Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Tetesi za Usajili Duniani, Leo Machi 31, 2023
    Biriani la Ulaya

    Tetesi za Usajili Duniani, Leo Machi 31, 2023

    David MohamedBy David MohamedMarch 31, 2023No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Ikiwa leo ni Machi 31, 2023, vilabu vimeendelea kusaka nyota wapya kutoka timu kadha wa kadha ili kuimarisha vikosi vyao ili pia kujiweka sawa kujiandaa na msimu ujao ambapo ligi mbalimbali zinatarajia kuelekea ukingoni. Sasa hizi ni Tetesi za usajili kutoka kwa vyanzo vya habari duniani.

    Chelsea wanataka kitita cha pauni milioni 70 kumuuza kiungo wa kati wa England Mason Mount, 24, licha ya kusalia na mwaka mmoja wa mwisho wa kandarasi yake. (Athletic)

    Mount ana nia ya kujiunga na Bayern Munich na kuungana na meneja wake wa zamani wa Chelsea Thomas Tuchel. (Guardian)

    Klabu ya Saudi Arabia Al Hilal inataka kumfanya mshambuliaji wa Paris St-Germain na Argentina Lionel Messi, 35, kuwa mchezaji anayelipwa pesa nyingi zaidi duniani. (Mirror)

    Lakini klabu ya Ligi Kuu ya Soka ya Inter Miami ina matumaini ya kumsajili Messi na kiungo wa kati wa Barcelona na Hispania Sergio Busquets, 34, msimu ujao. (Sport)

    West Ham huenda ikaachana na meneja wao David Moyes mwishoni mwa msimu huu, bila kujali kama klabu hiyo itaepuka kushushwa daraja. (90Min)

    Mshambuliaji wa Ufaransa Olivier Giroud, 36, anatazamiwa kusaini mkataba mpya na AC Milan ambao utaendelea hadi 2024. (Fabrizio Romano)

    AC Milan wamepewa ofa ya kiungo wa kati wa Guinea Naby Keita, 28, kabla ya kuondoka Liverpool msimu huu mkataba wake utakapomalizika. (Calciomo)

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.