Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Browsing: Riwaya Ya Msala
NAITWA ZAINABU ALIYU! Hii ni Hadithi ya Maisha yangu…..!! Mimi ni Mtoto wa kwanza kati ya Watoto wanne, ni Mtoto wa kike wa pekee katika Familia…
Ilipoishia Kwanza nilijiuliza ni Nani anayeweza kuja kwetu, kama Mama Amida tayari tulishazungumza. Nilimeza funda zito la mate Kisha nilitembea taratibu kuelekea Mlangoni bila hata kutoa…
Ilipoishia “Nani ananiita?” niliuliza kwa Ujasiri sana japo kwa ndani nilikua mwoga lakini sikuruhusu yule Mtu anielewe, nilimkazia macho yangu huku nikichezesha Mguu mmoja. “Bosi” “Bosi?” …
Ilipoishia “Saida, si unaona? Yule siyo Kichaa na ukitaka kuamini jiulize kwanini alienda kituo Cha Polisi?” aliniuliza Veronica akiwa amenishika bega, mara alisimama yule Kichaa Kisha…
Ilipoishia “Benjamin yuko nje anatusubiria” kabla hata hajamaliza kusema alichokua amekikusudia, zikasikika buti mlangoni, kisha Sauti ya risasi ikasikika, damu ikamwagika ikapenya chini ya Mlango. Malkia…
Ilipoishia “Benjamin akamsogelea Malkia Zandawe na kumtuliza kwa kumshika bega, hata yule rubani wa Helkopta ya Kijeshi aliona wazi kua Binti huyo alikua akizungumza kwa hisia…
Ilipoishia “Muhonzi akafanikiwa kukata kamba alivyofungwa, giza lilikua nene ndani ya Chumba alichohifadhiwa, akajaribu kuchungulia dirishani kwa mtindo wa kuruka sababu dirisha lilikua juu sana lakini…
Ilipoishia “Sijapata kumwona Mwanadamu Mbishi na Mgumu kama huyu” aliutupa mkono wake uliojaa damu kwa hasira sana kisha akarudi kuketi kitini akitafakari ni namna gani afanye…
Ilipoishia “Mfukuzano ulikua mkali kwa hatua kadhaa, kisha ghafla yule Mwanaume alisimama, aligeuka kisha aliliweka lile Brifkesi chini, akatabasamu na kumwambia Elizabeth “Najua umekuja kwa ajili…
Ilipoishia “Upande wa pili, Muhonzi alikua akiteseka ndani ya Godauni, Zagamba alimshikilia ili aipate Nyaraka M21 kutoka kwa Elizabeth, Alikua ndani ya chumba kimoja chenye dirisha…





