Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Browsing: riwaya za kusisimua
Ilipoishia sehemu ya tatu ya In the name of LOVE “Basi hakuna shida Zaylisa, mnaweza kuishi wote ikiwa jambo lako la talaka litakamilika” maneno ya Clara…
Ilipoishia Kimya (Nzena-Kijiji Kilicholaaniwa) – 07 “Unajua nini wewe?” Wakati huo Damu nyingi zilikua zikimtoka Mfalme Selasi, akamwambia Anna “Unaenda kutafuta Pete ya Baba Yako, Mimi…
Ilipoishia Kimya (Nzena-Kijiji Kilicholaaniwa) – 06 Walipofika shangwe liliibuka kwa Wananchi waliamini kua kumwaga Damu kutawasaidia Mji wao kuendelea kua na nguvu zaidi. Miongoni mwa Walioletwa …
Ilipoishia Kimya (Nzena-Kijiji Kilicholaaniwa) – 05 Lakini walijua wazi… safari ya kuelekea Patiosa haikuwa tena ya kutafuta msaada. Ilikuwa safari ya maisha au kifo. Kutupwa kwa…
Ilipoishia Kimya (Nzena-Kijiji Kilicholaaniwa) – 03 “Kumwambia Ukweli Zahoro kua Adui Kimya ni wewe, kilicho mbele ni kumpata Binti yetu Moana Kisha kutafuta njia ya kuelekea…
Ilipoishia Kimya (Nzena-Kijiji Kilicholaaniwa) – 01 Hapakua na sauti yoyote iliyosikika, hapakua na Ndege wala wadudu waliopiga kelele. Ghafla Zahoro alisimama, akatoa ishara kwa Anna kusimama…
Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya saba Siku iliyofuata, Serikali iliongeza Watu zaidi ili kumsaidia Waziri kazi ya utafiti eneo la tukio, sio TU wataalam kutokea…
Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya tatu Mke alipoisoma ile karatasi aligeuza macho kumtazama Mume wake kisha kwa mshangao akamwambia “Mume wangu unatokwa na Damu puani”…
Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya kwanza “Baba” aliita Zahoro, Mzee Miroshi alimtazama Zahoro bila kusema chochote huku sura yake ikionesha utayari wa kumsikia. “Naogopa Mimi”…
Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba kingine ikisema “Safi” wakimaanisha kuwa vyumba vyao vipo salama hapo ndipo …