Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home Β» Hiki Ndio Kipindi Ambacho Afrika Inaiogopa Simba Na Yanga
    Africa | CAF

    Hiki Ndio Kipindi Ambacho Afrika Inaiogopa Simba Na Yanga

    Living ShayoBy Living ShayoJuly 29, 2024Updated:October 9, 202416 Comments2 Mins Read10K Views
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    CAF
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Ligi kuu ya Tanzania ni moja ya Ligi bora na kubwa sana barani Afrika ni Ligi ya sita kwa ukubwa Afrika, Wacha ni kurejeshe miaka 10 nyuma nikimaanisha mwaka 2010, ukirejesha Kumbukumbu nyuma moja ya Ligi ambayo haikuwa maarufu sana ni ya Tanzania.

    Nikusogeze tena miaka mitatu mbele mwaka 2013 vilabu vyetu havikuwa maarufu na hata walipojaribu kutoka nje ya Tanzania na kushiriki michuano mikubwa waliishia hatua za awali mapema tu, miaka minne mbele yaani 2017 njia na mwamba kwa Ligi yetu ilianza kuonekana kama ni safari basi tulianza kufika kwenye vituo maarufu nchini.

    Kumbukumbu ni kuwa mpaka 2017 tulikuwa na timu moja tu iliyofanikiwa kufuzu hatua ya makundi ya moja ya Ligi kubwa Afrika ambapo hawakufanya vizuri sana na kuishia makundi, baada ya Mwaka 2017 kuelekea miaka minne mbele ilianza kuwa historia huku Kumbukumbu mbalimbali zikaanza kuwekwa na vilabu kutokea Tanzania.

    Haikutosha na Wala haikuishia hapo wachezaji na makocha mbalimbali wakaanza kuvutiwa na Ligi yetu, wengine wakifanya Ligi yetu kama daraja kwao kuvuka mipaka na kupata nafasi kwa vilabu vikubwa Afrika na wengine kwenda nje ya Afrika.

    Ukiendelea tena miaka minne mbele, nje ya umaarufu sasa ni sehemu ambayo umaarufu wa vilabu vyetu umezidi kukua, kwa sasa nje ya Tanzania ni Simba SC na Yanga SC vinavyozungumzwa sana, siyo kwa bahati mbaya hapana bali ni kutokana na ubora tuliyonao kwa sasa.

    Kelele na Afrika inatikisika kwa sasa pale ambapo vilabu vyetu hivyo vikishindwa kufuzu hatua ya makundi na hata kushindwa kucheza Robo Fainali jambo ambalo linaongeza hamasa na ubora wa Ligi yetu barani Afrika.

    Yanga SC na Simba SC ndiyo kioo cha Ligi yetu ndani ya miaka mitano tumeshuhudia Robo fainali sita ambapo Yanga SC akifuzu mara mbili na Simba SC mara matano huku tukishuhudia Fainali moja kutoka kwa Yanga SC. Ni kukumbushe tu kuwa Robo Fainali hizo ni za Ligi ya Mabingwa Afrika Mara nne Simba SC mara tatu na Yanga SC mara moja na Robo fainali mbili za Shirikisho ambapo wote kwa pamoja wamecheza mara moja moja na moja ya Yanga SC iliwapeleka na kuishia Fainali ya Kombe ilo la Shirikisho.

    Sitoshangaa kwa sasa moja ya klabu yetu au zote kwa msimu ujao kufuzu Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa au Kombe la Shirikisho Afrika, ila tu nitasononeka kama zitaishia hatua ya Robo Fainali kwani ni wakati sasa Afrika iheshimu na kuwa na tahadhari na vilabu kutoka Tanzania.

    SOMA ZAIDI: Ni Ngumu Kuamini Kamwe Unaondoka Jangwani

    simba leo simba na yanga YANGA LEO

    16 Comments

    1. Pingback: Sio Vibaya Kuwaiga Simba Kwa Jambo Hili Ambalo Walilianzisha

    2. Mohammed Saleh Said on July 29, 2024 5:36 pm

      Mmhhh

      Reply
    3. CHIDRICKY on July 29, 2024 5:54 pm

      Ligi yetu imekua kama dalaja la wachezaji na makocha kutumia kwa kuvukia na kufika nchi zao za ahadi

      Reply
    4. Young Teflon on July 29, 2024 7:06 pm

      Insane

      Reply
    5. Justace on October 9, 2024 3:49 pm

      Hakika ni sahih

      Reply
    6. Francis Christian on October 9, 2024 3:55 pm

      Simba iheshimiwe

      Reply
    7. ANTHONY ANDREA KIM on October 9, 2024 4:50 pm

      mwandishi ulinza kwa kutaja miaka vizuri ila kwakua tunakujua kuwa wewe ni mnazi wa gongo wazi ukashindwa elezea 2017 2018 2019 sio mbaya ila kubwa umewakumbusha kua nani kwarudisha kwenye uso wa soka maana walihamia kwenye ngumi wakasajili mabondia tulipo wauliza wakasema angalia nembo

      Reply
    8. Katibu kaale on October 9, 2024 9:52 pm

      Kweli ila sasa tubebe ubingwa siko kuishia nusu wala robo.

      Reply
    9. Rau B on January 1, 2025 11:55 am

      Viwanja 10 Bora na maarufu zaidi duniani.

      Soma hapa ‡
      https://maishakitaaonlinetz.blogspot.com/2024/12/sports-viwanja-kumi-maarufu-zaidi.html

      Reply
    10. πŸ“’ + 1.550488 BTC.GET - https://graph.org/Ticket--58146-05-02?hs=bc4743ba091ad50c81abc1f161180411& πŸ“’ on May 4, 2025 8:46 am

      e1qfnh

      Reply
    11. 🏷 + 1.67365 BTC.NEXT - https://graph.org/Ticket--58146-05-02?hs=bc4743ba091ad50c81abc1f161180411& 🏷 on May 11, 2025 1:53 am

      8q8p4v

      Reply
    12. πŸ”ˆ + 1.920737 BTC.NEXT - https://yandex.com/poll/HsemiBCtfopPhJGk2rGvc2?hs=bc4743ba091ad50c81abc1f161180411& πŸ”ˆ on May 25, 2025 6:11 am

      hcpyyh

      Reply
    13. βœ‚ + 1.953968 BTC.NEXT - https://yandex.com/poll/DCTzwgNQnzCykVhgbhD581?hs=bc4743ba091ad50c81abc1f161180411& βœ‚ on May 25, 2025 6:18 am

      9kvwu9

      Reply
    14. βš™ Message; Process 1,20061 BTC. Get > https://yandex.com/poll/7R6WLNFoDWh6Mnt8ZoUfWA?hs=bc4743ba091ad50c81abc1f161180411& βš™ on June 5, 2025 6:22 pm

      jrum65

      Reply
    15. πŸ“‰ + 1.459402 BTC.NEXT - https://yandex.com/poll/enter/BXidu5Ewa8hnAFoFznqSi9?hs=bc4743ba091ad50c81abc1f161180411& πŸ“‰ on June 6, 2025 10:45 am

      t9yaw5

      Reply
    16. πŸ“‰ Message: TRANSACTION 1,822606 BTC. Verify >>> https://yandex.com/poll/enter/BXidu5Ewa8hnAFoFznqSi9?hs=bc4743ba091ad50c81abc1f161180411& πŸ“‰ on June 11, 2025 5:22 am

      n44f62

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya naneΒ  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.