Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Browsing: riwaya za kijasusi
Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba kingine ikisema “Safi” wakimaanisha kuwa vyumba vyao vipo salama hapo ndipo …
Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya saba “Naomba niongee na Shayo haraka” Alisema Rais, mara moja Waziri Mkuu alipiga simu kwa mkuu wa kitengo cha Usalama…
Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya sita “Kama lilivyo tamu penzi lako, basi nahitaji uniambie wapi ilipo chemba ya siri iliyohifadhi pesa za Kimarekani” Alisema Chogo…
Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nne “Assssh” aligumia Faudhia kutokana na maumivu ya kujigonga kwenye meza, Mohd hakutaka kusubiri alimrushia ngumi mfululizo, ngumi ambazo zilimpekeka…
Ilipoishia sehemu ya tatu “Ndio, ni Mwanangu! Miaka mingi sasa tangia Martin alipofariki kwa ajali ya gari akiwa anaelekea Mjini, tangu siku hiyo sikuwahi kuamka na…
Ilipoishia Sehemu Ya Pili “Kazi imeisha!” Alisema Diana kwa njia ya simu “Waoo Good Girl ( Vizuri Msichana mzuri ) ” ilisikika sauti nzito ya kizee …
Ilipoishia Kupitia daraja la Kigamboni, Mzee Shayo aliendesha Subaru kama yupo kwenye mbio za Magari, wakati huo Barabara zilikuwa nyeupe, Watu wengi waliogopa kupoteza uhai wao,…
Ilipoishia Mama Niachie Mume Wangu Sehemu Ya Kumi “Veronica najua unanisikia, usifanye jaribio la kuondoka tafadhari” Aliongea Joji akiwa anapanda atokee kwenye lile dirisha, nikasema liwalo…
Ilipoishia Mama Niachie Mume Wangu Sehemu Ya Saba Ile simu ilikuwa ndogo tu yaani ya kitochi, hivyo ilikuwa ngumu kwangu japo kupata namba za Jonas wala…
Ilipoishia Mama Niachie Mume Wangu Sehemu Ya Kwanza “Nitaongea na Mama yako” alisema kisha tuliendelea na safari ya kuelekea Kanisani, tulipofika nilimuacha akanipatia pesa kama Elfu…