Browsing: Msala Kijiweni

Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

Ilipoishia  Kwanza nilijiuliza ni Nani anayeweza kuja kwetu, kama Mama Amida tayari  tulishazungumza. Nilimeza funda zito la mate Kisha nilitembea taratibu  kuelekea Mlangoni bila hata kutoa…

Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

Ilipoishia  “Saida, wewe ulishakufa baada ya kuokolewa Msituni. Roho Yako iliondoka  Usiku ule ambao ulitoroshwa kule kwenye ile nyumba Msituni. Kuishi  kwako Hadi sasa ni kibali…

Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

Ilipoishia  “Nani ananiita?” niliuliza kwa Ujasiri sana japo kwa ndani nilikua mwoga  lakini sikuruhusu yule Mtu anielewe, nilimkazia macho yangu huku  nikichezesha Mguu mmoja.  “Bosi”  “Bosi?” …

Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

Ilipoishia  Angalau eneo Hilo lilikua na taa, nilitembea haraka haraka Hadi nilipofika  nyumbani, ila nilikua naogopa sana kuingia ndani, nikapata wazo la  kumuamsha Mama Amida nimuombe…

Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

Ilipoishia “Saida, si unaona? Yule siyo Kichaa na ukitaka kuamini jiulize kwanini  alienda kituo Cha Polisi?” aliniuliza Veronica akiwa amenishika bega, mara  alisimama yule Kichaa Kisha…

Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

Ilipoishia  “Saida Amka ule chakula, Amka Mwanangu. Amkaaa usilaleee” Mara ghafla  nikajikuta nikizinduka kutoka kwenye Yale mawazo. Nilijikuta nipo pale  pale kitandani nikiwa Nimekaa, nilikumbuka ni…

Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

Ilipoishia SEASON 1  Kwasasa nimerudishwa kwetu Dar-es-salaam, niko Magomeni. Maisha yangu yamekuwa ya  Ukimya sana, Sijazungumza tena tokea siku ile nilipozungumza kwa mara ya mwisho Rukwa, …

MSALA

Ilipoishia “Benjamin yuko nje anatusubiria” kabla hata hajamaliza kusema alichokua amekikusudia,  zikasikika buti mlangoni, kisha Sauti ya risasi ikasikika, damu ikamwagika ikapenya chini ya  Mlango. Malkia…

MSALA

Ilipoishia “Benjamin akamsogelea Malkia Zandawe na kumtuliza kwa kumshika bega, hata yule rubani  wa Helkopta ya Kijeshi aliona wazi kua Binti huyo alikua akizungumza kwa hisia…

MSALA

Ilipoishia “Muhonzi akafanikiwa kukata kamba alivyofungwa, giza lilikua nene ndani ya Chumba  alichohifadhiwa, akajaribu kuchungulia dirishani kwa mtindo wa kuruka sababu dirisha  lilikua juu sana lakini…