Browsing: Hadithi

Ilipoishia Tukaendelea kutembea huku tukiwa makini. Njiani tulikuta magari mengi yakiwa yametelekezwa, yakiwa yamejaa vumbi na yanaonyesha kwamba hayajatumika kwa muda mrefu. Ndani ya magari hayo…

Ilipoishia  “Ka-kaka! Kwasasa ardhi yetu haina makazi. Namaanisha kwamba tangu mwaka mmoja uliopita, virusi visivyo fahamika vimetawala, na sasa watu wengi sana wamekuwa mazombi. Wakikung’ata, lazima…

Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

Ilipoishia “Wala hakuongea chochote akaanza kuniandalia chakula nile, nilikua nahema kwa shida sana.  “Kunywa Maji” alisema, alikua haniangalii usoni, nilikua na kiu ya maji lakini kiu…

Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

Ilipoishia “Jua lilianza kuzama, nilikua tayari nimemaliza kupika na kuweka chakula kwenye hot-pot.  Nilikua na msongo wa mawazo, kichwa nacho kilikua kinaniuma sana kwa sababu ya…

Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

Ilipoishia “Kama utaendelea kunisumbua basi hapa patakuwa Jahannam yako na hutokaa utoke Milele  Daima. Kingine napaswa kukuvuna viungo kila unapofanya mapenzi na Misukule, siku  nikimaliza nitakuacha…

Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

Ilipoishia “Sikuwa na maswali mengi kuwa chapati zinaenda kuliwa na Nani sababu hata ule Mchicha  nilikua na uhakika kuwa unaliwa na Misukule niliyoiona Usiku. Nilihisi kukonda…

Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

Ilipoishia “Shiii‼” Baba Mkwe akanipa ishara katili ya kunitaka nikae kimya vinginevyo kile kisu  kingeingia mwilini mwangu. Kisha akachuchumaa na kuniambia “Leo utajuwa ni kwanini uliolewa…

Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

Ilipoishia “Mh! Kwani yule Kijana yuko wapi sijamuona muda, yeye alikua anachukua Mchicha hadi wa  Elfu Kumi” alisema yule Mama, sikuweza kujizuia ilibidi nicheke maana Mchicha…

Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

Ilipoishia “Utamzoea, si unajuwa wazee wa zamani. Pengine hakutaka wewe ushike begi kwasababu zilizo  kaa kitamaduni tu za Kizamani au kabila letu lakini ni mcheshi utamzoea…