Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-09

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-08

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-07

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Simba Queens Mabingwa Ngao Ya Jamii 2023
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Simba Queens Mabingwa Ngao Ya Jamii 2023

    MhaririBy MhaririDecember 13, 2023No Comments1 Min Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Simba Queens Sc 2023
    Kikosi cha Simba Queens kikifurahia baada ya kuchukua Ngao Ya Jamii kwa wanawake 2023. waliochukua
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Klabu ya soka ya wanawake ya Simba ( Simba Queen) imefanikiwa kutwaa Ngao Ya Jamii mwaka 2023 kwa JKT Queens kwa penati 5:4 kufuatia sare ya 1:1 katika uwanja wa Chamazi Complex , Dar Es Salaam.

    Katika mchezo huo JKT Queens walitangulia kupata goli dakika ya 15 kupitia kwa Stumai Abdallah kabla ya Simba kusawazisha dakika ya 24 kupitia kwa Danai Bhobho na kuufanya mchezo mpaka kuisha matokeo yakiwa ni bao 1:1.

    Kabla ya mchezo huo wa fainali kulikua na mchezo wa kutafuta mshindi wa 3 uliowakutanisha  Yanga Princess dhidi ya Fountain Gate Princess mchezo ambao nao uliamuliwa kwa penati baada ya kuisha kwa bila kufungana na Yanga kuondoka na ushindi wa penati 4:2.

    Kukamilika kwa michuano ya Ngao ya Jamii ndio ufunguzi wa ligi kuu ya wanawake ikikaribia kuanza ambapo bingwa mtetezi ni JKT Queens ambaye alichukua msimu uliopita wa 2022/2023.

    Kwa taarifa zaidi za michezo na makala mbalimbali unaweza kusoma hapa.

     

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi July 23, 2025

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-09

    Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya nane “Nakufahamu Zahoro, wewe ndiye jibu la Laana hii.…

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-08

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-07

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-06

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.