Ilipoishia “Hizi ni risasi zilezile, chukueni maiti hizi na wengine fanyeni msako hapa haraka sana” Ilikuwa ni sauti ya mmoja wa Askari waliokuja pale kanisani, bado Mtaalam Sande, Mzee Dawson na vijana wake wakiwa ndani ya Andaki bila kuwa na taarifa kuwa Jesca alikuwa ameuawa na Six, lilipofunguliwa lango kuu la Kanisa ndipo mshituko na Mshangao mkubwa ulipowashika polisi hao, walikuta Miili ya watu ikiwa inatokwa na mvuke kama vile nyama inayochomwa, harufu ya nyama ilitapakaa kanisa zima wakaagiza zima moto kumwaga Maji katika kanisa hilo, muda mchache polisi walifanikiwa kuingia ndani ya kanisa na kukuta Miili mingi ikiwa imeharibika vibaya sana.
Taarifa ilizagaa kwa haraka sana juu ya shambulio hilo la kutisha ambalo lilitumia silaha ya sumu na risasi, Sande akawashauri akina Mzee Dawson kuwa hawapaswi kutoka kwa wakati huo hadi polisi watakapo maliza msako wao. Endelea
SEHEMU YA TISA
“Nina mashaka juu ya uhai wa Jesca, yeye ni mmoja wa walinzi wa hapa kanisani, sijasikia majibizano ya risasi, huwenda amekufa kifo Baridi” Alisema Mzee Dawson akionekana kushindwa kuzuia chozi lake
“Una maanisha nini kusema Kifo Baridi?” Alihoji Mtaalam Sande Olise huku akimtazama Dawson kwa jicho lililo kaza
“Kufa bila kujibu mapigo, Walengwa tunaotafutwa katika vita hii ni sisi. Sitaki makubwa yawakute wasio na hatia” Alinena Dawson
“Una maaana gani?”
“Ni bora nijitokeze kupambana nao ili kunusuru Maisha ya wengi yanayowekwa rehani, ikiwa kufa Mimi au kupona wao ninachotaka ni usawa” Aliongeza Dawson
“Kumbuka Polisi watakuangalia kama muarifu kuanzia hivi sasa, hautokuwa huru kufanya chochote kama Mkuu wa Kitengo, vita hii ni ngumu Mkuu! Vipi kama Rais ataamuwa kukupaka tope? Utakuwa salama?” Aliuliza Sande Olise, Mzee Dawson akameza funda zito la mate kisha akasema
“Tusipopambana sasa hivi tutakuja kupambana nje ya muda, tunapaswa kuwa macho zaidi”
“Unashauri tufanye Nini Mkuu tupo tayari kukusaidia katika vita hii” Alisema Kisko kwa utii Mkubwa, Dawson alikuwa kama Mzazi kwao, ndiye aliyewachukua kutoka katika kituo cha Watoto yatima na kuwaonesha Mwanga wa Maisha, Dawson akawageukia na kuwaambia
“Natamani hii vita msipigane sababu mna kila sababu ya kuwa hai ili mje mpigane hapo baadaye sisi tukiwa tumetundika daruga au tukiwa tumekufa. Niliwaandaa mje kuwa hazina muhimu baadaye” Alisema Dawson kwa sauti ya Baba kwa Watoto wake, nyuso za Kisko na Chande zilisinyaa huku macho yao yakitazama chini.
“Babaa!! ” Aliita Chande, Dawson akageuza macho yake kumtazama
“Tupo tayari kwa sasa kufa kwa ajili ya Taifa letu, turuhusu tukusaidie hii vita” Dawson alipomaliza kumsikiliza Chande akarudisha macho yake kwa Sande Olise, Wakajikuta wanatazamana huku sura zao zikizungumza Kijasusi
“Tuangalie tunatokaje hapa Shimoni, haribuni kila kitu ili kupoteza ushahidi wa kazi za hapa ndani, kila mmoja avae sura bandia haraka sana” Aliagiza Mzee Dawson kwa sauti iliyojaa mamlaka ya Kijeshi, kazi ikaanza rasmi.
MSAKO
“Shit!” Ilikuwa ni sauti ya John Brain baada ya kupokea taarifa usiku huo, hakutegemea kusikia kuwa Dawson na Sande Olise bado wanaendelea kupumua, aliona ni makosa makubwa ni sawa na kumjeruhi mnyama Mkali.
“Inawezekanaje wasiwepo kanisani wakati mtoa taarifa amehakikisha kuwa Sande aliingia hapo? Endapo Sande na Dawson wakapata muda wa kupanga mipango yao kazi hii itakuwa ngumu kwetu” Alisema tena John Brain huku akizitazama sura za Six na Malaika ambao walikuwa wamenywea.
“Nimefanya msako kanisa zima lakini sikupata kuhisi hata harufu zao, huenda walicheza mchezo wa sarafu baada ya kugundua kuwa tunawafuatilia” Alijibu Malaika
“Watakuwa wapi?” Aliuliza John Brain akionesha kutafakari jambo peke yake, kisha akawaambia
“Nendeni lakini Mjiandae kwa msako maalum” Malaika na Six wakaondoka, John Brain akampigia simu Rais na kumjulisha taarifa ile ambayo ilionekana kumchanganya sana Rais
“Hivi mnajua mnafanya masihara kwa Watu gani? Hao jamaa wana medali za ushindi kwenye kila jambo, Dawson ana fahamu siri yetu hivyo hapaswi kuendelea kuishi” Alisema Rais kama Mtu aliyeingia kwenye mshituko ni wazi kuwa alitarajia kusikia kuwa Dawson na Sande wameuawa
“Tunalijuwa hilo na vijana wangu wanalifanyia kazi jambo la muhimu ni kuhakikisha unatupatia Mtu wetu baada ya siku chache, tutakuwa tumeimaliza kazi hii na kuondoka hapa Nchini”
“Msifanye Makosa mengine John , mtajikuta mnawajibishwa! Ngoja nijisafishe haraka sana” Rais alikata simu, alionekana kuwa mwenye msongo wa mawazo huku akionekana kuwa na hofu juu ya mpango wake wa siri juu ya Mauwaji ya Makam wa Rais kujulikana na kuwekwa hadharani, akanyanyua simu na kumpigia Mkuu wa Idara ya polisi na kumueleza kuwa Dawson ni mharifu anapaswa kusakwa kwa kila njia ili apatikane, Rais aliamuwa kucheza karata mbili.
Moja ni kuwatumia Mafia Gang kumfyeka Dawson na nyingine ni kutumia Jeshi la polisi kumsaka popote alipo, agizo la Rais lilianza kutekelezwa, Polisi wakaagizwa kuelekea nyumbani kwa Dawson usiku huo huo.
Rais alikaa katika kiti chake huku akizidi kujiingiza mawazoni, Nchi ilikuwa imeingia katika Msako, Polisi walivunja nyumba ya Dawson na kufanya msako mkubwa bila mafanikio, wakati huo Dawson na timu yake wakiwa wanatoka katika shimo kule kanisani, Polisi wachache walikuwepo eneo la tukio kule kanisani usiku huo, Walifanikiwa kuchomoka pale kanisani kimya kimya kisha wakaruka ukuta wa kanisa na kutokomea.
Dawson alishajua kuwa polisi wataenda nyumbani kwake hivyo akawaambia wasiende huko badala yake waelekee kwenye makazi ya siri ambayo alikuwa akiishi Inspekta Zola, ilikuwa ni safari ya Kilomita kadhaa kutoka pale kanisani hadi kufika huko, walilazimika kutembea kwa mguu sababu polisi walikuwa wakikagua magari yanayoingia na kutoka kila kona ya jiji hilo, haikuwa salama kwao kutumia usafiri wa gari licha ya kuvaa sura bandia, mwendo wa masaa mawili Walifika kwenye makazi hayo, Dawson alifahamu namba za siri za kufungulia milango hiyo ikawa rahisi wao kuingia ndani.
Kumbukumbu ya Zola iliendelea kuwatesa baada ya kuingia humo, Sande aliiona picha aliyopiga na Zola wakiwa mafunzoni hadi chozi lilimbubujika aligundua kuwa Rafiki yake huyo alikuwa akimpenda na kumkumbuka sana, walikuwa na ndoto ya kuonana siku moja lakini ndiyo hivyo Sande alichelewa kurudi hadi Zola akauawa, Dawson aliifahamu nyumba hii vizuri sana sababu mpango wa nyumba hii aliusuka mwenyewe ili Zola aitumie nyumba hii kwa kazi zake maalum, akawaonesha chumba ambacho kilikuwa na silaha akawataka kujiandaa kwa ajili ya kazi hiyo kubwa iliyo mbele yao.
“Baada ya kupambazuka tutakuwa katika hekaheka nzito yenye maamuzi ya kuondoa uhai wetu au kuturuhusu kuendelea kupumua, kama tuna muda wa kufurahi basi huu Usiku uliobaki unaweza kuwa ndio muda pekee wa kufanya hivyo” Alisema Dawson akiwa ana mimina mvinyo kwenye glasi, kila mmoja akanyanyua na kuanza kunywa
“Kwa ajili ya Zola, tusherehekee Maisha yake sababu ameimaliza kazi aliyokula kiapo kuifanya ili kulinda Taifa lake” Yalikuwa ni maneno ya Sande Olise ambaye naye aliungana na Mzee Dawson wakanywa Glasi moja moja, Chande na Kisko wakaungana pale wote wakapata Mvinyo kama Ishara ya kuyaenzi Maisha ya Inspekta Zola ambaye ameuawa ndani ya Ikulu, hadi kufikia muda huo hakukuwa na taarifa iliyotolewa popote kuwa Inspekta Zola alikuwa amekufa, si akina Dawson wala upande wa Rais ambao ndio walitekeleza Mauwaji hayo.
Asubuhi ya siku iliyofuata iliwakuta Dawson na vijana wake wakiwa ndani ya jumba la siri hilo alilokuwa akiishi Mtaalam Zola, taarifa kuwa Dawson amelisaliti Taifa ilianza kuzagaa, akatajwa Dawson kama ndiye Mhusika namba moja wa Mauwaji ya Waumini kule kanisani, taarifa ikafika mbali na kusema ana viashiria kuwa alitaka kuipindua Nchi hiyo kwa kusababisha taharuki ikiwemo Mauwaji ya kutisha yaliyokuwa yakifanyika pia Mauwaji ya Makam wa Rais, gunzo lilikuwa limetanda, ni kama Bundi mweusi alikuwa ameyazunguka Maisha ya Dawson, ikatolewa taarifa kuwa Dawson anashirikiana na Askari mmoja wa Usalama wa Taifa aliyeitwa Sande Olise ambaye alikuwa akiishi Botswana.
“Huyu Mjinga anajaribu kuharibu taswira niliyoijenga Miaka mingi katika Taifa hili” Alisema Dawson kwa hasira huku akitafuta rimoti ya TV ili aizime, Sande alimzuia
“Huna haja ya kupaniki, anachokifanya Rais ni kujaribu kujisafisha na kuyatia doa Maisha yetu. Kwakuwa anajua una siri zake basi anaitumia hii nafasi kukudidimiza ili usiaminike na yeyote yule” Alisema Sande kisha Dawson akamuuliza
“Mimi ni mzalendo kwa Taifa hili, nimekuwa kwenye nafasi hii kwa Marais zaidi ya tano, iweje huyu aje kuharibu kila jema nililopanda kwenye Taifa hili, baada ya kuniulia Rafiki yangu anadiriki kuniita Msaliti wa Taifa hili” Dawson alionekana kuchukizwa sana na kitendo kile, akapapasa kiuno chake akatoa bastola
“Unaenda wapi?” Alihoji Sande
“Ikulu kuondoa uhai wa hayawani yule, hastahili kuishi pale, anastahili kuwa Kaburini au Jela kwa yote aliyoyafanya”
“Hebu tulia, kumbuka John Brain ni Mtu mwenye akili sana. Huu ni mtego na lengo ni kukufanya uchukie, Rais anakujua vizuri hupendi mchezo na uzushi, ukitoka hapa hata hufiki mbali wanakuuwa” Alisema Sande huku akimsistiza Dawson atulie, chozi lilikuwa likimbubujika Mzee Dawson, akajitupa kitini kama Mtu aliyekata tamaa.
“Huna haja ya kukurupuka, Tumetajwa kuwa Wauwaji na wasaliti, tukikamatwa huko nje hatutokaa kuonekana tena, tutaliacha Taifa hili katika giza kama ambavyo Zola ameliacha. Nimekuja hapa kwa ajili ya kazi hii, nitazame Mimi kwa sasa kama ambavyo ulikuwa ukimtazama Zola na kumuamini, hamisha kila kitu kutoka kwake kisha kiweke kwangu, Mimi ni Zola niliye katika Umbo la Sande, hakuna kitakacho haribika” Yalikuwa ni maneno ya Kikomandoo kutoka kwa Sande Olise, alisema akiwa amefanikiwa kumpokonya Bastola Dawson.
Akampatia ile Bastola Kisko akamwmbia
“Ukiitumia vibaya itakupeleka pabaya, tuliza akili ndipo uitume ifanye kazi yake” Alimkabidhi kisha Akasema
“Baada ya miaka mingi narudi kazini kupambana na John Brain, kivuli chake kitaendelea kuitesa hii Nchi, huyu Rais Mpumbavu siku zake za kuwa madarkani zinahesabika” Alisema kisha akaelekea kwenye moja ya vyumba vya siri vya jengo hilo ambavyo vilikuwa vimeshafunguliwa na Mzee Dawon.
Akakuta Ramani ya mpango wa Zola ikiwa ukutani, akaangalia namna Zola alivyopanga mambo yake pale akajikuta akitabasamu kwani kila jambo alikuwa ameliandika katika Ramani hiyo.
Nyuma ya Sande alikuja kusimama Mzee Dawson huku akimtazama Sande namna alivyokuwa makini kutazama Ramani ya Zola
“Ulikuwa na askari shujaa sana ambaye hasahau mbinu zako” Alisema Sande Olise kisha aligeuka na kumtazama Mzee Dawson aliyekuwa akifuta chozi lake, kifo cha Zola kilimuumiza sana.
“Nina uhakika kama utawatunza vijana hawa wawili wanaweza kuwa Sande na Zola wa baadaye, kwasasa Mzee Dawson pumzika. Afya yako haikuruhusu kuendelea na vita hii, nitapambana Mimi na hawa vijana, utabakia hapa” Aliongeza Sande, ni kweli afya ya Dawson haikuwa nzuri kutokana na pombe na sigara.
Wakapanga mipango ya kumuondoa Rais Madarakani kisha kuanika uchafu na madudu yake yote, Dawson alitakiwa kubakia pale kwenye jumba la siri wakati ambao Sande na vijana wawili wa Dawson watakapokuwa wanaondoka, wakapewa sura bandia ili watakapotoka nje wasijulikane.
Muda huo Magari mawili meusi yalikuwa yakiingia Ikulu, alikuwa ni John Brain, Six na Malaika, utatu ambao ulilisumbua Taifa kwa muda mrefu, waliitwa na Rais huyo Mshenzi. Waliingia wakiwa kama wageni wakiwa ndani ya sura bandia ili wasitambulike sababu Vyombo vingi vya habari hasa vya nje vilikuwa vikiripoti taarifa zao za Mauwaji na jinsi ambavyo walikuwa wakitafutwa, Waliongoza hadi ofisini kwa Rais huyo bila Ulinzi wowote kutokana na maagizo ya Rais.
Rais alipowaona alinyanyuka na kusogea karibu na John Brain kisha akamuuliza
“Mnataka niwape nini ili Dawson na Sande wauawe? Mnapaswa kujuwa kuwa Dawson ni nyati aliyejeruhiwa akitoka huko mafichoni hatutokuwa salama” Alisema huku akionekana kuchanganikiwa, jasho lilikuwa likimvuja
“Tatizo umechanganya vitu viwili kwa wakati mmoja, Polisi wanahangaika kuwatafuta na sisi tunahangaika kuwapata. Kila tunapopiga hatua polisi wanakuwa eneo la tukio, au unataka tusamabratishe na polisi wako?”
“Kama hilo ni tatizo nitawaingiza katika mfumo wa usalama wa Taifa mkiwa katika sura hizo, John utakaa pembeni sababu ya rangi yako ila Malaika na Six wataingia na kufanya kazi mara moja, watakuwa na amri kwa askari pindi wanapokutana katika jukumu la kuwawinda Sande na Dawson,watapewa vitambulisho maalum”
Rais akawaingiza Six na Malaika katika mfumo wa idara ya Usalama wa Taifa, wakapewa na Vitambulisho
vilivyowatambulisha kama Watu wa Usalama, ikawa rahisi kwao kuwa huru kufanya kazi ya kuwasaka Dawson na Sande Olise ambao walikuwa kizingiti kikubwa kwa Rais na John Brain kumpata kijana wake aliyekuwa akishikiliwa na Rais.
Polisi wakatawanywa kila kona ya Jiji kuhakikisha Dawson na Sande hawapigi hata hatua moja, kazi ya polisi ilikuwa kuwakamata lakini kazi ya Six na Malaika ni kuwauwa, wakiwa ndani ya Sura bandia walirudi pale Kanisani ambako walisababisha Mauwaji ya kutisha ya Waumini na Askari mmoja wa siri wa Mzee Dawson, walirudi kama Watu wa Usalama, wakahitaji kuchunguza eneo hilo huku akili zao zikiwaambia kuwa pengine Dawson na Sande bado wapp eneo hilo, walimjua vizuri Dawson jinsi alivyo na akili nyingi.
Walitumia vyema macho yao ya Kijasusi na mafunzo waliyoyapata kutoka kwa John Brain wakagundua kuwa kuna andaki eneo la maegesho ya Magari
Six na Malaika wakapeana ishara, haraka bastola zao zikawa zinatazmaa eneo hilo ili kama kuna Mtu atatokea basi wamdhibiti haraka sana.
Wakalisukuma gari na kuona mlango wa kuingia ndani, haraka wakiwa makini sana wakafungua na kuanza kuingia humo taratibu huku masikio yao yakiwa makini kusikiliza ndani ya andaki hilo lenye giza sana.
Walipofika chini wakawasha tochi ya simu kisha wakaona mahali ambapo wangewasha taa, walipowasha wakaona vitu vikiwa vimeharibiwa pale, wakakagua kila kona lakini hakukuwa na Watu, tayari Mzee Dawson na vijana wake walishaondoka pale muda mrefu sana kisha wakaharibu vitu ndani ya andaki hilo, elimu yao ya kijasusi haikuwafanya wao kukata tamaa ya kutaka kujuwa andaki hilo lilihusiana na nini
“Kwa vyovyote haya yalikuwa makazi ya siri ya Dawson! Huenda ameishi hapa kwa kitambo sana” Alisema Six
“Hata awe makini vipi ni lazima ataacha alama humu, tutajua kama ni yeye na ameenda wapi” Alisema Malaika, msako uliendelea ndani ya andaki hilo lililoonekana kuwa makazi ya kutulia sana, katika upekuzi wao waliona Makaburi manne ambayo yalikuwa ndani ya chumba kimoja.
Walipoangalia vizuri waliona namba za siri ambazo Mzee Dawson aliwapa vijana wake kama majina na alama zao, namba hizi zilikuwa za siri sana, ilikuwa ngumu kugundua chochote lakini alizitambua kisha akampigia simu John Brain na kumueleza kuhusu Makaburi hayo manne yenye namba za siri, John Brain alikuwa na mtandao mkubwa sana na alizijua siri nyingi za Mataifa mbalimbali
“Hayo ni majina ya Watu wa siri wa Mzee Dawson, Sande yupo hai, moja ya kaburi hapo linaweza kuwa kaburi la Zola, fukueni haraka sana.” Ilisikika sauti ya John Brain, aliamini Dawson ni Mtu mwenye akili sana kwenye mambo yake.
Mengine yalionekana kuwa ya zamani sana lakini moja lilikuwa bado jipya, wakalifukua hilo kwa kutumia chepe iliyo kwenye kona ya chumba hicho chenye makaburi. Kazi hii ilifanywa na Six aliyekuwa amebana rasta zake kwa nyuma. Jasho lilikuwa likimtoka, harufu kidogo ilianza kutapakaa pale, haikuwazuia kufanya kazi yao,
Comments ziwe nyingi apa wikiendi itoke EPISODE NDEFU YA 10
Nini Kitaendelea? USIKOSE SEHEMU YA SABA USISAHAU PIA Kununua Kitabu Cha KOTI JEUSI Kupiga Namba+255760871896 Ufikishiwe Mpaka Ulipo
SOMA RIWAYA YA FUNGATE KWA KUBONYEZA HAPA
SOMA RIWAYA YA NILIPANGA NYUMBA MOJA NA MAJINI
JIUNGE NIPO KIJIWENI Kwa Kubonyeza Hapa
Jasusi xx Jasusi xx Jasusi xx Jasusi xx Jasusi xx Jasusi xx Jasusi xx Jasusi xx Jasusi xx Jasusi xx Jasusi xx Jasusi xx Jasusi xx Jasusi xx Jasusi xx Jasusi xx Jasusi xx Jasusi xx




135 Comments
unyama
Kazi kazi
Toa hata tatu mzee baba
Weeknd usitubanie asee
Kila unaesima naomba ucoment please
Too hot🙌
Ya motoo
.wendelzo jmn pia zilishwe hata tano kwa siku 🥰🥰
Simulizi ya 🔥
Mtunzi wa Simulizi hii anitafute kuna Zawadi yake♥️♥️♥️
Daah imefka penyew mkuu uwe unatoa hata mbili basi mkuu
Stor iko poa sana
Hatar iyooóoo
Nzuri sana
Shusha chuma mkuu 🤴
Weeee
Kesho tuwahishie Basi pia ilefushe hata kidogo maana siku za mpira hua unabana Sana
Jmn huyu malaika na six. Si sande wawauwe fasta wasijeniulia Mzee wangu Dowson jmn
Admin story Kali sn ni km vile mtu unaangalia movie
Hili ni bomu la kutegwa ardhini kilo mia moja haponi mtu hapo ni mbele kwa mbele 🤸🤸🤸😡
💥
Natamani ingekuwa movie kbs yani uwii admin upewe maua yako ☺️
Kazi nzuri admin una jitahidi
3exvik
https://t.me/Top_BestCasino/4
Your point of view caught my eye and was very interesting. Thanks. I have a question for you. https://www.binance.info/register?ref=IHJUI7TF
As the admin of this web page is working, no hesitation very quickly it will be renowned, due to its quality contents.
Thanks , I’ve recently been looking for information approximately this topic for a long time and yours is the greatest I’ve came upon till now. But, what about the conclusion? Are you positive in regards to the source?
Great info. Lucky me I ran across your website by accident (stumbleupon). I’ve book marked it for later!
Wow, that’s what I was searching for, what a information! existing here at this weblog, thanks admin of this web site.
Wow, that’s what I was seeking for, what a material! present here at this webpage, thanks admin of this website.
Wow, that’s what I was looking for, what a information! present here at this web site, thanks admin of this website.
Wow, that’s what I was seeking for, what a information! existing here at this weblog, thanks admin of this web page.
Hurrah, that’s what I was seeking for, what a stuff! existing here at this web site, thanks admin of this site.
Hurrah, that’s what I was seeking for, what a information! present here at this webpage, thanks admin of this site.
Hurrah, that’s what I was searching for, what a data! existing here at this weblog, thanks admin of this web site.
Wow, that’s what I was seeking for, what a stuff! present here at this blog, thanks admin of this web page.
Hurrah, that’s what I was exploring for, what a stuff! present here at this website, thanks admin of this web page.
Wow, that’s what I was exploring for, what a data! existing here at this weblog, thanks admin of this site.
Hurrah, that’s what I was searching for, what a stuff! existing here at this web site, thanks admin of this website.
Why viewers still use to read news papers when in this
technological globe all is existing on web?
When I originally commented I appear to have clicked on the -Notify me when new comments are added- checkbox and now whenever a comment is added I receive four emails with the same comment. Is there a way you can remove me from that service? Thanks!
After I originally left a comment I seem to have clicked on the -Notify me when new comments are added- checkbox and now whenever a comment is added I recieve four emails with the exact same comment. Is there an easy method you are able to remove me from that service? Thank you!
After I originally left a comment I appear to have clicked the -Notify me when new comments are added- checkbox and from now on each time a comment is added I get four emails with the exact same comment. There has to be a way you can remove me from that service? Kudos!
When I originally commented I seem to have clicked the -Notify me when new comments are added- checkbox and now each time a comment is added I get four emails with the same comment. There has to be an easy method you are able to remove me from that service? Thank you!
When I initially left a comment I appear to have clicked on the -Notify me when new comments are added- checkbox and now whenever a comment is added I receive four emails with the exact same comment. Perhaps there is a means you can remove me from that service? Thanks a lot!
After I originally commented I seem to have clicked the -Notify me when new comments are added- checkbox and now each time a comment is added I get four emails with the exact same comment. Is there an easy method you are able to remove me from that service? Many thanks!
When I originally commented I appear to have clicked the -Notify me when new comments are added- checkbox and now every time a comment is added I recieve 4 emails with the exact same comment. There has to be an easy method you can remove me from that service? Thank you!
After I originally left a comment I seem to have clicked on the -Notify me when new comments are added- checkbox and from now on whenever a comment is added I receive four emails with the exact same comment. Is there an easy method you are able to remove me from that service? Many thanks!
Hi! I could have sworn I’ve been to this blog before but after checking through some of the post I realized it’s new to me. Anyways, I’m definitely happy I found it and I’ll be book-marking and checking back frequently!
Good day! I could have sworn I’ve been to this site before but after reading through some of the post I realized it’s new to me. Anyhow, I’m definitely glad I found it and I’ll be bookmarking and checking back often!
Hello! I could have sworn I’ve been to this website before but after checking through some of the post I realized it’s new to me. Anyways, I’m definitely glad I found it and I’ll be book-marking and checking back often!
Hey there! I could have sworn I’ve been to this blog before but after checking through some of the post I realized it’s new to me. Anyhow, I’m definitely glad I found it and I’ll be bookmarking and checking back often!
Hey! I could have sworn I’ve been to this website before but after browsing through some of the post I realized it’s new to me. Anyhow, I’m definitely glad I found it and I’ll be book-marking and checking back often!
Good day! I could have sworn I’ve been to this website before but after reading through some of the post I realized it’s new to me. Nonetheless, I’m definitely happy I found it and I’ll be bookmarking and checking back frequently!
Hi! I could have sworn I’ve been to this website before but after reading through some of the post I realized it’s new to me. Anyways, I’m definitely delighted I found it and I’ll be bookmarking and checking back frequently!
Why users still use to read news papers when in this technological globe all is available on net?
My programmer is trying to convince me to move to .net from PHP. I have always disliked the idea because of the costs. But he’s tryiong none the less. I’ve been using WordPress on various websites for about a year and am anxious about switching to another platform. I have heard good things about blogengine.net. Is there a way I can transfer all my wordpress posts into it? Any help would be really appreciated!
Sweet blog! I found it while searching on Yahoo News. Do you have any suggestions on how to get listed in Yahoo News? I’ve been trying for a while but I never seem to get there! Thanks
Good day! This is my first comment here so I just wanted to give a quick shout out and say I truly enjoy reading through your articles. Can you recommend any other blogs/websites/forums that go over the same topics? Thanks for your time!
I couldn’t resist commenting. Well written!
Wow, awesome blog layout! How long have you been blogging for? you made blogging look easy. The overall look of your web site is fantastic, let alone the content!
Awesome post.
It’s really a nice and useful piece of info. I am glad that you shared this useful info with us. Please stay us up to date like this. Thanks for sharing.
Howdy! Would you mind if I share your blog with my zynga group? There’s a lot of people that I think would really appreciate your content. Please let me know. Many thanks
What’s up Dear, are you truly visiting this website daily, if so afterward you will absolutely take fastidious knowledge.
Do you have a spam issue on this blog; I also am a blogger, and I was curious about your situation; we have developed some nice practices and we are looking to trade techniques with others, why not shoot me an e-mail if interested.
Awesome issues here. I am very happy to look your post. Thanks so much and I’m having a look ahead to touch you. Will you please drop me a mail?
Good article! We are linking to this particularly great article on our website. Keep up the great writing.
Superb blog! Do you have any suggestions for aspiring writers? I’m planning to start my own site soon but I’m a little lost on everything. Would you propose starting with a free platform like WordPress or go for a paid option? There are so many options out there that I’m totally overwhelmed .. Any tips? Appreciate it!
Nice post. I learn something totally new and challenging on sites I stumbleupon every day. It will always be helpful to read through content from other authors and practice something from other sites.
If you are going for best contents like myself, simply visit this site everyday for the reason that it provides quality contents, thanks
I for all time emailed this website post page to all my contacts, as if like to read it next my friends will too.
Admiring the hard work you put into your blog and detailed information you provide. It’s great to come across a blog every once in a while that isn’t the same old rehashed information. Excellent read! I’ve saved your site and I’m including your RSS feeds to my Google account.
Hello friends, how is all, and what you wish for to say about this article, in my view its truly amazing in favor of me.
This piece of writing is really a nice one it helps new the web visitors, who are wishing for blogging.
Good post however I was wondering if you could write a litte more on this subject? I’d be very grateful if you could elaborate a little bit further. Thank you!
It’s really a cool and useful piece of information. I’m glad that you simply shared this useful information with us. Please stay us informed like this. Thank you for sharing.
Nice blog right here! Additionally your site rather a lot up fast! What web host are you the usage of? Can I am getting your associate link in your host? I want my website loaded up as fast as yours lol
My family always say that I am wasting my time here at net, however I know I am getting knowledge every day by reading thes nice articles or reviews.
This piece of writing is actually a good one it assists new web users, who are wishing for blogging.
Hi there, You have done a fantastic job. I’ll certainly digg it and in my view suggest to my friends. I am sure they will be benefited from this web site.
I do not even know how I finished up here, but I believed this put up used to be good. I don’t understand who you might be but definitely you are going to a famous blogger for those who aren’t already. Cheers!
Hello, I wish for to subscribe for this website to get latest updates, therefore where can i do it please help out.
Hey I know this is off topic but I was wondering if you knew of any widgets I could add to my blog that automatically tweet my newest twitter updates. I’ve been looking for a plug-in like this for quite some time and was hoping maybe you would have some experience with something like this. Please let me know if you run into anything. I truly enjoy reading your blog and I look forward to your new updates.
Hi there would you mind stating which blog platform you’re working with? I’m looking to start my own blog in the near future but I’m having a tough time deciding between BlogEngine/Wordpress/B2evolution and Drupal. The reason I ask is because your design seems different then most blogs and I’m looking for something unique. P.S Apologies for being off-topic but I had to ask!
It’s very easy to find out any matter on web as compared to books, as I found this piece of writing at this web site.
wonderful points altogether, you just gained a new reader. What could you suggest in regards to your publish that you made some days ago? Any sure?
Ridiculous quest there. What occurred after? Good luck!
Pretty! This has been a really wonderful article. Thanks for supplying this info.
Does your blog have a contact page? I’m having trouble locating it but, I’d like to shoot you an e-mail. I’ve got some suggestions for your blog you might be interested in hearing. Either way, great site and I look forward to seeing it develop over time.
Keep on working, great job!
Good day! Do you use Twitter? I’d like to follow you if that would be ok. I’m undoubtedly enjoying your blog and look forward to new updates.
Greetings from Colorado! I’m bored to death at work so I decided to browse your website on my iphone during lunch break. I love the information you provide here and can’t wait to take a look when I get home. I’m surprised at how quick your blog loaded on my cell phone .. I’m not even using WIFI, just 3G .. Anyhow, wonderful site!
Link exchange is nothing else except it is simply placing the other person’s web site link on your page at appropriate place and other person will also do same in favor of you.
This info is worth everyone’s attention. Where can I find out more?
I don’t even know how I ended up here, but I thought this post was good. I don’t know who you are but certainly you are going to a famous blogger if you aren’t already 😉 Cheers!
I am genuinely pleased to glance at this webpage posts which carries lots of valuable facts, thanks for providing these information.
It’s a pity you don’t have a donate button! I’d certainly donate to this fantastic blog! I suppose for now i’ll settle for book-marking and adding your RSS feed to my Google account. I look forward to fresh updates and will talk about this site with my Facebook group. Chat soon!
These are in fact enormous ideas in about blogging. You have touched some good things here. Any way keep up wrinting.
This information is priceless. How can I find out more?
You could certainly see your expertise in the article you write. The arena hopes for more passionate writers like you who aren’t afraid to mention how they believe. At all times follow your heart.
Article writing is also a fun, if you be acquainted with afterward you can write if not it is complicated to write.
Remarkable things here. I’m very satisfied to look your article. Thanks so much and I’m looking ahead to touch you. Will you please drop me a mail?
I constantly emailed this web site post page to all my contacts, for the reason that if like to read it afterward my contacts will too.
Hi there! Quick question that’s completely off topic. Do you know how to make your site mobile friendly? My website looks weird when viewing from my iphone4. I’m trying to find a template or plugin that might be able to correct this issue. If you have any suggestions, please share. With thanks!
I absolutely love your site.. Excellent colors & theme. Did you make this amazing site yourself? Please reply back as I’m wanting to create my own personal blog and would love to find out where you got this from or what the theme is called. Many thanks!
You actually make it seem so easy with your presentation but I find this matter to be actually something which I think I would never understand. It seems too complicated and very broad for me. I’m looking forward for your next post, I will try to get the hang of it!
Hello, I wish for to subscribe for this web site to take most up-to-date updates, therefore where can i do it please help.
My partner and I absolutely love your blog and find a lot of your post’s to be just what I’m looking for. Do you offer guest writers to write content to suit your needs? I wouldn’t mind publishing a post or elaborating on some of the subjects you write regarding here. Again, awesome web site!
I am regular reader, how are you everybody? This post posted at this site is actually good.
Thanks for your personal marvelous posting!
I truly enjoyed reading it, you’re a great author.
I will be sure to bookmark your blog and will eventually come back in the future.
I want to encourage you continue your great work, have a nice afternoon!
Today, I went to the beachfront with my children. I found a sea shell and gave it to my
4 year old daughter and said “You can hear the ocean if you put this to your ear.” She put the shell to her ear
and screamed. There was a hermit crab inside and it pinched her ear.
She never wants to go back! LoL I know this is completely off topic but I had to tell someone!
Greetings! Very useful advice in this particular article!
It is the little changes that produce the largest changes.
Thanks for sharing!
I’m impressed, I must say. Rarely do I come across a
blog that’s both educative and amusing, and without
a doubt, you’ve hit the nail on the head. The problem is an issue that too
few folks are speaking intelligently about. Now
i’m very happy I stumbled across this during my search
for something relating to this.
If some one needs expert view concerning blogging and site-building then i advise him/her to visit this webpage, Keep up the good
work.
Link exchange is nothing else however it is only placing the other person’s weblog link on your page at proper place and other person will also do same for you.
國產 av – https://kanav.so
I pay a visit each day some websites and websites to read posts, however this webpage presents feature based articles.
When I initially commented I clicked the “Notify me when new comments are added” checkbox and now each time a comment is added I get several emails with the same comment. Is there any way you can remove me from that service? Thanks a lot!
Hello there, just become aware of your blog via Google, and located that it’s truly informative. I’m going to be careful for brussels. I will be grateful in case you proceed this in future. Lots of folks shall be benefited from your writing. Cheers!
Greetings, I believe your web site might be having web browser compatibility issues. When I take a look at your site in Safari, it looks fine but when opening in I.E., it has some overlapping issues. I simply wanted to give you a quick heads up! Besides that, excellent site!
After I originally commented I seem to have clicked the -Notify me when new comments are added- checkbox and from now on whenever a comment is added I get 4 emails with the same comment. Is there an easy method you can remove me from that service? Thank you!
I got this website from my buddy who informed me on the topic of this web site and at the moment this time I am browsing this website and reading very informative content here.
Hi, i think that i saw you visited my blog thus i got here to return the prefer?.I am trying to in finding issues to enhance my web site!I guess its good enough to make use of some of your ideas!!
This is my first time pay a visit at here and i am genuinely happy to read all at one place.
This blog was… how do you say it? Relevant!!
Finally I have found something which helped me.
Kudos!
A motivating discussion is definitely worth comment. I think that you ought to write more about this issue, it might not be a taboo matter but typically people don’t speak about such subjects. To the next! Cheers!!
Great beat ! I would like to apprentice while you amend your web site, how can i subscribe for a blog website? The account helped me a acceptable deal. I had been tiny bit acquainted of this your broadcast offered bright clear idea
Fantastic goods from you, man. I have understand your stuff previous to and you’re simply too magnificent. I actually like what you’ve received here, really like what you are stating and the way by which you say it. You make it enjoyable and you continue to care for to keep it smart. I cant wait to learn much more from you. That is actually a terrific site.
If you want to improve your know-how just keep visiting this site and be updated with the most up-to-date news posted here.
I’m curious to find out what blog system you’re working with? I’m experiencing some small security issues with my latest blog and I would like to find something more safe. Do you have any recommendations?
I am regular reader, how are you everybody? This piece of writing posted at this website is truly good.
Pretty! This was an extremely wonderful article. Thanks for providing this information.
Hey There. I discovered your blog the usage of msn. This is an extremely well written article. I’ll make sure to bookmark it and return to read more of your useful info. Thank you for the post. I will definitely comeback.
wonderful issues altogether, you simply received a new reader. What may you recommend in regards to your post that you made some days in the past? Any sure?
Ꮃow! This blog looks exactly like my old one! It’s onn a completely different toрic but it
hɑs pretty much the samee page layout and design. Great choіce oof cοlors!
my bl᧐ց; Jnt77