Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » BENCHIKHA ATIA MKWARA MZITO WACHEZAJI MASTAA SIMBA
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    BENCHIKHA ATIA MKWARA MZITO WACHEZAJI MASTAA SIMBA

    MhaririBy MhaririNovember 29, 2023No Comments1 Min Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Kocha mkuu mpya wa klabu ya Simba Abdelhak Benchikha ameelezea namna atakavyofanya kazi katika kikosi cha Simba ili kuhakikisha kuwa wekundu hao wa msimbazi wanapata mafanikio ndani nan je ya nchi.

    Akizungumza wakati wa utambulisho wake kwa waandishi wa Habari, Benchika amesema kuwa anafahamu yanayoendelea lakini ana mikakati ya kuhakikisha Simba inafanya vizuri Zaidi. “Kuna mambo mengi ambayo tayari nayajua na nimekuja na mikakati ambayo nitaifanyia kazi. Kuhusu wachezaji tajua zaidi nikishaanza kazi, kuhusu mashindano ya ndani na kimataifa yote ni muhimu. Mimi ni mpambanaji na nitapambana hadi tutafika.”- Kocha mkuu Abdelhak Benchikha.

    Aidha kuhusu kukubali kujiunga na wekundu wa msimbazi Benchika anasema alikua na shauku kubwa ya kujiunga “Nina furaha kubwa kuwepo hapa. Tangu nilipoanza kuwasiliana na viongozi nilikuwa na shauku ya kuja. Jambo kubwa ambalo naomba ni mashabiki kutupa ushirikiano na naamini kupitia hilo tutafanikiwa pamoja.”- Kocha mkuu Abdelhak Benchikha.

    Lakini pia kuhusu wachezaji kocha huyo anasema kuwa hataangalia jina la mchezaji bali atapanga kikosi kutokana na kujituma kwa mchezaji mazoezini huku akiwataka mashabiki wa simba kuungana kwa Pamoja kuleta mafanikio klabuni “Mafanikio yatajengwa na Wanasimba wote hilo ndio muhimu zaidi. Kwa wachezaji sitaangalia majina bali anayefanya vizuri, kiwango cha mchezaji ndio kitafanya nimtumie.”

    Abdelhak Benchikha benchikha simba cv ya kocha mpya simba kocha mkuu mpya simba ligi kuu bara simba sc tanzania
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.