Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Browsing: riwaya za kusoma mtandaoni
Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya nane “Nakufahamu Zahoro, wewe ndiye jibu la Laana hii. Uliiona kabla haijaingia pia utaiona ikiondoka, huwezi kunielewa kwasasa lakini nitakueleza…
Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya saba Siku iliyofuata, Serikali iliongeza Watu zaidi ili kumsaidia Waziri kazi ya utafiti eneo la tukio, sio TU wataalam kutokea…
Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya tano Waziri akajitupa kitini huku akifumba macho yake, hakujua atamweleza vipi Rais wa Ganza, utajiri uliopotea kwenye Kijiji cha Nzena…
Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya nne Wakiwa wanaendelea kujibizana, walianza kusikia sauti ya Bi. Lugumi ikisema “Kufaaaaa‼ kufaaaa‼” kila aliyeisikia sauti hii alianza kutetemeka huku…
Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya kwanza “Baba” aliita Zahoro, Mzee Miroshi alimtazama Zahoro bila kusema chochote huku sura yake ikionesha utayari wa kumsikia. “Naogopa Mimi”…
Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya saba “Naomba niongee na Shayo haraka” Alisema Rais, mara moja Waziri Mkuu alipiga simu kwa mkuu wa kitengo cha Usalama…
Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya sita “Kama lilivyo tamu penzi lako, basi nahitaji uniambie wapi ilipo chemba ya siri iliyohifadhi pesa za Kimarekani” Alisema Chogo…
Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nne “Assssh” aligumia Faudhia kutokana na maumivu ya kujigonga kwenye meza, Mohd hakutaka kusubiri alimrushia ngumi mfululizo, ngumi ambazo zilimpekeka…
Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nne “Na siku zote Muuwaji hawezi kuishi, ndiyo maana nilikutoa gerezani ili uje kuitafuta haki iliyoporwa na Faudhia” Alikazia Mzee…
Ilipoishia Sehemu Ya Pili “Kazi imeisha!” Alisema Diana kwa njia ya simu “Waoo Good Girl ( Vizuri Msichana mzuri ) ” ilisikika sauti nzito ya kizee …