Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    In the name of LOVE – 05

    In the name of LOVE – 04

    In the name of LOVE – 03

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Duni sana – Carragher amchana nyota wa Arsenal baada ya kufungwa 4-1 na Man City
    Biriani la Ulaya

    Duni sana – Carragher amchana nyota wa Arsenal baada ya kufungwa 4-1 na Man City

    Brenda UlomiBy Brenda UlomiApril 27, 2023No Comments1 Min Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Gwiji wa Liverpool, Jamie Carragher amemkashifu mlinda mlango wa Arsenal Aaron Ramsdale kwa mchango wake katika ushindi wa 4-1 wa Manchester City dhidi ya The Gunners kwenye Ligi ya Premia Jumatano.

    Manchester City ilijiweka kwenye nafasi nzuri zaidi ya kushinda Ligi ya Premia baada ya kuwalaza wapinzani wao 4-1 ndani ya Etihad huku kiungo Kevin de Bruyne akifunga mara mbili na Erling Haaland na John Stones pia wakiwa na matokeo ya wenyeji.

    Hii ina maana kwamba Arsenal sasa wako pointi mbili pekee mbele ya mabingwa hao ambao wana michezo miwili mkononi.

    Beki wa zamani wa Liverpool, Carragher alitaja juhudi za Ramsdale wakati wa mchezo, haswa kupelekea bao la kwanza la Manchester City, kuwa ‘mbaya sana’.

    “Pep alizungumza baada ya mchezo kuhusu kumtumia Haaland kwa pasi za moja kwa moja, hakuweza kucheza usiku wa leo wakati wa kupata mpira mapema.

    “CBs [mabeki wa kati] wa Arsenal hawakuwa wazuri, lakini ni mabeki wachache sana wanaoweza kukabiliana naye kimwili. Nadhani huo ulikuwa moja ya michezo bora ya Haaland kwa Man City, “aliandika kwenye Twitter.

    Arsenal epl Man city
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi September 15, 2025

    In the name of LOVE – 05

    Ilipoishia sehemu ya tatu ya In the name of LOVE “Basi hakuna shida Zaylisa, mnaweza…

    In the name of LOVE – 04

    In the name of LOVE – 03

    In the name of LOVE – 02

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.