Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-09

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-08

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-07

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Simba SC Na Roho Ngumu Kwa Mtibwa Sugar Ligi Kuu
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Simba SC Na Roho Ngumu Kwa Mtibwa Sugar Ligi Kuu

    Living ShayoBy Living ShayoMay 3, 2024Updated:May 3, 20245 Comments3 Mins Read783 Views
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Wachezaji wa simba sc
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Moja Ya mchezo wenye mvuto ndani yake kwani mchezo huo unakutanisha timu mbili tofauti zenye presha mbili tofauti kwani Simba SC anataka kumaliza nafasi Ya pili akiwa na kiwango kisichoridhisha kwenye michezo 6 mfululizo, huku Mtibwa Sugar akioambana kunasuka mkiani na kucheza hatua Ya mtoano.

    Namna timu hizo zinavyocheza zimeonekana zikiwa na matatizo yanayofanana kwani Simba SC wamekuwa na changamoto kubwa kwenye eneo Lao la kuzuia wakiruhusu magoli pamoja na eneo Lao la ushambuliaji kwani wamekuwa wakitengeneza nafasi nyingi za magoli ila wamekuwa wakishindwa kuzitumia, sawa na upande wa Mtibwa Sugar nao wamekuwa wakiruhusu magoli sana hata kama wataibuka na ushindi ila pia wamekuwa wakiruhusu goli sawa na eneo Lao la mwisho wakitengeneza nafasi ila hawazitumii

    Takwimu za timu hizo mbili zilipokutana kwenye michezo yao 5 ya mwisho kikosi cha Simba SC kimefanikiwa kushinda michezo 4 na kutoa sare mchezo mmoja huku wakifunga magoli 14 na wakifungwa magoli 2 tu na kikosi cha Mtibwa Sugar. Mchezaji anayeongoza kufunga magoli mengi kwenye michezo hiyo ni Jean Baleke akifunga magoli 4 akifatiwa na Pape Sakho pamoja na Mateo Antony wote wakiwa na magoli 2, hata hivyo wachezaji wote watatu siyo sehemu mchezo huu tena kwani hawapo kwenye timu hizo.

    Mchezo huu utakuwa wakivutiwa kiuchezaji kwani timu zote hazitofautiani sana kiuchezaji wamekuwa wakiweka mpira chini na kuanzisha mashambulizi kuanzia nyuma kuelekea eneo Lao la ushambuliaji kwenye lango la mpinzani wake, Mtibwa Sugar wamekuwa wakitumia zaidi mabeki 4 na viungo 4 pia huku wakiwa na washambuliaji wawili ambao ni Seif Karihe pamoja na Charles Ilanfya na wakati mwingi wamekuwa wakibadilika na kutumia mawinga wawili na mshambuliaji mmoja. Huku Simba SC wakiwa wanatumia zaidi mabeki 4 viungo wakabaji wawili na eneo la ushambuliaji wakitumia wachezaji 4, mashambulizi mengi Ya Simba SC yamekuwa yakitengenezwa kupitia eneo Lao la kati “kiungo” kutengeneza nafasi za kufunga magoli.

    Mchezo huu eneo ambalo lina hatari zaidi kwa pande zote mbili ni eneo la ushambuliaji hususani kwa Simba SC wamekuwa na wachezaji wazuri kwenye eneo ilo la mwisho la uwanja tofauti na wapinzani wao ambao wamefunga magoli 23 na kuruhusu magoli 39 na kuonyesha kuwa kama Simba SC watakuwa makini ni rahisi kupata goli kwenye mchezo huo.

    Eneo lente changamoto kwa timu zote mbili ni eneo la beki kwani timu zote mbili zimekuwa zikiruhusu magoli kirahisi sana mabeki wa timu zote mbili wamekuwa wakishindwa kutekeleza majukumu yao mama ya kuzuia kwa kufanya makosa mengi ambapo wachezaji wa Simba SC kwa kiasi kubwa makosa yao yamekuwa makosa binafsi Ya wachezaji na wakati mwingine kitimu sawa na Mtibwa Sugar.

    SOMA ZAIDI: Kinachomponza Mgunda Ni ‘Rangi Yake Na Utanzania Wake’

    CAF CHAMPIONS LEAGUE SIMBA SC kikosi cha simba leo simba sc leo simba sc vs mtibwa sugar

    5 Comments

    1. Peter Airtel on May 3, 2024 7:53 am

      Ally Salim
      Mwenda
      Zimbwe Jr
      Che Marlone
      Kazi
      Babacar
      Chasambi
      Ngoma
      Fredy
      Kibu

      Hapo hachomoki mtu

      Reply
    2. Seif Haruna on May 3, 2024 9:09 am

      Simba wapambane sasa maana nafasi ya 3 wakiiachia coastal wataishangaza dunia

      Reply
    3. Officialhd _jr on May 3, 2024 9:33 am

      1. Ayoub lakred
      2. Israel mwenda
      3. Mohammed hussein C
      4. Hussein kazi
      5. Chefond malone
      6. Babacar sarr
      7. Edwin balua
      8. Fabrice ngoma
      9. Fred miachael (fred vunja bei)
      10. Ladack chasambi
      11. Luiss miquisson
      Sub
      1. Admin wa kijiweni
      2. Officialhd _jr
      TUNASHINDA NYINGI.

      Reply
    4. Pingback: Kibu Kuna Muda Ni Lazima Kukubali Kufanya Maamuzi Magumu - Kijiweni

    5. GODLISTEN MOSES on May 3, 2024 4:35 pm

      Ivi jezi iyo mmeiona lakin wananatutia Aibu jez inabandukaje logo wafanye jezi ziwe imara kwasabu tunamichezo mpka na wageni ata kama maskini sio kila sehemu

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi July 23, 2025

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-09

    Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya nane “Nakufahamu Zahoro, wewe ndiye jibu la Laana hii.…

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-08

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-07

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-06

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.