Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Buku 5 Tu Kumuona Mnyama Dhidi Ya WYDAD
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Buku 5 Tu Kumuona Mnyama Dhidi Ya WYDAD

    MhaririBy MhaririDecember 14, 2023No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    AHMED ALLY Akizungumza kuelekea mechi ya Simba dhidi ya Wydad
    Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu ya Simba AHMED ALLY akizungumza na waandishi wa habari.
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Klabu ya soka ya Simba imetangaza rasmi viingilio vya mchezo utakaowakutanisha Simba dhidi ya Wydad katika dimba la Benjamin Mkapa tarehe 19. Taarifa hiyo kutoka kwa Meneja wa Habari na Mawasiliano wa klabu hiyo Ahmed Ally anasea kuwa mechi dhidi ya Wydad ni lazima kushinda kwani hakuna option nyingine waliyonanyo kwa sasa na wataweka rehani roho zao.

    “Mechi ya Kagera Sugar ni maandalizi ya mechi dhidi ya Wydad na tiketi zake zitaanza kuuzwa kesho. Mechi dhidi ya Wydad itakuwa tarehe 19 Desemba, 2023 saa 10:00 jioni na tutaingia tukiwa na option moja tu, kushinda. Tutaweka rehani roho zetu ili kushinda.” alisema Ahmed Ally.

    Katika mchezo huo viingilio vitakua Mzunguko ni Tsh. 5,000 huku VIP C – Tsh. 10,000 lakini pia VIP B ikiwa Tsh. 20,000,VIP A – Tsh. 30,000 na zile Tiketi za Platinum zikiwa ni  Tsh. 150,000.”

    Aidha Ahmed amewataka mashabiki wa klabu hiyo kujitokeza kwa wingi zaidi ili kufanikisha jambo hilo na kutinga robo fainali “Kufika robo fainali tutafanikisha kwa kila Mwanasimba kuhusika kwa kuja uwanjani. Malengo yetu ni nusu fainali na itakuwa aibu kubwa sana tusipofika robo fainali. Na Simba ya sasa nyie wenyewe mnaiona, timu ina mabadiliko makubwa.”

    Lakini pia kama ilivyo kawaida ya klabu ya Simba, kuelekea mchezo huo dhidi ya Wydad mwalimu wa klabu hiyo  ndiye atakua mgeni rasmi wa mechi

    “Mgeni rasmi atakuwa mwalimu Abdelhak Benchikha ‘GENERAL’. Yeye ndio tumempa hadhi hiyo. Huyu ndio kocha bora wa Afrika kwa vilabu na kocha wa tatu kwa ubora Afrika lakini pia ni mechi yake ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika tukiwa nyumbani na sababu kuu ni mabadiliko ambayo ameyaleta .Huyu ni kocha mkubwa sana Afrika, Wanasimba tujivunie tukiwa ba kocha Abdelhak Benchikha. Ndugu yangu Mwanasimba na wewe hakikisha unaandika historia siku hiyo kuwepo uwanjani.”- Ahmed Ally.

    Endelea kusoma taarifa zetu mbalimbali pamoja na makala za kusisimua kwa kugusa hapa.

    benchika simba sc
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.