Browsing: riwaya za kusoma mtandaoni

Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya nane “Nakufahamu Zahoro, wewe ndiye jibu la Laana hii. Uliiona kabla haijaingia pia utaiona  ikiondoka, huwezi kunielewa kwasasa lakini nitakueleza…

Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya saba  Siku iliyofuata, Serikali iliongeza Watu zaidi ili kumsaidia Waziri kazi ya utafiti eneo la  tukio, sio TU wataalam kutokea…

Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya tano  Waziri akajitupa kitini huku akifumba macho yake, hakujua atamweleza vipi Rais wa  Ganza, utajiri uliopotea kwenye Kijiji cha Nzena…

Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya nne Wakiwa wanaendelea kujibizana, walianza kusikia sauti ya Bi. Lugumi ikisema  “Kufaaaaa‼ kufaaaa‼” kila aliyeisikia sauti hii alianza kutetemeka huku…

Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya kwanza  “Baba” aliita Zahoro, Mzee Miroshi alimtazama Zahoro bila kusema chochote huku sura  yake ikionesha utayari wa kumsikia.   “Naogopa Mimi”…

Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya saba  “Naomba niongee na Shayo haraka” Alisema Rais, mara moja  Waziri Mkuu alipiga simu kwa mkuu wa kitengo cha Usalama…

Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya sita “Kama lilivyo tamu penzi lako, basi nahitaji uniambie wapi  ilipo chemba ya siri iliyohifadhi pesa za Kimarekani” Alisema  Chogo…

Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nne  “Assssh” aligumia Faudhia kutokana na maumivu ya kujigonga  kwenye meza, Mohd hakutaka kusubiri alimrushia ngumi  mfululizo, ngumi ambazo zilimpekeka…

Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nne “Na siku zote Muuwaji hawezi kuishi, ndiyo maana nilikutoa  gerezani ili uje kuitafuta haki iliyoporwa na Faudhia”  Alikazia Mzee…

Ilipoishia Sehemu Ya Pili “Kazi imeisha!” Alisema Diana kwa njia ya simu  “Waoo Good Girl ( Vizuri Msichana mzuri ) ” ilisikika sauti  nzito ya kizee …