Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » VICTOR OSIMHEN Mchezaji Bora Afrika.
    Africa | CAF

    VICTOR OSIMHEN Mchezaji Bora Afrika.

    MhaririBy MhaririDecember 11, 2023No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Victor Osimhein
    Victor Osimhen akiwa na tuzo yake ya mchezaji bora Afrika 2023.
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Nigeria na klabu ya Napoli Victor Osimhen ameibuka kuwa mchezaji bora wa bara la Afrika mwaka 2023. Osimhen ameshinda nafasi hiyo katika hafla ya tuzo za za soka bara la Afrika zilizofanyika nchini Morocco katika jiji la Marakesh.

    Katika kinyang’anyiro hiki Osimhen amewabwaga Achraf Hakimi kutoka nchini Morocco na klabu ya PSG pamoja na Mohamed Salah wa Misri pamoja na Liverpool.

    Hii ni orodha ya wachezaji waliowahi kutwaa tuzo hiyo tangu ilipoanzishwa mwaka 1992:

    1992 Abedi Ayew Pelle (Ghana)

    1993 Rashidi Yekini (Nigeria)

    1994 Emanuel Amunike (Nigeria)

    1995 George Weah (Liberia)

    1996 Nwakwo Kanu (Nigeria)

    1997 Victor Ikpeba (Nigeria)

    1998 Mustapha Hadji (Morocco)

    1999 Nwankwo Kanu (Nigeria)

    2000 Patrick Mboma (Cameroon)

    2001 El-Hadji Diouf (Senegal)

    2002 El-Hadji Diouf (Senegal)

    2003 Samuel Eto’oo (Cameroon)

    2004 Samuel Eto’oo (Cameroon)

    2005 Samuel Eto’oo (Cameroon)

    2006 Didier Drogba (Ivory Coast)

    2007 Frederick Kanoute (Mali)

    2008 Emanuel Adebayor (Togo)

    2009 Dider Drogba (Ivory Coast)

    2010 Samuel Eto’oo (Cameroon)

    2011 Yaya Toure (Ivory Coast)

    2012 Yaya Toure (Ivory Coast)

    2013 Yaya Toure (Ivory Coast)

    2014 Yaya Toure (Ivory Coast)

    2015 ; Piere-Emerick Aubameyang ( Gabon)

    2016:Riyad Mahrez (Algeria)

    2017: Mohamed Salah ( Misri)

    2018: Mohamed Salah( Misri)

    2019; Sadio Mane (Senegal)

    2022:Sadio Mane( Senegal)

    2023: Victor Osimhen ( Nigeria)

    Unaweza kusoma washindi wengine wa tuzo za CAF Mwaka 2023 kwa kugusa hapa.

    Victor Osimhen CAF AWARDS 2023
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.