Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Browsing: riwaya za kusisimua
Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba kingine ikisema “Safi” wakimaanisha kuwa vyumba vyao vipo salama hapo ndipo …
Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nne “Assssh” aligumia Faudhia kutokana na maumivu ya kujigonga kwenye meza, Mohd hakutaka kusubiri alimrushia ngumi mfululizo, ngumi ambazo zilimpekeka…
Ilipoishia Mama Niachie Mume Wangu Sehemu Ya Tisa Siku iliyofuata nilitakiwa kuelezea kilichoendelea baada ya kuhamishwa kwenye ile nyumba na kupelekwa nyumba nyingine, niliketi kwenye kiti…
Ilipoishia Mama Niachie Mume Wangu Sehemu Ya Nane “Mama! Mama! Umenizaa wewe mwenyewe kweli? Unyama gani huu unanifanyia Veronica wako? Ulinizaa peke yangu na huna binti …
Ilipoishia Mama Niachie Mume Wangu Sehemu Ya Nne “Lengo la kuja huku ni kumpa taarifa Mama lakini hatuwezi kuondoka bila yeye kiridhia, Veronica mpenzi tuvumilie tu …
Ilipoishia Mama Niachie Mume Wangu Sehemu Ya Pili Sasa wakati naendelea kumpotezea nilijikuta napeleka macho yangu nyuma ya gari yaani siti za nyuma kule, gari ilikuwa…
Ilipoishia Nyumba Juu Ya Kaburi 09 Basi nilikata tamaa, chozi lilinibubujika. Nikajikuta nikipandwa na hasira sana, nikasema kwa mara ya mwisho kwa sauti kubwa ya hasira…
Ilipoishia Sehemu Ya 3 Nyumba Juu Ya Kaburi Hata nilipojaribu kufurukuta sikuweza kisha nikaisikia sauti ya Caren “Shii‼ ni Mimi” aliongea kwa sauti ya kunong’oneza. Aliniachia,…
Ilipoishia Nyumba Juu Kaburi Tulipishana Mwaka mmoja wa kuingia chuoni, alinitendea wema kila nyakati. Hata wakati ambao alipaswa kufurahi alinipa furaha yake na kisha yeye alibakiwa…
Kwa majina naitwa Bernard Pour. Mimi ni mtoto wa tatu kati ya watoto sita wa Bwana na Bi. Pour David. Yaliyonifanya leo kuwa na uwezo wa…