Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Lionel Messi na Rekodi Mpya ya Mabao 800
    Biriani la Ulaya

    Lionel Messi na Rekodi Mpya ya Mabao 800

    David MohamedBy David MohamedMarch 25, 2023No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Mchezo wa kwanza wa Argentina nyumbani baada ya ushindi wao wa Kombe la Dunia 2022, ulimalizika kwa ushindi kwa mabao mawili ya dakika za mwisho dhidi ya Panama ambao uliwafanya mashabiki wa Estadio Monumental huko Buenos Aires watabasamu na kufurahia ushindi.

    Panama hawakufanya mchezo kuwa rahisi kwa Argentina, lakini Thiago Almada hatimaye alifunga bao la kuvunja ngome kwa upande wa nyumbani na dakika 10 zilizobaki, akimalizia mchezo mpira wa adhabu ‘Free kick’ iliyopigwa na Lionel Messi na kugonga mwamba wa kushoto.

    Messi amefunga bao lake la 800 katika soka lake la kulipwa, na kuweka mpira wavuni kwa mpira wa adhabu uliolenga lengo kwa usahihi baada ya kupiga mwamba mara mbili kwenye nguzo wakati wa mchezo.

    Haikuwa rahisi kwa kikosi hicho cha mabingwa wa kombe la dunia 2022 kupata ushindi kutokana na ulinzi imara na uokoaji sahihi wa kipa Jose Guerra.

    Lakini ubora wa wachezaji wa Argentina ulikua imara, na ndipo ‘Super Sub’ Almada, mchezaji machachari wa klabu yake ya Atlanta United akiifunga bao la kuongoza, na Messi akijitokeza tena katika jezi ya Argentina kumalizia msumari wa pili.

    Kulikuwa na sherehe na muziki kabla ya mechi, na sherehe zilizidi baada ya kipenga cha mwisho, na kwa sasa itaendelea na mchezo mwingine huko Santiago del Estero kwa siku ya Jumanne dhidi ya Curacao aliyepangwa 86 katika viwango vya FIFA.

    Mabao: ARG – Thiago Almada – dakika ya 79.
    ARG – Lionel Messi – dakika ya 89.

    Vikosi vilivyocheza:

    Argentina (4-3-3, kulia kwenda kushoto): 23-E. Martinez (GK) – 26-Molina, 13-Romero, 19-Otamendi (25-Li. Martinez, 46′), 3-Tagliafico (8-Acuna, 66′) – 20-Mac Allister (16-Almada, 46′), 24-E. Fernandez (5-Paredes, 61′), 7-De Paul – 10-Messi, 9-J. Alvarez (22-La. Martinez, 46′), 11-Di Maria (21-Dybala, 61′).

    Panama (5-4-1, kulia kwenda kushoto): 12-Guerra (GK) – 2-I. Anderson, 13-Ramos, 4-Farina (14-Hernandez, 65′), 5-Peralta, 3-Galvan (16-Casazola, 70′) – 19-Cordoba (20-Browne, 46′),

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.