetu kwa kugusa hapa.

    medeama ghana
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.