Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-09

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-08

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-07

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Simba vs Horoya kapu la magoli lilijaa magoli
    Africa | CAF

    Simba vs Horoya kapu la magoli lilijaa magoli

    Brenda UlomiBy Brenda UlomiMarch 20, 2023No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Unaweza kuwa staili mbili tofauti ukiwa na mpira unaanzaje , kutokana na mpinzani wako anafanya nini dhidi yako , Simba SC hawakujibana na staili moja pale walipoamua kuanza nyuma na mpira

    Kuna wakati waliamua kuanza nyuma zaidi wakiwa na muundo wa 2-4 ( Inonga na Onyango nyuma ) huku mbele yao katika mstari mmoja Fullbacks wawili na viungo wawili wa kati ( Kapombe Kanoute Mzamiru na Zimbwe Jr ) . Walifanya pale ambapo Horoya waliamua kukabia chini

    Lakini pale ambapo Horoya waliamua kukabia juu kwa kutumia washambuliaji wao wawili juu ( 4-4-2 ) Simba waliamua kupiga mipira mirefu na kuwania mipira ya pili inayoanguka hasa kwenye zone ya Horoya na kuanzia mashambulizi yao hapo

    Nafikiri kipindi cha kwanza walichokosa Horoya ni ufanisi wa pasi ya mwisho na kulenga lango lakini wakiwa kwenye 4-3-3 yenye namba 8 wawili , walikuwa wanafikiwa pasi za mbele , tena nyuma ya kiungo cha Simba walichokosa ni ubora kama wa Simba , na kipindi cha pili walipoamua kufunguka kuufukuza mchezo wakakutana na dhoruba

    Kipindi cha pili Simba SC wamecheza kwa mamlaka zaidi , kwa hesabu zaidi , kwamba haina haja ya kuharakisha vitu , hakuna haja ya kukimbizana sana , miliki mpira , tanua uwanja , na niliona mabadiliko ya nafasi uwanjani , Kibu Denis kuingia ndani sambamba na Baleke huku Chama na Saido wakiwa pembeni kama ” Wide playmakers” na wakaamua kuwasubiri Horoya FC kwenye counter attacks maana space zilifunguka sana kwa timu ya Horoya

    Uwanjani ni kujua space ipo wapi na muda unaupata wapi : Chama Jr na Saido positions ambazo walikuwa wanasimama kabla ya kupokea mpira ilikuwa inawapa tabu fullbacks na kiungo wa ulinzi wa Horoya … hawakuwa pembeni sana bali katikati ya kiungo na fullbacks wao ( Half Spaces ) iliwaumiza sana Horoya

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi July 23, 2025

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-09

    Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya nane “Nakufahamu Zahoro, wewe ndiye jibu la Laana hii.…

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-08

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-07

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-06

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.