IlipoishiaHizi ni risasi zilezile, chukueni maiti hizi na wengine  fanyeni msako hapa haraka sana” Ilikuwa ni sauti ya mmoja wa  Askari waliokuja pale kanisani, bado Mtaalam Sande, Mzee  Dawson na vijana wake wakiwa ndani ya Andaki bila kuwa na  taarifa kuwa Jesca alikuwa ameuawa na Six, lilipofunguliwa lango kuu la Kanisa ndipo mshituko na Mshangao mkubwa  ulipowashika polisi hao, walikuta Miili ya watu ikiwa  inatokwa na mvuke kama vile nyama inayochomwa, harufu ya  nyama ilitapakaa kanisa zima wakaagiza zima moto kumwaga Maji  katika kanisa hilo, muda mchache polisi walifanikiwa kuingia  ndani ya kanisa na kukuta Miili mingi ikiwa imeharibika  vibaya sana. 

Taarifa ilizagaa kwa haraka sana juu ya shambulio hilo la  kutisha ambalo lilitumia silaha ya sumu na risasi, Sande  akawashauri akina Mzee Dawson kuwa hawapaswi kutoka kwa  wakati huo hadi polisi watakapo maliza msako wao. Endelea 

SEHEMU YA TISA

“Nina mashaka juu ya uhai wa Jesca, yeye ni mmoja wa walinzi  wa hapa kanisani, sijasikia majibizano ya risasi, huwenda  amekufa kifo Baridi” Alisema Mzee Dawson akionekana kushindwa  kuzuia chozi lake 

“Una maanisha nini kusema Kifo Baridi?” Alihoji Mtaalam Sande  Olise huku akimtazama Dawson kwa jicho lililo kaza 

“Kufa bila kujibu mapigo, Walengwa tunaotafutwa katika vita  hii ni sisi. Sitaki makubwa yawakute wasio na hatia” Alinena  Dawson 

“Una maaana gani?” 

“Ni bora nijitokeze kupambana nao ili kunusuru Maisha ya  wengi yanayowekwa rehani, ikiwa kufa Mimi au kupona wao  ninachotaka ni usawa” Aliongeza Dawson 

“Kumbuka Polisi watakuangalia kama muarifu kuanzia hivi sasa,  hautokuwa huru kufanya chochote kama Mkuu wa Kitengo, vita  hii ni ngumu Mkuu! Vipi kama Rais ataamuwa kukupaka tope?  Utakuwa salama?” Aliuliza Sande Olise, Mzee Dawson akameza  funda zito la mate kisha akasema 

“Tusipopambana sasa hivi tutakuja kupambana nje ya muda,  tunapaswa kuwa macho zaidi” 

“Unashauri tufanye Nini Mkuu tupo tayari kukusaidia katika  vita hii” Alisema Kisko kwa utii Mkubwa, Dawson alikuwa kama  Mzazi kwao, ndiye aliyewachukua kutoka katika kituo cha  Watoto yatima na kuwaonesha Mwanga wa Maisha, Dawson  akawageukia na kuwaambia 

“Natamani hii vita msipigane sababu mna kila sababu ya kuwa  hai ili mje mpigane hapo baadaye sisi tukiwa tumetundika  daruga au tukiwa tumekufa. Niliwaandaa mje kuwa hazina muhimu baadaye” Alisema Dawson kwa sauti ya Baba kwa Watoto wake,  nyuso za Kisko na Chande zilisinyaa huku macho yao yakitazama  chini. 

“Babaa!! ” Aliita Chande, Dawson akageuza macho yake  kumtazama 

“Tupo tayari kwa sasa kufa kwa ajili ya Taifa letu, turuhusu  tukusaidie hii vita” Dawson alipomaliza kumsikiliza Chande  akarudisha macho yake kwa Sande Olise, Wakajikuta  wanatazamana huku sura zao zikizungumza Kijasusi 

“Tuangalie tunatokaje hapa Shimoni, haribuni kila kitu ili  kupoteza ushahidi wa kazi za hapa ndani, kila mmoja avae sura  bandia haraka sana” Aliagiza Mzee Dawson kwa sauti iliyojaa  mamlaka ya Kijeshi, kazi ikaanza rasmi. 

MSAKO 

“Shit!” Ilikuwa ni sauti ya John Brain baada ya kupokea  taarifa usiku huo, hakutegemea kusikia kuwa Dawson na Sande  Olise bado wanaendelea kupumua, aliona ni makosa makubwa ni  sawa na kumjeruhi mnyama Mkali. 

“Inawezekanaje wasiwepo kanisani wakati mtoa taarifa  amehakikisha kuwa Sande aliingia hapo? Endapo Sande na Dawson  wakapata muda wa kupanga mipango yao kazi hii itakuwa ngumu  kwetu” Alisema tena John Brain huku akizitazama sura za Six  na Malaika ambao walikuwa wamenywea. 

“Nimefanya msako kanisa zima lakini sikupata kuhisi hata  harufu zao, huenda walicheza mchezo wa sarafu baada ya  kugundua kuwa tunawafuatilia” Alijibu Malaika 

“Watakuwa wapi?” Aliuliza John Brain akionesha kutafakari  jambo peke yake, kisha akawaambia 

“Nendeni lakini Mjiandae kwa msako maalum” Malaika na Six  wakaondoka, John Brain akampigia simu Rais na kumjulisha  taarifa ile ambayo ilionekana kumchanganya sana Rais 

“Hivi mnajua mnafanya masihara kwa Watu gani? Hao jamaa wana  medali za ushindi kwenye kila jambo, Dawson ana fahamu siri  yetu hivyo hapaswi kuendelea kuishi” Alisema Rais kama Mtu  aliyeingia kwenye mshituko ni wazi kuwa alitarajia kusikia  kuwa Dawson na Sande wameuawa

“Tunalijuwa hilo na vijana wangu wanalifanyia kazi jambo la  muhimu ni kuhakikisha unatupatia Mtu wetu baada ya siku  chache, tutakuwa tumeimaliza kazi hii na kuondoka hapa  Nchini” 

“Msifanye Makosa mengine John , mtajikuta mnawajibishwa!  Ngoja nijisafishe haraka sana” Rais alikata simu, alionekana  kuwa mwenye msongo wa mawazo huku akionekana kuwa na hofu juu  ya mpango wake wa siri juu ya Mauwaji ya Makam wa Rais  kujulikana na kuwekwa hadharani, akanyanyua simu na kumpigia  Mkuu wa Idara ya polisi na kumueleza kuwa Dawson ni mharifu  anapaswa kusakwa kwa kila njia ili apatikane, Rais aliamuwa  kucheza karata mbili. 

Moja ni kuwatumia Mafia Gang kumfyeka Dawson na nyingine ni  kutumia Jeshi la polisi kumsaka popote alipo, agizo la Rais  lilianza kutekelezwa, Polisi wakaagizwa kuelekea nyumbani kwa  Dawson usiku huo huo. 

Rais alikaa katika kiti chake huku akizidi kujiingiza  mawazoni, Nchi ilikuwa imeingia katika Msako, Polisi  walivunja nyumba ya Dawson na kufanya msako mkubwa bila  mafanikio, wakati huo Dawson na timu yake wakiwa wanatoka  katika shimo kule kanisani, Polisi wachache walikuwepo eneo  la tukio kule kanisani usiku huo, Walifanikiwa kuchomoka pale  kanisani kimya kimya kisha wakaruka ukuta wa kanisa na  kutokomea. 

Dawson alishajua kuwa polisi wataenda nyumbani kwake hivyo  akawaambia wasiende huko badala yake waelekee kwenye makazi  ya siri ambayo alikuwa akiishi Inspekta Zola, ilikuwa ni  safari ya Kilomita kadhaa kutoka pale kanisani hadi kufika  huko, walilazimika kutembea kwa mguu sababu polisi walikuwa  wakikagua magari yanayoingia na kutoka kila kona ya jiji  hilo, haikuwa salama kwao kutumia usafiri wa gari licha ya  kuvaa sura bandia, mwendo wa masaa mawili Walifika kwenye  makazi hayo, Dawson alifahamu namba za siri za kufungulia  milango hiyo ikawa rahisi wao kuingia ndani. 

Kumbukumbu ya Zola iliendelea kuwatesa baada ya kuingia humo,  Sande aliiona picha aliyopiga na Zola wakiwa mafunzoni hadi  chozi lilimbubujika aligundua kuwa Rafiki yake huyo alikuwa  akimpenda na kumkumbuka sana, walikuwa na ndoto ya kuonana  siku moja lakini ndiyo hivyo Sande alichelewa kurudi hadi  Zola akauawa, Dawson aliifahamu nyumba hii vizuri sana sababu  mpango wa nyumba hii aliusuka mwenyewe ili Zola aitumie  nyumba hii kwa kazi zake maalum, akawaonesha chumba ambacho  kilikuwa na silaha akawataka kujiandaa kwa ajili ya kazi hiyo  kubwa iliyo mbele yao.

“Baada ya kupambazuka tutakuwa katika hekaheka nzito yenye  maamuzi ya kuondoa uhai wetu au kuturuhusu kuendelea kupumua,  kama tuna muda wa kufurahi basi huu Usiku uliobaki unaweza  kuwa ndio muda pekee wa kufanya hivyo” Alisema Dawson akiwa  ana mimina mvinyo kwenye glasi, kila mmoja akanyanyua na  kuanza kunywa 

“Kwa ajili ya Zola, tusherehekee Maisha yake sababu  ameimaliza kazi aliyokula kiapo kuifanya ili kulinda Taifa  lake” Yalikuwa ni maneno ya Sande Olise ambaye naye aliungana  na Mzee Dawson wakanywa Glasi moja moja, Chande na Kisko  wakaungana pale wote wakapata Mvinyo kama Ishara ya kuyaenzi  Maisha ya Inspekta Zola ambaye ameuawa ndani ya Ikulu, hadi  kufikia muda huo hakukuwa na taarifa iliyotolewa popote kuwa  Inspekta Zola alikuwa amekufa, si akina Dawson wala upande wa  Rais ambao ndio walitekeleza Mauwaji hayo. 

Asubuhi ya siku iliyofuata iliwakuta Dawson na vijana wake  wakiwa ndani ya jumba la siri hilo alilokuwa akiishi Mtaalam  Zola, taarifa kuwa Dawson amelisaliti Taifa ilianza kuzagaa,  akatajwa Dawson kama ndiye Mhusika namba moja wa Mauwaji ya  Waumini kule kanisani, taarifa ikafika mbali na kusema ana  viashiria kuwa alitaka kuipindua Nchi hiyo kwa kusababisha  taharuki ikiwemo Mauwaji ya kutisha yaliyokuwa yakifanyika  pia Mauwaji ya Makam wa Rais, gunzo lilikuwa limetanda, ni  kama Bundi mweusi alikuwa ameyazunguka Maisha ya Dawson,  ikatolewa taarifa kuwa Dawson anashirikiana na Askari mmoja  wa Usalama wa Taifa aliyeitwa Sande Olise ambaye alikuwa  akiishi Botswana. 

“Huyu Mjinga anajaribu kuharibu taswira niliyoijenga Miaka  mingi katika Taifa hili” Alisema Dawson kwa hasira huku  akitafuta rimoti ya TV ili aizime, Sande alimzuia 

“Huna haja ya kupaniki, anachokifanya Rais ni kujaribu  kujisafisha na kuyatia doa Maisha yetu. Kwakuwa anajua una  siri zake basi anaitumia hii nafasi kukudidimiza ili  usiaminike na yeyote yule” Alisema Sande kisha Dawson  akamuuliza 

“Mimi ni mzalendo kwa Taifa hili, nimekuwa kwenye nafasi hii  kwa Marais zaidi ya tano, iweje huyu aje kuharibu kila jema  nililopanda kwenye Taifa hili, baada ya kuniulia Rafiki yangu  anadiriki kuniita Msaliti wa Taifa hili” Dawson alionekana  kuchukizwa sana na kitendo kile, akapapasa kiuno chake akatoa  bastola 

“Unaenda wapi?” Alihoji Sande

“Ikulu kuondoa uhai wa hayawani yule, hastahili kuishi pale,  anastahili kuwa Kaburini au Jela kwa yote aliyoyafanya” 

“Hebu tulia, kumbuka John Brain ni Mtu mwenye akili sana. Huu  ni mtego na lengo ni kukufanya uchukie, Rais anakujua vizuri  hupendi mchezo na uzushi, ukitoka hapa hata hufiki mbali  wanakuuwa” Alisema Sande huku akimsistiza Dawson atulie,  chozi lilikuwa likimbubujika Mzee Dawson, akajitupa kitini  kama Mtu aliyekata tamaa. 

“Huna haja ya kukurupuka, Tumetajwa kuwa Wauwaji na wasaliti,  tukikamatwa huko nje hatutokaa kuonekana tena, tutaliacha  Taifa hili katika giza kama ambavyo Zola ameliacha. Nimekuja  hapa kwa ajili ya kazi hii, nitazame Mimi kwa sasa kama  ambavyo ulikuwa ukimtazama Zola na kumuamini, hamisha kila  kitu kutoka kwake kisha kiweke kwangu, Mimi ni Zola niliye  katika Umbo la Sande, hakuna kitakacho haribika” Yalikuwa ni  maneno ya Kikomandoo kutoka kwa Sande Olise, alisema akiwa  amefanikiwa kumpokonya Bastola Dawson. 

Akampatia ile Bastola Kisko akamwmbia 

“Ukiitumia vibaya itakupeleka pabaya, tuliza akili ndipo  uitume ifanye kazi yake” Alimkabidhi kisha Akasema 

“Baada ya miaka mingi narudi kazini kupambana na John Brain,  kivuli chake kitaendelea kuitesa hii Nchi, huyu Rais Mpumbavu  siku zake za kuwa madarkani zinahesabika” Alisema kisha  akaelekea kwenye moja ya vyumba vya siri vya jengo hilo  ambavyo vilikuwa vimeshafunguliwa na Mzee Dawon. 

Akakuta Ramani ya mpango wa Zola ikiwa ukutani, akaangalia  namna Zola alivyopanga mambo yake pale akajikuta akitabasamu  kwani kila jambo alikuwa ameliandika katika Ramani hiyo. 

Nyuma ya Sande alikuja kusimama Mzee Dawson huku akimtazama  Sande namna alivyokuwa makini kutazama Ramani ya Zola 

“Ulikuwa na askari shujaa sana ambaye hasahau mbinu zako”  Alisema Sande Olise kisha aligeuka na kumtazama Mzee Dawson  aliyekuwa akifuta chozi lake, kifo cha Zola kilimuumiza sana. 

“Nina uhakika kama utawatunza vijana hawa wawili wanaweza  kuwa Sande na Zola wa baadaye, kwasasa Mzee Dawson pumzika.  Afya yako haikuruhusu kuendelea na vita hii, nitapambana Mimi  na hawa vijana, utabakia hapa” Aliongeza Sande, ni kweli afya  ya Dawson haikuwa nzuri kutokana na pombe na sigara.

Wakapanga mipango ya kumuondoa Rais Madarakani kisha kuanika  uchafu na madudu yake yote, Dawson alitakiwa kubakia pale  kwenye jumba la siri wakati ambao Sande na vijana wawili wa  Dawson watakapokuwa wanaondoka, wakapewa sura bandia ili  watakapotoka nje wasijulikane. 

Muda huo Magari mawili meusi yalikuwa yakiingia Ikulu,  alikuwa ni John Brain, Six na Malaika, utatu ambao  ulilisumbua Taifa kwa muda mrefu, waliitwa na Rais huyo  Mshenzi. Waliingia wakiwa kama wageni wakiwa ndani ya sura  bandia ili wasitambulike sababu Vyombo vingi vya habari hasa  vya nje vilikuwa vikiripoti taarifa zao za Mauwaji na jinsi  ambavyo walikuwa wakitafutwa, Waliongoza hadi ofisini kwa  Rais huyo bila Ulinzi wowote kutokana na maagizo ya Rais. 

Rais alipowaona alinyanyuka na kusogea karibu na John Brain  kisha akamuuliza 

“Mnataka niwape nini ili Dawson na Sande wauawe? Mnapaswa  kujuwa kuwa Dawson ni nyati aliyejeruhiwa akitoka huko  mafichoni hatutokuwa salama” Alisema huku akionekana  kuchanganikiwa, jasho lilikuwa likimvuja 

“Tatizo umechanganya vitu viwili kwa wakati mmoja, Polisi  wanahangaika kuwatafuta na sisi tunahangaika kuwapata. Kila  tunapopiga hatua polisi wanakuwa eneo la tukio, au unataka  tusamabratishe na polisi wako?” 

“Kama hilo ni tatizo nitawaingiza katika mfumo wa usalama wa  Taifa mkiwa katika sura hizo, John utakaa pembeni sababu ya  rangi yako ila Malaika na Six wataingia na kufanya kazi mara  moja, watakuwa na amri kwa askari pindi wanapokutana katika  jukumu la kuwawinda Sande na Dawson,watapewa vitambulisho  maalum” 

Rais akawaingiza Six na Malaika katika mfumo wa idara ya  Usalama wa Taifa, wakapewa na Vitambulisho  

vilivyowatambulisha kama Watu wa Usalama, ikawa rahisi kwao  kuwa huru kufanya kazi ya kuwasaka Dawson na Sande Olise  ambao walikuwa kizingiti kikubwa kwa Rais na John Brain  kumpata kijana wake aliyekuwa akishikiliwa na Rais. 

Polisi wakatawanywa kila kona ya Jiji kuhakikisha Dawson na  Sande hawapigi hata hatua moja, kazi ya polisi ilikuwa  kuwakamata lakini kazi ya Six na Malaika ni kuwauwa, wakiwa  ndani ya Sura bandia walirudi pale Kanisani ambako  walisababisha Mauwaji ya kutisha ya Waumini na Askari mmoja  wa siri wa Mzee Dawson, walirudi kama Watu wa Usalama,  wakahitaji kuchunguza eneo hilo huku akili zao zikiwaambia kuwa pengine Dawson na Sande bado wapp eneo hilo, walimjua  vizuri Dawson jinsi alivyo na akili nyingi. 

Walitumia vyema macho yao ya Kijasusi na mafunzo waliyoyapata  kutoka kwa John Brain wakagundua kuwa kuna andaki eneo la  maegesho ya Magari 

Six na Malaika wakapeana ishara, haraka bastola zao zikawa  zinatazmaa eneo hilo ili kama kuna Mtu atatokea basi  wamdhibiti haraka sana. 

Wakalisukuma gari na kuona mlango wa kuingia ndani, haraka  wakiwa makini sana wakafungua na kuanza kuingia humo taratibu  huku masikio yao yakiwa makini kusikiliza ndani ya andaki  hilo lenye giza sana. 

Walipofika chini wakawasha tochi ya simu kisha wakaona mahali  ambapo wangewasha taa, walipowasha wakaona vitu vikiwa  vimeharibiwa pale, wakakagua kila kona lakini hakukuwa na  Watu, tayari Mzee Dawson na vijana wake walishaondoka pale  muda mrefu sana kisha wakaharibu vitu ndani ya andaki hilo,  elimu yao ya kijasusi haikuwafanya wao kukata tamaa ya kutaka  kujuwa andaki hilo lilihusiana na nini 

“Kwa vyovyote haya yalikuwa makazi ya siri ya Dawson! Huenda  ameishi hapa kwa kitambo sana” Alisema Six 

“Hata awe makini vipi ni lazima ataacha alama humu, tutajua  kama ni yeye na ameenda wapi” Alisema Malaika, msako  uliendelea ndani ya andaki hilo lililoonekana kuwa makazi ya  kutulia sana, katika upekuzi wao waliona Makaburi manne  ambayo yalikuwa ndani ya chumba kimoja. 

Walipoangalia vizuri waliona namba za siri ambazo Mzee Dawson  aliwapa vijana wake kama majina na alama zao, namba hizi  zilikuwa za siri sana, ilikuwa ngumu kugundua chochote lakini  alizitambua kisha akampigia simu John Brain na kumueleza  kuhusu Makaburi hayo manne yenye namba za siri, John Brain  alikuwa na mtandao mkubwa sana na alizijua siri nyingi za  Mataifa mbalimbali 

“Hayo ni majina ya Watu wa siri wa Mzee Dawson, Sande yupo  hai, moja ya kaburi hapo linaweza kuwa kaburi la Zola,  fukueni haraka sana.” Ilisikika sauti ya John Brain, aliamini  Dawson ni Mtu mwenye akili sana kwenye mambo yake. 

Mengine yalionekana kuwa ya zamani sana lakini moja lilikuwa  bado jipya, wakalifukua hilo kwa kutumia chepe iliyo kwenye  kona ya chumba hicho chenye makaburi. Kazi hii ilifanywa na Six aliyekuwa amebana rasta zake kwa nyuma. Jasho lilikuwa  likimtoka, harufu kidogo ilianza kutapakaa pale, haikuwazuia  kufanya kazi yao,

Comments ziwe nyingi apa wikiendi itoke EPISODE NDEFU YA 10 

Nini Kitaendelea? USIKOSE SEHEMU YA SABA  USISAHAU PIA Kununua Kitabu Cha KOTI JEUSI Kupiga Namba+255760871896 Ufikishiwe Mpaka Ulipo

SOMA RIWAYA YA FUNGATE KWA KUBONYEZA HAPA 

SOMA RIWAYA YA NILIPANGA NYUMBA MOJA NA MAJINI 

SOMA RIWAYA YA GORYANAH HAPA 

SOMA KISASI CHANGU HAPA  

SOMA RIWAYA YA MSALA HAPA

JIUNGE NIPO KIJIWENI Kwa Kubonyeza Hapa 

  Jasusi xx Jasusi xx Jasusi xx   Jasusi xx Jasusi xx Jasusi xx   Jasusi xx Jasusi xx Jasusi xx   Jasusi xx Jasusi xx Jasusi xx Jasusi xx Jasusi xx Jasusi xx Jasusi xx Jasusi xx Jasusi xx 

  

135 Comments

  1. Thanks , I’ve recently been looking for information approximately this topic for a long time and yours is the greatest I’ve came upon till now. But, what about the conclusion? Are you positive in regards to the source?

  2. When I originally commented I appear to have clicked on the -Notify me when new comments are added- checkbox and now whenever a comment is added I receive four emails with the same comment. Is there a way you can remove me from that service? Thanks!

  3. After I originally left a comment I seem to have clicked on the -Notify me when new comments are added- checkbox and now whenever a comment is added I recieve four emails with the exact same comment. Is there an easy method you are able to remove me from that service? Thank you!

  4. After I originally left a comment I appear to have clicked the -Notify me when new comments are added- checkbox and from now on each time a comment is added I get four emails with the exact same comment. There has to be a way you can remove me from that service? Kudos!

  5. When I originally commented I seem to have clicked the -Notify me when new comments are added- checkbox and now each time a comment is added I get four emails with the same comment. There has to be an easy method you are able to remove me from that service? Thank you!

  6. When I initially left a comment I appear to have clicked on the -Notify me when new comments are added- checkbox and now whenever a comment is added I receive four emails with the exact same comment. Perhaps there is a means you can remove me from that service? Thanks a lot!

  7. After I originally commented I seem to have clicked the -Notify me when new comments are added- checkbox and now each time a comment is added I get four emails with the exact same comment. Is there an easy method you are able to remove me from that service? Many thanks!

  8. When I originally commented I appear to have clicked the -Notify me when new comments are added- checkbox and now every time a comment is added I recieve 4 emails with the exact same comment. There has to be an easy method you can remove me from that service? Thank you!

  9. After I originally left a comment I seem to have clicked on the -Notify me when new comments are added- checkbox and from now on whenever a comment is added I receive four emails with the exact same comment. Is there an easy method you are able to remove me from that service? Many thanks!

  10. Hi! I could have sworn I’ve been to this blog before but after checking through some of the post I realized it’s new to me. Anyways, I’m definitely happy I found it and I’ll be book-marking and checking back frequently!

  11. Good day! I could have sworn I’ve been to this site before but after reading through some of the post I realized it’s new to me. Anyhow, I’m definitely glad I found it and I’ll be bookmarking and checking back often!

  12. Hey there! I could have sworn I’ve been to this blog before but after checking through some of the post I realized it’s new to me. Anyhow, I’m definitely glad I found it and I’ll be bookmarking and checking back often!

  13. Good day! I could have sworn I’ve been to this website before but after reading through some of the post I realized it’s new to me. Nonetheless, I’m definitely happy I found it and I’ll be bookmarking and checking back frequently!

  14. Hi! I could have sworn I’ve been to this website before but after reading through some of the post I realized it’s new to me. Anyways, I’m definitely delighted I found it and I’ll be bookmarking and checking back frequently!

  15. My programmer is trying to convince me to move to .net from PHP. I have always disliked the idea because of the costs. But he’s tryiong none the less. I’ve been using WordPress on various websites for about a year and am anxious about switching to another platform. I have heard good things about blogengine.net. Is there a way I can transfer all my wordpress posts into it? Any help would be really appreciated!

  16. Sweet blog! I found it while searching on Yahoo News. Do you have any suggestions on how to get listed in Yahoo News? I’ve been trying for a while but I never seem to get there! Thanks

  17. Howdy! Would you mind if I share your blog with my zynga group? There’s a lot of people that I think would really appreciate your content. Please let me know. Many thanks

  18. Do you have a spam issue on this blog; I also am a blogger, and I was curious about your situation; we have developed some nice practices and we are looking to trade techniques with others, why not shoot me an e-mail if interested.

  19. Superb blog! Do you have any suggestions for aspiring writers? I’m planning to start my own site soon but I’m a little lost on everything. Would you propose starting with a free platform like WordPress or go for a paid option? There are so many options out there that I’m totally overwhelmed .. Any tips? Appreciate it!

  20. Admiring the hard work you put into your blog and detailed information you provide. It’s great to come across a blog every once in a while that isn’t the same old rehashed information. Excellent read! I’ve saved your site and I’m including your RSS feeds to my Google account.

  21. Good post however I was wondering if you could write a litte more on this subject? I’d be very grateful if you could elaborate a little bit further. Thank you!

  22. It’s really a cool and useful piece of information. I’m glad that you simply shared this useful information with us. Please stay us informed like this. Thank you for sharing.

  23. I do not even know how I finished up here, but I believed this put up used to be good. I don’t understand who you might be but definitely you are going to a famous blogger for those who aren’t already. Cheers!

  24. Hey I know this is off topic but I was wondering if you knew of any widgets I could add to my blog that automatically tweet my newest twitter updates. I’ve been looking for a plug-in like this for quite some time and was hoping maybe you would have some experience with something like this. Please let me know if you run into anything. I truly enjoy reading your blog and I look forward to your new updates.

  25. Hi there would you mind stating which blog platform you’re working with? I’m looking to start my own blog in the near future but I’m having a tough time deciding between BlogEngine/Wordpress/B2evolution and Drupal. The reason I ask is because your design seems different then most blogs and I’m looking for something unique. P.S Apologies for being off-topic but I had to ask!

  26. Does your blog have a contact page? I’m having trouble locating it but, I’d like to shoot you an e-mail. I’ve got some suggestions for your blog you might be interested in hearing. Either way, great site and I look forward to seeing it develop over time.

  27. Greetings from Colorado! I’m bored to death at work so I decided to browse your website on my iphone during lunch break. I love the information you provide here and can’t wait to take a look when I get home. I’m surprised at how quick your blog loaded on my cell phone .. I’m not even using WIFI, just 3G .. Anyhow, wonderful site!

  28. Link exchange is nothing else except it is simply placing the other person’s web site link on your page at appropriate place and other person will also do same in favor of you.

  29. It’s a pity you don’t have a donate button! I’d certainly donate to this fantastic blog! I suppose for now i’ll settle for book-marking and adding your RSS feed to my Google account. I look forward to fresh updates and will talk about this site with my Facebook group. Chat soon!

  30. Remarkable things here. I’m very satisfied to look your article. Thanks so much and I’m looking ahead to touch you. Will you please drop me a mail?

  31. Hi there! Quick question that’s completely off topic. Do you know how to make your site mobile friendly? My website looks weird when viewing from my iphone4. I’m trying to find a template or plugin that might be able to correct this issue. If you have any suggestions, please share. With thanks!

  32. I absolutely love your site.. Excellent colors & theme. Did you make this amazing site yourself? Please reply back as I’m wanting to create my own personal blog and would love to find out where you got this from or what the theme is called. Many thanks!

  33. You actually make it seem so easy with your presentation but I find this matter to be actually something which I think I would never understand. It seems too complicated and very broad for me. I’m looking forward for your next post, I will try to get the hang of it!

  34. My partner and I absolutely love your blog and find a lot of your post’s to be just what I’m looking for. Do you offer guest writers to write content to suit your needs? I wouldn’t mind publishing a post or elaborating on some of the subjects you write regarding here. Again, awesome web site!

  35. Thanks for your personal marvelous posting!
    I truly enjoyed reading it, you’re a great author.
    I will be sure to bookmark your blog and will eventually come back in the future.
    I want to encourage you continue your great work, have a nice afternoon!

  36. Today, I went to the beachfront with my children. I found a sea shell and gave it to my
    4 year old daughter and said “You can hear the ocean if you put this to your ear.” She put the shell to her ear
    and screamed. There was a hermit crab inside and it pinched her ear.

    She never wants to go back! LoL I know this is completely off topic but I had to tell someone!

  37. I’m impressed, I must say. Rarely do I come across a
    blog that’s both educative and amusing, and without
    a doubt, you’ve hit the nail on the head. The problem is an issue that too
    few folks are speaking intelligently about. Now
    i’m very happy I stumbled across this during my search
    for something relating to this.

  38. Link exchange is nothing else however it is only placing the other person’s weblog link on your page at proper place and other person will also do same for you.

  39. When I initially commented I clicked the “Notify me when new comments are added” checkbox and now each time a comment is added I get several emails with the same comment. Is there any way you can remove me from that service? Thanks a lot!

  40. Hello there, just become aware of your blog via Google, and located that it’s truly informative. I’m going to be careful for brussels. I will be grateful in case you proceed this in future. Lots of folks shall be benefited from your writing. Cheers!

  41. Greetings, I believe your web site might be having web browser compatibility issues. When I take a look at your site in Safari, it looks fine but when opening in I.E., it has some overlapping issues. I simply wanted to give you a quick heads up! Besides that, excellent site!

  42. After I originally commented I seem to have clicked the -Notify me when new comments are added- checkbox and from now on whenever a comment is added I get 4 emails with the same comment. Is there an easy method you can remove me from that service? Thank you!

  43. I got this website from my buddy who informed me on the topic of this web site and at the moment this time I am browsing this website and reading very informative content here.

  44. Hi, i think that i saw you visited my blog thus i got here to return the prefer?.I am trying to in finding issues to enhance my web site!I guess its good enough to make use of some of your ideas!!

  45. A motivating discussion is definitely worth comment. I think that you ought to write more about this issue, it might not be a taboo matter but typically people don’t speak about such subjects. To the next! Cheers!!

  46. Great beat ! I would like to apprentice while you amend your web site, how can i subscribe for a blog website? The account helped me a acceptable deal. I had been tiny bit acquainted of this your broadcast offered bright clear idea

  47. Fantastic goods from you, man. I have understand your stuff previous to and you’re simply too magnificent. I actually like what you’ve received here, really like what you are stating and the way by which you say it. You make it enjoyable and you continue to care for to keep it smart. I cant wait to learn much more from you. That is actually a terrific site.

  48. I’m curious to find out what blog system you’re working with? I’m experiencing some small security issues with my latest blog and I would like to find something more safe. Do you have any recommendations?

  49. Hey There. I discovered your blog the usage of msn. This is an extremely well written article. I’ll make sure to bookmark it and return to read more of your useful info. Thank you for the post. I will definitely comeback.

  50. wonderful issues altogether, you simply received a new reader. What may you recommend in regards to your post that you made some days in the past? Any sure?

  51. Ꮃow! This blog looks exactly like my old one! It’s onn a completely different toрic but it
    hɑs pretty much the samee page layout and design. Great choіce oof cοlors!

    my bl᧐ց; Jnt77

Leave A Reply

Exit mobile version