Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Yanga yabanwa Masaa 12 Airport
    Africa | CAF

    Yanga yabanwa Masaa 12 Airport

    David MohamedBy David MohamedMarch 31, 2023No Comments1 Min Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Safari ya kikosi cha Yanga ikielekea jijini Lubumbashi iliingia dosari baada ya kukwama Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kwa takribani masaa 12.

    Yanga inakwenda Lubumbashi kumalizana na wapinzani wao TP Mazembe katika mchezo wa mwisho wa Makundi wa Kombe la Shirikisho Afrika.

    Kikosi hicho kiliwasili Uwanja hapo majira ya saa 3:00 kwa safari hiyo ambayo awali ilikuwa ianze saa 5:00 asubuhi ikielekea Lubumbashi kupitia Ndola Zambia.

    Hata hivyo muda huo ulipofika walipewa taarifa ya kwamba ndege yao itachelewa na kupangwa kuondoka saa 8:00 mchana lakini pia baadaye ukasogezwa tena mbele na kuambiwa wataondoka saa 11 jioni.

    Safari hiyo ikapigwa tena ‘kalenda’ wakiambiwa muda mpya wa kuanza safari hiyo wakitumia Ndege ya Shirika la Tanzania kuwa itakuwa saa 1: 00 usiku lakini muda huu wakapokea tangazo jipya kuwa wataondoka saa 3:00 usiku wakitumia Ndege namba TC 213 sababu ikitajwa kuwa sababu za kiufundi.

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.