Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Browsing: riwaya za kijasusi
Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya saba Siku iliyofuata, Serikali iliongeza Watu zaidi ili kumsaidia Waziri kazi ya utafiti eneo la tukio, sio TU wataalam kutokea…
Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya sita Ghafla, akajikuta ameshika kisu, mikono yake ikiwa imelowa damu. Aliangalia chini— Upendo alikuwa amelala mbele yake, kifua chake kikiwa…
Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya tano Waziri akajitupa kitini huku akifumba macho yake, hakujua atamweleza vipi Rais wa Ganza, utajiri uliopotea kwenye Kijiji cha Nzena…
Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya tatu Mke alipoisoma ile karatasi aligeuza macho kumtazama Mume wake kisha kwa mshangao akamwambia “Mume wangu unatokwa na Damu puani”…
Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba kingine ikisema “Safi” wakimaanisha kuwa vyumba vyao vipo salama hapo ndipo …
Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya saba “Naomba niongee na Shayo haraka” Alisema Rais, mara moja Waziri Mkuu alipiga simu kwa mkuu wa kitengo cha Usalama…
Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya sita “Kama lilivyo tamu penzi lako, basi nahitaji uniambie wapi ilipo chemba ya siri iliyohifadhi pesa za Kimarekani” Alisema Chogo…
Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nne “Assssh” aligumia Faudhia kutokana na maumivu ya kujigonga kwenye meza, Mohd hakutaka kusubiri alimrushia ngumi mfululizo, ngumi ambazo zilimpekeka…
Ilipoishia sehemu ya tatu “Ndio, ni Mwanangu! Miaka mingi sasa tangia Martin alipofariki kwa ajali ya gari akiwa anaelekea Mjini, tangu siku hiyo sikuwahi kuamka na…
Ilipoishia Sehemu Ya Pili “Kazi imeisha!” Alisema Diana kwa njia ya simu “Waoo Good Girl ( Vizuri Msichana mzuri ) ” ilisikika sauti nzito ya kizee …